Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kimya kimya tu, Kenya miradi ni mingi lakini kelele ya expressway lazima mupokee hadi kieleweke. 🤣 🤣 🤣

 
Tanzania is nothing to Kenya.

tapatalk_1651168656932.png


tapatalk_1651168689380.png
 
My question to Tanzanians.. IMF hawahawa walikuwa wanatupa rate ya 6-7% kipindi cha Magu, nakumbuka tulikuwa pamoja kirate na nchi ya Rwanda..what happened saiz kipindi cha mama, rate ni below 5% while Rwanda continue keeping their rate of >6%
Nadhani hujafuatilia trend ya ukuaji wa Uchumi,Toka wakati wa Corona forecast zilislow down.Sema wakati ule kulikua na kamba pia
 
Hata ukiangalia katika jicho la "medical science" (Hello joto la jiwe), kwa idadi ya wa wahindi (1.35B) utaona gene pool yao as a species inauwezo mkubwa sana wa kusurvive. Kwa nini uwezo wa kusurvive kutokana na population usitumike kama kigezo cha kiuchumi?
Life expectancy ya India ni 69yrs wakati ya Swis ni 84yrs, Child mortality rate ya India ni 30 per 1000 wakati Uswisi ni 3.6 per 1000.

Hii maana yake watoto wa India "chance ya kufa ni ×10 zaidi ya Uswisi, na wahindi wanakufa mapema kuliko waswis(84 - 69 = 15)

Idadi kubwa ya wahindi ni kutokana na kwamba wanazaana wengi Sana, sio kwasababu wanaishi muda mrefu. Mfano mzuri ni idadi kubwa ya wadudu aina ya sisimizi, huwa muda wao wa kuishi hapa duniani ni mfupi Sana, lakini ndio wengi kushinda hata wanyama au binadamu wanaoishi miaka mingi.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
wametoka derm house.. sector binafs.. afu Tigo saiz wapo chin ya Rostam.. kaamia kwenye majengo ya serikali (PSSSF).. connect the dot (mfanyabiashara mbongo na se
Zipo sababu za kibiashara pia.Angalia kwenye page zao wanasemaje kuhusu hiyo location.Pia angalia wamechukua kuanzia floor ya 13 ambazo hua ni bei nafuu.Unless uwe huna knowledge ya bei za majengo marefu.
 
Hata hiyo increase ya 0.8% ni kubwa kwa miezi aliyokaa na Mwaka huu tutafika 5%..

Kwa kesi ya Uchumi wa Kenya wao wako very diversified Sana so Wana resilient kubwa ila kwa Rwanda sifahamu nature ya uchumi wao ila kwa Tanzania nategemea mwaka huu zaidi maana mwaka uliopita ulikuwa wa kufukia mashimo.
Mkuu sio kweli kwamba uchumi wa Kenya upo diversified Wala resilient, hayo ni maneno ya wakenya kupenda kujipa matumaini na kujipa moyo.

Kenya uchumi wake hutegemea zaidi Kilimo(Chai, maua, hotculture), Utalii, manufacturing, financial sector, construction, transportation and remittances, kipi katika hayo hakipatikani karika nchi zingine za ukanda huu?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Zipo sababu za kibiashara pia.Angalia kwenye page zao wanasemaje kuhusu hiyo location.Pia angalia wamechukua kuanzia floor ya 13 ambazo hua ni bei nafuu.Unless uwe huna knowledge ya bei za majengo marefu.

ase sawa.. kweli mim sijui kitu
thou tuna kaoffice chetu hapo PSSSF na wana cha kaside hustle.. ndo mana hata nilijua mapema tigo wanahamia hapo

anyway, umenifurahisha uliposema floor za juu ni bei nafuu
 
Back
Top Bottom