Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_6455.jpg
 
They tried hard to copy the US mode of governance, they ignored the fact that Kenya is a poor third world failed state infested with hunger among others.
Wanakuja kustuka serikali haina hela (broke), gharama za kuendesha serikali ya majimbo na wabunge uchwara wa hivyo viwilaya wanaita counties ni kubwa mno kuliko uwezo wao,
Sasa counties hazina uwezo wa kulipa hata mishahara ya watumishi, serikali ya kunya ni mwendo wa kukopa uchina.
Failed state.View attachment 2202068
Sasa hivi wamehamia kukopa Japan, Mchina ameshawavunja mabawa hawana namna..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuma marking on that road at allNa yule mwanafunzi bom la machozi, ana hoji kusu road marking uchizi mbaya sanaaView attachment 2202196
Hili barabara bado linajengwa. Ndio maana huoni gari lolote upande mmoja. Gari zote zipo upande ule mwingine. Kenya barabara nyingi sana zipo under construction. Au ulifikiri Nairobi expressway pekee ndio barabara inayojengwa Kenya??
 
Halafu hiyo ni Super Highway
emoji1787.png


Key words: Super, Highway.
Hii sio Thika super highway. Neno super halitumiki kwenye hii barabara. Halafu upande mmoja wa barabara bado unajengwa sasa unataka markings zitoke wapi?
 
walikuwa wana mpango wa kuweka BRT lanes sijui mpango umeishia wapi?
Eti Tony254 BRT Nairobi imefikia wapi?
Wacha nikupe darasa kidogo wewe na Watanzania wenzako kuhusu barabara za Nairobi.
Brt stations bado zinajengwa along Thika road. Halafu Brt itakuwa kwenye Thika road sio kwenye hili barabara. Hili barabara linaanzia mahali ambapo Nairobi Expressway inaishia. Nairobi expressway ni 27 kilometres kuanzia mkabala wa airport JKIA kupitia Nairobi CBD, Westlands na kufikia kikomo James Gichuru. Sasa baada ya James Gichuru kuna 25 kilometres ya upanuzi unaofanyika kutoka single carriage hadi dual carriage. Huu upanuzi ni mradi unaoitwa James Gichuru-Rironi expansion project. Kwa hivyo barabara inayopanuliwa kutoka Airport JKIA hadi Rironi ni 27 km +25 km =52 km ya upanuzi. Mradi huu ndio unauona kwenye hio tweet uliopost. Tazama video ya 2 minutes ya Kenha kwa maelezo zaidi kuhusu James Gichuru-Rironi expansion project.



Thika road nayo ipo mbali sana na hizi barabara mbili. Nairobi expressway na Games Gichuru-Rironi ni part of Northern corridor kuanzia Mombasa hadi Kampala. Thika road sio part of Northern Corridor kwa maana inatokea Nairobi na kuelekea upande wa Ethiopia na inafikia tamati Kiambu county. Thika road ina 8 lanes na urefu wa 40 kilometres ambayo ndio the widest road in East Africa.
 
Wacha nikupe darasa kidogo wewe na Watanzania wenzako kuhusu barabara za Nairobi.
Brt stations bado zinajengwa along Thika road. Halafu Brt itakuwa kwenye Thika road sio kwenye hili barabara. Hili barabara linaanzia mahali ambapo Nairobi Expressway inaishia. Nairobi expressway ni 27 kilometres kuanzia mkabala wa airport JKIA kupitia Nairobi CBD, Westlands na kufikia kikomo James Gichuru. Sasa baada ya James Gichuru kuna 25 kilometres ya upanuzi unaofanyika kutoka single carriage hadi dual carriage. Huu upanuzi ni mradi unaoitwa James Gichuru Rironi expansion project. Kwa hivyo barabara iliyopanuliwa kutoka Airport JKIA hadi Rironi ni 27 km +25 km =52 km ya upanuzi. Mradi huu ndio unauona kwenye hio tweet uliopost. Tazama video ya 2 minutes ya Kenha kwa maelezo zaidi kuhusu James Gichuru-Rironi expansion project.



Thika road nayo ipo mbali sana na hizi barabara mbili. Nairobi expressway na Games Gichuru-Rironi ni part of Northern corridor kuanzia Mombasa hadi Kampala. Thika road sio part of Northern Corridor kwa maana inatokea Nairobi na kuelekea upande wa Ethiopia na inafikia tamati Kiambu county. Thika road ina 8 lanes na urefu wa 40 kilometres ambayo ndio the widest road in East Africa.

ila kwa afya yako wacha kununua sukumawiki njiani zinakuwa na hewa ya ukaa! Inabidi muwape shule hao wamama wanaokaa median strip!
 
Thika super highway with hawkers in the median section!

1. This is not Thika Road. This is Waiyaki way.
2. It is a road under construction. It is a continuation of the expressway. The women have moved illegally to the median after being displaced due to the expansion of the road.

Stop posting misleading information to massage your balls.
 
Back
Top Bottom