nauliza tena mombasa kuna streets kweli za kuita streets au hnajitaji aibu sasa hvi 🤣🤣Ndo huyo mwarabu ametoka jaba ako high adi hajui tofauti ya street view na streets 😅😅😅
hii nayo ni kali sana mzee.. 🔥💥 hivi nimecheka yangu yote.... 😆😆😆😆Street view inaishia border ya namangaView attachment 2203676View attachment 2203678View attachment 2203679View attachment 2203680
Lakini naona progress, the last time I checked haikuwa hata street moja, naona wameanza na ka street kamoja...
Polepole ndio mwendo
View attachment 2203681View attachment 2203682View attachment 2203684View attachment 2203685
Wapi hio report ama wewe ndo wataalamu 😅😅Mpo zaidi ya 53M wataalam wa wb wameshasema,kwa mwaka wanazaliwa watoto million na zaidi uko kwenu
😅😅😅 Alafu tukiongelea Street view, Mwingine hapa anakuja na zile za "mombasa hakuna streets" 😅😅hvi mombasa kuna streets kweli ??🤣🤣🤣 au unataka aibu tu sasa hvi
Aibu ni wewe your "high"ness 😅😅nauliza tena mombasa kuna streets kweli za kuita streets au hnajitaji aibu sasa hvi 🤣🤣
kwani wakenya wanayo taarifa hii?👇🤣🤣
Hawajui tourists ambao wanaenda TZ ni vijana wa campus kenya wana hire gari waende after semester imeisha, alafu unacompare na europeans wako na budget ya 20 mil kufanya tour Kenya😅Kenya still earns more on tourism revenue. 🤣 🤣 🤣 Activities za kutafuna viazi karai hazizowi pesa.
Haijawah kutokeaKenya still earns more on tourism revenue.![]()
![]()
Activities za kutafuna viazi karai hazina pesa.
Ilitokea 1n 2021 na itaendelea vivyo hivyo.Haijawah kutokea
Kati ya WB na KNBS wanaofanya hesabu ya watu, nani wa kuaminika katika maswala ya idadi ya watu? Nyie pia mwaka huu mnahesabu idadi ya Watanzania mumezaliana kiasi gani. Sasa kati ya TBS na WB ni body gani ya kuaminika katika maswala ya kuhesabu watu?Mpo zaidi ya 53M wataalam wa wb wameshasema,kwa mwaka wanazaliwa watoto million na zaidi uko kwenu
Ni kweli ndugu. Education yetu ni shitty kiasi kwamba ndani ya mwezi moja Google, Visa, Microsoft, Amazon, Renault na Hyundai zimewekeza Kenya. Nakubaliana na wewe kabisaaa 100%.
Very good, sababu hamna insight yoyote extra kwenye hizo companies zimekuja kupata kutoka kwenu, they didn't come for your brains but regional marketNi kweli ndugu. Education yetu ni shitty kiasi kwamba ndani ya mwezi moja Google, Visa, Microsoft, Amazon, Renault na Hyundai zimewekeza Kenya. Nakubaliana na wewe kabisaaa 100%.
lakini wana employ kenyans who lack insight. 🤣 🤣 🤣Very good, sababu hamna insight yoyote extra kwenye hizo companies zimekuja kupata kutoka kwenu, they didn't come for your brains but regional market