Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Unataja Kabila kwa nini? Huyo muda wake ulikwisha zamani. Tangu Tshisekedi aingie madarakani, DR Congo imekuwa inajishughulisha na Kenya kuenda mbele.Hivi mwenyekiti wa EAC kwasasa ni nani?, hebu jaribu kufuatilia kipindi cha Joseph Kabila (DRC haijajiunga na EAC), mara ngapi alitembelea Kenya na mara ngapi alitembelea Tanzania
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

