Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wacha waweke Tanzanite ili kumarket madini yenu ambayo inapatikana Tanzania pekee. Sasa mwenge ni ujinga gani hadi mkasirike kwamba inatolewa? Hamjui kwamba daraja hili ni a big marketing opportunity kwa nchi yenu.
Daraja linaitwa tanzanite so lilkua halfanani na jina lake samia akashauri liekewe alama ya tanzanite ili kuleta maana kamili
No one to blame uo mwenge ulkua kwe ramani ya daraja!!
 
20220430_165849.png
20220430_165737.png
20220430_165908.png
 
Potholes gani? Sasa mbona unadanganya? Mimi barabara ya Nairobi hadi Nakuru naitumia zaidi ya mara ishirini kwa mwaka na hakuna pothole hata moja kwenye hio route. Usidhani utaongopa na kutuwache uongope.
Hiyo sio barabara foleni kwa kwenda mbele kisa pot holes
 
Hizo barabara zote za kutoka nairobi kama unaelekea eldoret kupita gilgil nakuru nyahururu halafu kwa kina mwai kibaki kiganjo nyeri nanyuki nimepita huko kote hamna njia ya maana barabara no markings iko nyembamba full of pot holes haswa fron Nyeri to Meru at least unapoingia meru barabara ndio nzuri kidogo
nyembamba ni wewe na nyanyako.....
mfano moja tu.! nime screenshot Google Street View at this point btwn gilgil and nakuru.
nb: btwn nairobi to busia or malaba are 85% three-lanes without a single pothole..!!

u are at liberty, u can visit goole Street View anywhere in kenya and see for yourself, op uko na salio

Screenshot_20220430-200203_Earth.jpg
Screenshot_20220430-200115_Earth.jpg
Screenshot_20220430-200051_Earth.jpg
Screenshot_20220430-195933_Earth.jpg


and btwn nairobi and gilgil👇🏽
Screenshot_20220430-201430_Earth.jpg
 
Hizo barabara zote za kutoka nairobi kama unaelekea eldoret kupita gilgil nakuru nyahururu halafu kwa kina mwai kibaki kiganjo nyeri nanyuki nimepita huko kote hamna njia ya maana barabara no markings iko nyembamba full of pot holes haswa fron Nyeri to Meru at least unapoingia meru barabara ndio nzuri kidogo
Chuki zako peleka Tandale bongolala
Screenshot_20220430-010309~2.png
Screenshot_20220430-011244~2.png
Screenshot_20220430-010725~2.png
 
nyembamba ni wewe na nyanyako.....
mfano moja tu.! nime screenshot Google Street View at this point btwn gilgil and nakuru.
nb: btwn nairobi to busia or malaba are 85% three-lanes without a single pothole..!!

u are at liberty, u can visit goole Street View anywhere in kenya and see for yourself, op uko na salio

View attachment 2206503View attachment 2206504View attachment 2206505View attachment 2206506

and btwn nairobi and gilgil👇🏽View attachment 2206522
Mbona poor quality?
 
Yani its legal to drive 110km/hr Thika road due to road design. Mind boggling! Road sign kama hii next kuiona ni South Africa, Nairobi Expressway niliona ni 80km/hr
Tukiambia hizi ngamia kwamba Thika road ni super highway wanaanza kulia kwamba tumetumia neno "super". Thika super highway ndio the only road in East and Central Afrika ambayo dereva anaruhusiwa kudrive at 110 km/h.
 
Back
Top Bottom