Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Arusha 👇Iko wapi Mombasa.?
Umepata jibu enda ulale sasa.
Ofcz una point but haitusumbui,middle class inaongezeka kwa kasiMaana yake nini kwamba mna watu wawili ambao mmoja tayari ni dollar billionaire na mwingine amekaribia kuwa dollar billionaire ndani ya uchumi wa $71 billion ilhali Ivory coast ambayo ina uchumi almost sawia na yenu haina dollar billionaire. Ethiopia ambayo uchumi wake ni mkubwa kushinda wenu haina dollar billionaire. Kenya ambayo uchumi wake ni mkubwa kushinda wenu haina dollar billionaire. Iweje nyie na uchumi wenu mdogo muwe na dollar billionaire wawili? Hio inaonyesha wealth disparity kubwa ndani uchumi wenu. Mna uchumi mdogo lakini watu wawili tayari ni dollar billionaire hio ni ishara mbaya sana. Kwanza ukizingatia kwamba mna dollar millionaires wachache kushinda Kenya. Hao watu wawili ndio wanaomiliki property nyingi Tanzania. Halafu huwa mnasema Kenya inamilikiwa na watu wachache. Na nyie je mbona hamjiangalii?
Iyo njia inatokea kwa flyover wacha uongohii snapshot ita arrest hilo hoja lako kabisa.. all the 12lanes are extra active.! nb: non is dormant.!
food for your eyesView attachment 2202852
Nikiweka hotels za ARUSHA utatoka humu au una beep.?Umepata jibu enda ulale sasa.
![]()
Hii Arusha hata Kisii inashinda.
🙏🏽naomba basi twende battle ya hoteli btwn arusha na mombasa, since yote mbili ni the leading tourist citiesNikiweka hotels za ARUSHA utatoka humu au una beep.? View attachment 2202887
Hata mimi naona
Zaidi ya unmarked roads kuna nini cha zaidi?Wabongo hii picha mtaishiba.![]()
Mkitema tunawalisha tena hadi mnyongwe na wivu.
![]()
It's good you know Arusha's place. Next time never try to compare it with Mombasa.Hata mimi naona
4 star facility! Mombasa nzima haina 5 star hotel!Umepata jibu enda ulale sasa.
![]()
Political propaganda Taifa Leo is a joke follow all it's news utakua ukifwatilia factual news from credible sources ukweli lazima usemwe
Hakuna lane 8 hapo tunaona kuna median section hapo sio lanes.just a polite question... wee unaona lanes ngapi hapaView attachment 2202869View attachment 2202864View attachment 2202865
View attachment 2202860
😂😂😂 Hapa umeonyesha nini.? The best of Mombasa ...? Chuga 👇It's good you know Arusha's place. Next time never try to compare it with Mombasa.
View attachment 2202909
Mnataka kubishana Na Mombasa??? Makosa Tena Sana wait and see lemmie show you it's side you Neva seen😂😂😂 Hapa umeonyesha nini.? The best of Mombasa ...? Chuga 👇View attachment 2202915View attachment 2202916View attachment 2202925View attachment 2202931leta ushindanishe na zile dwarf buildings of Mombasa 😂😂😂
Side I never seen.? 😂😂😂 Side Gani mzaee hakuna side kuhusu Kenya hamujapost humuMnataka kubishana Na Mombasa??? Makosa Tena Sana wait and see lemmie show you it's side you Neva seen