chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,316
- 45,125
Soma hiiHii inaitwa TKO 😂 😂
Eti jirani ambaye hakutembelei! Alafu walivyo vilaza bado wanawashobokea?
Soma hiiHii inaitwa TKO 😂 😂
Eti jirani ambaye hakutembelei! Alafu walivyo vilaza bado wanawashobokea?
Video za misafara yote ya, mazishi ya JPM ipo YouTube milele, sema ni wapi kulikua na barabara ya vumbi? Tena FYI ndio kipindi wakenya wenzio walivyojiona wapo hovyo, walikua wamejaa kwenye live chat YouTube wamesahau msiba wanaanza kusifia Tanzania kama ulayai believe tht our southern brethren, now believe tht kenya has the best roads in africa, only second to SA, and without any potholes all along through the journey eversince from nairobi, about 150km now!.. all these brought about by mwai chibaki himself..
msafara wake shahidi tosha..
KARATINA👇🏽View attachment 2205838
nb: hehehe😆 i can vividly recall, msafara wa magaful hadi chato, hio safari ilianika tanganyika wazi kabisa, hivi tuliona tz yote hadi chumba cha ndani, mpaka sehem nyeti... hio vumbi nayo.! aafu hio kicheko nayo.!?😆😆
sababu ya ku-join?Mimi nilijoin 2017, i think Geza alikuwa huku 10 years earlier, 2007 kama sijakosea 😅😅😅 Geza Ulole correct me if I'm wrong
Mara nyingi huwa ninasema ninyi wakenya huwa mnajazana ujinga na mnazidi kuwa wajinga, vyombo vyenu vya habari na viongozi wenu huwa wanazusha Mambo, na ninyi bila kufikiria kwa undani huwa mnaamnini hivyo hiyo Kama kondoo.
Weka ushahidi kwamba chanzo ni kugawana mapato kutoka katika "credible sources"
Huyu hapa Nyerere, ambaye ndiye muasisi wa EAC anasemwa chanzo ni Idd Amin,
Punguzeni ujinga wenu wa kujifanya wajuaji wa kila kitu.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hiki kinakaa kama kiwanda cha kuzalisha umeme kutumia gesi. Nimepata au nimekosea?somewhere doing our side hustle job.. engineering maintenance services
unaweza kuzoom na kuona jengo la PSSSF (ofisi zetu zilipo)
View attachment 2205945
View attachment 2205946
zoom na kuona uwanja wa taifa (patakapochezwa mechi ya Simba na Yanga leo)
View attachment 2205949
...
on top
View attachment 2205950
View attachment 2205951
View attachment 2205952
aa.. wapi.!?Video za misafara yote ya, mazishi ya JPM ipo YouTube milele, sema ni wapi kulikua na barabara ya vumbi? Tena FYI ndio kipindi wakenya wenzio walivyojiona wapo hovyo, walikua wamejaa kwenye live chat YouTube wamesahau msiba wanaanza kusifia Tanzania kama ulaya
Ebu compare na hio airport yenu ambayo haina markings.
![]()
Hii barabara bado inajengwa bro hizi overpass ni nyingi zinajengwa tunavyoongea now, mataa, traffic lights, BRT lanes katikati hapo na hizo feeder roads and all that, hata design ya barabara pia Iko powa ni kama duniani tu nchi zilizoendea 👇.. Ila ushamba unawatesa..Barabara ya upumbavu hata mataa hakuna
View attachment 2205862
Footbridges nyingi nyingi zinakuja..Halafu Dar kuna footbridges chache sana. Kama umenotice. Ushamba mwingi tu.
Kwahyo unakataa.?aa.. wapi.!?
Kwahiyo nairobae karithishwa toka babake halafu na babake toka babuake halafu babuake toka shooake(nyanyake)...IRMAO....! 😀 😀 😀 🤭 🤭 aisee mnajuana!Eti ujinga uko kwa DNA 😀
All saint's are completing a massive cathedral at the Eastern side of that altar (right end of the photo) i took a poor image, who's got a better one?
Hawajawahi ona sidewalks kwa interchange!Hii barabara bado inajengwa bro hizi overpass ni nyingi zinajengwa tunavyoongea now, mataa, traffic lights, BRT lanes katikati hapo na hizo feeder roads and all that, hata design ya barabara pia Iko powa ni kama duniani tu nchi zilizoendea 👇.. Ila ushamba unawatesa.. View attachment 2206021
Footbridges nyingi nyingi zinakuja..
Anaway kesho nitapitia uko I'll take them photos for you
Hawa jamaa wanasumbuliwa na ushambaHwajawahi ona sidwealks kwa interchange!
hii nayo ni kali sana mzee💥.. so mtindo ni ule ule wa rupurupu, yani kugusa mshahara hapana, inabaki tu palepale kwenye benki milele.. hehe., karibu sana kwenye hili jukwaa masera..😆😆somewhere doing our side hustle job.. engineering maintenance services
unaweza kuzoom na kuona jengo la PSSSF (ofisi zetu zilipo)
View attachment 2205945
View attachment 2205946
zoom na kuona uwanja wa taifa (patakapochezwa mechi ya Simba na Yanga leo)
View attachment 2205949
...
on top
View attachment 2205950
View attachment 2205951
View attachment 2205952
but swali la maana kwangu ni....... how many lanes on average.?? coz kama sio atleast 6 hakuna kitu tunaongeaMorogoro road,new bagamoyo road, kilwa Road, nyerere road,Mandela Road, Sam Nujoma road...
Nairobi is your busiest international route.![]()
JKIA runway closed, flights diverted to Mombasa and Dar es Salaam
The runway was closed after an aircraft developed a mechanical hitch.www.the-star.co.ke