Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Magu kafariki March, 2021
Mwaka 2020 mwaka wa corona Tanzania ambayo haikufanya lockdown ilikuwa moja ya baadh ya nchi zenye growth rate nzur ya 4 (angalia uone za Tanzania na nchi nyingine mwaka 2020)

Lkn angalien sasa GDP growth rate kuanzia 2021 zinavyoenda..same time angalia nchi nyingine zilivyobounce back from negative to big positive rate..yetu iko palepale below 5%..

what’s the reason or what’s the excuse? @Tanzanians
View attachment 2203783
Hata hiyo increase ya 0.8% ni kubwa kwa miezi aliyokaa na Mwaka huu tutafika 5%..

Kwa kesi ya Uchumi wa Kenya wao wako very diversified Sana so Wana resilient kubwa ila kwa Rwanda sifahamu nature ya uchumi wao ila kwa Tanzania nategemea mwaka huu zaidi maana mwaka uliopita ulikuwa wa kufukia mashimo.
 
We are getting back👇

Screenshot_20220428-184628.png


Screenshot_20220428-184640.png
 
Sasa tatizo la wanasiasa wa Afrika ni kuongea vitu bila evidence. Sasa mama anasema kwamba safari nzima imegharamiwa na pesa ya mchango. Kwa hivyo hata bodyguards wake waligharamikiwa na hio pesa ya mchango? Halafu mchango ulifanyika lini, wapi na pesa iliyokusanywa ilikuwa ni pesa ngapi? Kwa nini viongozi wanachukulia watu kama ni makondoo hawana uwezo wa kuhoji mambo?
Nani kakukataza kuhoji? Rais anazungumzia gharama ya filamu wewe unaleta mambo ya kijinga eti gharama ya bodyguard..

Kwa hiyo huku ndio kuhoji? Na lengo lako hasa ni nini?

Ungefanya hata kuhoji kwa nini Hawa wanafungasha vilago huko Kenya👇

Screenshot_20220428-184543.png
 
Sasa tatizo la wanasiasa wa Afrika ni kuongea vitu bila evidence. Sasa mama anasema kwamba safari nzima imegharamiwa na pesa ya mchango. Kwa hivyo hata bodyguards wake waligharamikiwa na hio pesa ya mchango? Halafu mchango ulifanyika lini, wapi na pesa iliyokusanywa ilikuwa ni pesa ngapi? Kwa nini viongozi wanachukulia watu kama ni makondoo hawana uwezo wa kuhoji mambo?
🥱🥱🥱🤔🤔🤔Mimi mwenyewe nimejiuliza sana. Safari zake hazina tija. Wanatumia Kodi zetu kwa mambo ya ajabu na ovyo...
 
Sasa tatizo la wanasiasa wa Afrika ni kuongea vitu bila evidence. Sasa mama anasema kwamba safari nzima imegharamiwa na pesa ya mchango. Kwa hivyo hata bodyguards wake waligharamikiwa na hio pesa ya mchango? Halafu mchango ulifanyika lini, wapi na pesa iliyokusanywa ilikuwa ni pesa ngapi? Kwa nini viongozi wanachukulia watu kama ni makondoo hawana uwezo wa kuhoji mambo?
kwahiyo bodyguard akibaki Tanzania halipwi mshahara sio? Unajiskiliza vizuri unachoongea?
 
sasa Rais lame duck kama yule tuomboleze ili iweje? Hatuna cha kufanya ama? 😛😛
itabidi umemuomboleza sababu yeye ndo kafufua uchumi wa kenya, tanzania, uganda, ss, rwanda, ethiopia hadi sasahivi 2022. hivi bila yeye kushirikiana kwa karibu na jakaya, tz haingeingia middle income
 
Hako kauwongo cjui ni nani aliwaaminisha watu, kwamba mwaka 60s tulikuwa sawa na China alafu at the same time wanatoa pesa na experts kutujengea reli
Ni uongo wa GDP per capita huo.

Wakati wanatafuta kipimo hichi, walikaa wenyewe peke yao wakajipimia viwango kutokana na maisha na tamaduni zao, halafu ghafla bin vuu wakatutelea na sisi tutumie kipimo hicho hicho. Mambo ya ajabu sana.
 
Nani kakukataza kuhoji? Rais anazungumzia gharama ya filamu wewe unaleta mambo ya kijinga eti gharama ya bodyguard..

Kwa hiyo huku ndio kuhoji? Na lengo lako hasa ni nini?

Ungefanya hata kuhoji kwa nini Hawa wanafungasha vilago huko Kenya👇

View attachment 2203994
Nairobi ikona hoteli tatu za Hilton, ama unadhani Nairobi ni kama Dar ambayo hua na hoteli moja moja per brand.
 
nimependa hii comment ya ndii


i like the fact that ni wakenya tu humo wanabishana kuhusu Tanzania Vs Kenya ..

Hata ukiangalia katika jicho la "medical science" (Hello joto la jiwe), kwa idadi ya wa wahindi (1.35B) utaona gene pool yao as a species inauwezo mkubwa sana wa kusurvive. Kwa nini uwezo wa kusurvive kutokana na population usitumike kama kigezo cha kiuchumi?
 
Kunyaland tukiwaita shithole and failed state wanakasirika, wao wanafikiri wakiwa na Chinese skyscrapers na express way ya mchina basi wamemaliza

Hata Somalia hakupo hivi


Walikamatwa wote the following day, hio ndio uzuri wa kuwa na surveillance cameras.
 
Sasa tatizo la wanasiasa wa Afrika ni kuongea vitu bila evidence. Sasa mama anasema kwamba safari nzima imegharamiwa na pesa ya mchango. Kwa hivyo hata bodyguards wake waligharamikiwa na hio pesa ya mchango? Halafu mchango ulifanyika lini, wapi na pesa iliyokusanywa ilikuwa ni pesa ngapi? Kwa nini viongozi wanachukulia watu kama ni makondoo hawana uwezo wa kuhoji mambo?
Mie sina neno.. soma tu comments kwenye platforms zote uone hali halis
 
Back
Top Bottom