Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

EAC ilivunjika kwa sababu ya migogoro na vita kati ya Tanzania na Uganda. Tanzania ndio ilishindwa kuelewana na Uganda.
Hiyo sio sababu kuu sababu kuu ilikuwa ni mgawanyo wa mapato kenya alitaka share kubwa akiwa supported na mkoloni the rest felt shortchanged hivyo kuleta msuguano kwenye mahusiano.
 
Lazima Uganda waunganishe reli yao kwenye modern system hata ingekuwa wewe usingeweka hela kwenye outdated system. Pili reli inayoenda Congo Burundi na Rwanda inapita a few km from Ugandan border hivyo itakuwa rahisi kwa Uganda ku access masoko hayo via rail link ya Tanzania besides it will take only less than 12 hours for the goods to be delivered to Kampala from Dar port.
Unatutisha na Burundi hii moja yenye gdp ya $3 billion?
 
Ebu compare na hio airport yenu ambayo haina markings.


Kenya: Nairobi-Jomo Kenyatta International Airport ruined by fireDilemma X

Waliofanikiwa kuvuka border watakucheka.

 
Barabara inachorwa zebra crossing every 100 meters. Hio haiqualify kuitwa highway.
Hahaha. Hapo speed ni 30 km/h zaidi ya hapo utagonga watu bure. Thika road na Outer ring road pekee zina footbridges nyingi kushinda Dar yote. Ukichanganya na footbridge za Nairobi expressway hizo ni footbridge nyingi kushinda the whole of Tanzania.
 
Hiyo sio sababu kuu sababu kuu ilikuwa ni mgawanyo wa mapato kenya alitaka share kubwa akiwa suported na mkoloni the rest felt shortchanged hivyo kuleta msuguano kwenye mahusiano.
Mara nyingi huwa ninasema ninyi wakenya huwa mnajazana ujinga na mnazidi kuwa wajinga, vyombo vyenu vya habari na viongozi wenu huwa wanazusha Mambo, na ninyi bila kufikiria kwa undani huwa mnaamnini hivyo hiyo Kama kondoo.

Weka ushahidi kwamba chanzo ni kugawana mapato kutoka katika "credible sources"

Huyu hapa Nyerere, ambaye ndiye muasisi wa EAC anasemwa chanzo ni Idd Amin,
Punguzeni ujinga wenu wa kujifanya wajuaji wa kila kitu.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
somewhere doing our side hustle job.. engineering maintenance services

unaweza kuzoom na kuona jengo la PSSSF (ofisi zetu zilipo)
IMG_5419.jpg

IMG_5422.jpg


zoom na kuona uwanja wa taifa (patakapochezwa mechi ya Simba na Yanga leo [emoji7])
IMG_5423.jpg



...
on top
IMG_5421.jpg

IMG_5422.jpg

IMG_5420.jpg
 
Kinshasa - DRC's busiest airport has its busiest route to Lubumbashi, its 2nd largest city. There are 5 international routes Nairobi at #3, Addis at #4, Brazzaville at #8, Brussels at #9 & Kigali at #10.
Image


Jirani ambaye hakutembelei, mbona Dar haiko hapo kwa top routes? Wabongo munapenda kuforce issues.
Tanzania wanaingia kwa miguu, buses, meli, flights, private cars, and soon electric train, unataka tuanzie ipi?

Naona tuanze na meli

Hii vipi?

 
Back
Top Bottom