Hapa umefanya conclusion ku averaging out wahidi wote ni masikini, bila kuweka damping factor (ratio) ambapo kama ukifanya sahihisho hilo la kuongeza damping factor kwenye huo uwiano utaona hizo numbers zinabadilika.Life expectancy ya India ni 69yrs wakati ya Swis ni 84yrs, Child mortality rate ya India ni 30 per 1000 wakati Uswisi ni 3.6 per 1000.
Hii maana yake watoto wa India "chance ya kufa ni ×10 zaidi ya Uswisi, na wahindi wanakufa mapema kuliko waswis(84 - 69 = 15)
Hiyo Dawning theory ya survival uliyoiweka hapo, sidhani kama inanafasi hapa kwasababu tunaongelea species moja (homo sapiens) ambao wote wanauwezo sawa wa kureproduce.Idadi kubwa ya wahindi ni kutokana na kwamba wanazaana wengi Sana, sio kwasababu wanaishi muda mrefu. Mfano mzuri ni idadi kubwa ya wadudu aina ya sisimizi, huwa muda wao wa kuishi hapa duniani ni mfupi Sana, lakini ndio wengi kushinda hata wanyama au binadamu wanaoishi miaka mingi.
Mind your level...Yani Dar imeshinda Mombasa with only 400 dollar millionaires while on there hand Nairobi imeshinda Dar na over 4000 dollar millionaires
View attachment 2204075
Alafu unapost hii,yani Tz ni nothing wakati nyie ndio baba yenu tunawashikia heshima ya kuwa na dollar billionaire EA...eshimu wakubwa zako we kijana
Hii inatoa muhstasari wa nchi ya Kenya, wananchi vs wenyenchi.Wakenya mtafika mbinguni mmechoka sana, tutaandaa glucose kwa ajili ya Wakenya tu. Akina Teargas and the company mkifika tu mlambe glucoseView attachment 2204130
Show us those assemblies, we want to see them.
What's the need of having one dollar billionaire with 2000 millionaires?😂😂 Kenya has 0 billionaire but millionaires are 8500.Alafu unapost hii,yani Tz ni nothing wakati nyie ndio baba yenu tunawashikia heshima ya kuwa na dollar billionaire EA...eshimu wakubwa zako we kijana
Mzee wa roho mbaya unajisikiaje tangu ulipoiona habari hii!
Ila Putin bana 😄😄.. huyu jamaa ana jambo lake.
Why should a bus terminal me closed???? With all the car fumes lots of people???? Doesn't make sense those are just astetics that add no value
Mnatia aibu tupu, simnajifanya nyie mko aggressive? Yani mna run gdp ya 109 bill na akuna hat single person aliye weza kufikia 300 millions? Iyo ni nchi au sorce y income ya mzungu?What's the need of having one dollar billionaire with 2000 millionaires?Kenya has 0 billionaire but millionaires are 8500.



GDP ya mchongoSasa unalia lia nini Simon? Sasa ulikuwa unataka uchumi wenu ubounce back vipi na yule Mungu wenu alikataa kufunga uchumi wenu wakati kila nchi ukanda huu ulifunga uchumi wao? Hivi unajua mwaka wa 2020 uchumi wa Kenya ulishrink by -0.3% wakati uchumi wenu ulikuwa by >4%? Hio 2020 hapa Kenya mashule yalikuwa yamefungwa, biashara nyingi na viwanda vingi vilifungwa na watu kupoteza kazi. Tourism sector ilikufa mwaka huo wote na 90% ya watu kwenye sector hio walipoteza kazi wakati tourism sector yenu ilikuwa inapokea watalii kutoka Russia na Ukraine. Au unadhani sikumbuki mkisherehekea hapa kupokea watalii wengi kutoka Russia na Ukraine? Uganda, Kenya na Rwanda zilifunga uchumi zao na mwaka wa 2021 na 2022 ndio nchi hizi zinafungua uchumi zao na ndio maana unaona zinabounce back, sector ya utalii imeanza kubounce back, viwanda vimeanza kubounce back, mashule yanafunguliwa. Sasa uchumi wenu ulikuwa unataka ubounce back vipi na hamkuwa mumeufunga? Akili kichwani rafiki yangu.kuna kamba wakat nimekuwekea evidences za IMF wenyewe.. after corona nchi nying zilibounce back largely.. yetu sasa
Mtu yeyote mwenye akili timamu ataona kwamba Kenya ndio ina nafuu kidogo kwa sababu hatuna dollar billionaire ila tuna dollar millionaires wengi, zaidi ya mara tatu kuwashinda. Nyie mna dollar millionaires wachache sana ila mna dollar billionaires wawili. Uchumi wenu umeoza, watu wawili wanamiliki karibu kila kitu ndani ya private sector yenu. Hao Waarabu wawili ukichanganya na ile familia ya Bakhresa ndio familia tatu za kiarabu ambazo zinamiliki asilimia kubwa ya uchumi wenu. Watu wengine wote ni masikini wa kutupwa. Hao Waarabu wataendelea kuwa matajiri zaidi kwa maana naona mama anazunguka nao kila mahali akiwatafutia contracts za kujenga viwanda ili waendelee kupiga pesa ndefu ila weusi wa Watanzania kazi ni kukaa juu ya mawe na kupiga soga. Angalau weusi wa Kenya wako aggresive akina James Mwangi wanatafuta contracts DR Congo na kote kote ukanda huu.Mnatia aibu tupu, simnajifanya nyie mko aggressive? Yani mna run gdp ya 109 bill na akuna hat single person aliye weza kufikia 300 millions? Iyo ni nchi au sorce y income ya mzungu?
Yule tajiri wenu mlie sifia hakuwa hata n nusu ya pesa ya marehem MengiGDP ya mchongo
Labda walinzi na wafagizi tu.lakini wana employ kenyans who lack insight.![]()
![]()
![]()
Tafadhali tufafanulie hii report ya WB inayoiweka Tanzani namba 1 Africa katika nchi zenye uchumi shirikishi kwa wananchi woteMtu yeyote mwenye akili timamu ataona kwamba Kenya ndio ina nafuu kidogo kwa sababu hatuna dollar billionaire ila tuna dollar millionaires wengi, zaidi ya mara tatu kuwashinda. Nyie mna dollar millionaires wachache sana ila mna dollar billionaires wawili. Uchumi wenu umeoza, watu wawili wanamiliki karibu kila kitu ndani ya private sector yenu. Hao Waarabu wawili ukichanganya na ile familia ya Bakhresa ndio familia tatu za kiarabu ambazo zinamiliki asilimia kubwa ya uchumi wenu. Watu wengine wote ni masikini wa kutupwa. Hao Waarabu wataendelea kuwa matajiri zaidi kwa maana naona mama anazunguka nao kila mahali akiwatafutia contracts za kujenga viwanda ili waendelee kupiga pesa ndefu ila weusi wa Watanzania kazi ni kukaa juu ya mawe na kupiga soga. Angalau weusi wa Kenya wako aggresive akina James Mwangi wanatafuta contracts DR Congo na kote kote ukanda huu.
Tuko mbele sana if poor people own those carsHii inatoa muhstasari wa nchi ya Kenya, wananchi vs wenyenchi.

Hiyo ripoti imekuuma sana bongolala? 😂 😂Mnatia aibu tupu, simnajifanya nyie mko aggressive? Yani mna run gdp ya 109 bill na akuna hat single person aliye weza kufikia 300 millions? Iyo ni nchi au sorce y income ya mzungu?
Yule tajiri wenu mlie sifia hakuwa hata n nusu ya pesa ya marehem MengiGDP ya mchongo