tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Mitazamo yetu haifananiKweli kabisa mkuu, alafu huyu tuusan huyu co mkenya huyu, mm huwa najua ni civil servant wa Kenya huko ukiangalia mitazamo yake imekaa kikunya kunya.
Mitazamo yetu haifananiKweli kabisa mkuu, alafu huyu tuusan huyu co mkenya huyu, mm huwa najua ni civil servant wa Kenya huko ukiangalia mitazamo yake imekaa kikunya kunya.
Kumbe halinaga watu hili ghorofaPopo wa humu ndani kwenye hili jengo mnawahamisha lini?
Four years now.










mombasa kuna streets au kuna uchafu?? au unataka kuaibika sasa hvi??🤣🤣🤣😅😅😅 Alafu tukiongelea Street view, Mwingine hapa anakuja na zile za "mombasa hakuna streets" 😅😅
mombasa kuna streets au kuna uchafu ??😂Aibu ni wewe your "high"ness 😅😅
muna earn nn nyinyi zaidi ya tanzania ??😂😂 tanzania ilikusanyq 2.3b usd 2019 hebu nioneshe hio figure nifunge accKenya still earns more on tourism revenue. 🤣 🤣 🤣 Activities za kutafuna viazi karai hazina pesa.
chongchung ni kweli Wakenya hawataajiriwa na makampuni yanayokuja Kenya. Huyu jamaa Jack Ngare ni Mkenya.Very good, sababu hamna insight yoyote extra kwenye hizo companies zimekuja kupata kutoka kwenu, they didn't come for your brains but regional market
Bado unaishi 2019 na tuko 2022. 🤣 🤣 🤣 2021mulikusanya 1.2b zoea your new numbers, stop living in denial.muna earn nn nyinyi zaidi ya tanzania ??😂😂 tanzania ilikusanyq 2.3b usd 2019 hebu nioneshe hio figure nifunge acc
Kutojua a former president of your neighbouring country is a sign that your country is living in the dark ages. It's actually pathetic that you're saying it as a brag.Kwanza kuna Watz wengi hawamjui Kibaki kabisa kabisa. Tukiwaambia hatuna habari ila wao ndio wanajisumbua na sisi wanabisha, lkn twitter kule wanakubali.
Unajua WB na IMF pia wanachukua Data za Tz..angalia Growth ya NBS alfu ndo utaonaMagu kafariki March, 2021
Mwaka 2020 mwaka wa corona Tanzania ambayo haikufanya lockdown ilikuwa moja ya baadh ya nchi zenye growth rate nzur ya 4 (angalia uone za Tanzania na nchi nyingine mwaka 2020)
Lkn angalien sasa GDP growth rate kuanzia 2021 zinavyoenda..same time angalia nchi nyingine zilivyobounce back from negative to big positive rate..yetu iko palepale below 5%..
what’s the reason or what’s the excuse? @Tanzanians
View attachment 2203783
Rate za Govt ni nzuri kuliko za private...pia hilo jengo ni jipya na lina hadhiwametoka derm house.. sector binafs.. afu Tigo saiz wapo chin ya Rostam.. kaamia kwenye majengo ya serikali (PSSSF).. connect the dot (mfanyabiashara mbongo na serikali)
2021 ni 1.4billion..hyo 1.2 ilikuwa Jan to October tafuta report ya WBBado unaishi 2019 na tuko 2022.![]()
![]()
2021mulikusanya 1.2b zoea your new numbers, stop living in denial.
unaongea as if wakenya wengi wanamjua samia suluhu hassan vizuri.... ata hino jina tu jameni.. balaa.!Kwanza kuna Watz wengi hawamjui Kibaki kabisa kabisa. Tukiwaambia hatuna habari ila wao ndio wanajisumbua na sisi wanabisha, lkn twitter kule wanakubali.