Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Heri kukosa madirisha kuliko kuishi hivi na unajiita middle class. 🤣 🤣 🤣 🤣

NYUMBA INAUZWA NA BANK KIMARA MATOSA image 1
Mi mwenyewe nliamiaga kwe nyumba yangu ikiwa haijaisha so io HAIBAMBI ata!
Ukiangalia iyo nyumba imeezekwa upande m1 apo ilipo n kama inaendelea na ujenzi na ni standard kuliko hii👇 miboflo apa
20220405_081053.png
 
magaidi wengi ni vimilitants yani hawako full training hata kutumia silaha nzito kama vifaru na mizinga ndio maana hadi sasa haujawai sikia Al shabab wanaoparate kifaru wala mzinga na silaha nzito wanazo penda ni zile Toyota na mashine gun juu Kiufupi magaidi sio hatari kama waasi
hii tofauti waasi ambao sio magaidi bali ni full soldier mwenye training zake sema tofauti yake wao wamesaliti jeshi na kuamua kuunda kikundi chao nje ya jeshi kwa hiyo usishangae kuona wako na nidhamu na silaha nzito
Nimekuelewa mkuu.
 
Tanzania ni fukara, level ya Malawi.., watu wa mihogo na maharage., uchochole kila sehemu, yaani iko wazi sana.., kisa uzembe na ujinga, sio corrruption ama eti vita.., yaani mnapenda kijitetea sana!, Ghana is above Tanzania by far on standards of living, wacha kujikweza, mko way below., danganya asie ijua Tanzania., mko ovyo., pato la taifa kwa mwaka ni dhihirisho mwafaka.., mko wengi, nchi kubwa pato duni, ufukara and laziness detected 🤣 😂
Jamaa umeandika Kwa uchungu Sana mkeo kakunyima unyumba nini🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Walai heri kuishi Eastlands kuliko kuishi kwa hizi nyumba hazina hata jikoni.
nyumba hii ni imara kuliko zile high rise zinazodondoka kila siku! Hii nyumba inahitaji finishing tu!

Poverty inafanya watu wengi Dar waishii kwa abandoned houses, poor economy.
 
Mi mwenyewe nliamiaga kwe nyumba yangu ikiwa haijaisha so io HAIBAMBI ata!
Ukiangalia iyo nyumba imeezekwa upande m1 apo ilipo n kama inaendelea na ujenzi na ni standard kuliko hii👇 miboflo apaView attachment 2195103
Hizi zenu hazina vyoo wala jikoni ndani. Maskini wa kutupwa Nairobi anaishi maisha sawa na middle class wa bongo.



Nyumba Ya Vyumba 8 Nyumba Ipo Mbagala Kiburugwa in Dar Es Salaam |  ZoomTanzania

VYOO VYETU VYA USWAHILINI
 
Dada maisha ya Bongo yamemfurahisha harudi tena Ghana
Ukitaka kujua watz tuma neema sana na nchi yetu ni kwamba mtz hakiwa nchi ya kenya au uganda ana hona fahari kujitambulisha kuwa ni mtz ila cha kushangaza waganda na wakenya wakija tz wanajificha awataki kujulikana kama ni wakenya au waganda wanajitaidi kujifunza kiswahili ili wasitambulike kwa nchi zao walizo toka , hapa ninapo ishi kuna mdada mweusi sana, siku zote nilikuwa namjua ni muhaya hata yeye anajitambulisha kuwa muhaya maana anajua kiswahili vizuri kabisa ,jana ndiyo nimejua kuwa ni mganda pure baada ya jamaa mmoja kuniambia ,
 
Huyu mdada kachachuka na bongo hatari, ni kweli kwenye point ya battled water, kunyaland mtu akinunua maji ya chupa hanywi yakaisha, lazima abakishe nusu azunguke nayo siku nzima wajue kanywa maji ya dukani

Wakati Tanzania maji ya dukani hata chokoraa ananunua kwa siku hata Lita 10
Haya hayo unayo sema kabakisha nusu ajanunua kaokota chupa kajaza maji machafu ya bomba za kenya au maji ya visima ana tambia mtaani mimi nawajua wakenya awanunui maji ya kunywa ya dukani wanapo kuwa mitaani kwao, ndiyo maana kenya biashara ya chupa za maji zilizotumika siyo kubwa kama bongo ,vijana wanaokota viroba kwa viroba ya chupa za plastic kuzipeleka viwandani
 
Labda mie mshamba em naombeni faida za izo ofisi kua kenya znazo mgusa commonmwananchi
u, Rent , Food services , Taxi, ..Taxes from the company which increase govt revenue ..

Hata kama ni ajira 100 kwa kila firm bado ni ajira man na zina benefit watu wako kuanzia ofisini hadi migahawa8

Us Tanzanians and our govt should either learn to attract this companies au kutafuta strong hold nyingine

Company bado ziko nying.. but we need na sisi kuwa na pulling force ..kuweza ku attract ..tukishindwa haina noma pia..tuna kaze kwenye strong hold zetu nyingine sio lazima company zi set shops Tz . ili uchumi ukue

Our strong holds are or to be ...
1.Transport Sector..lets make sure the SGR inaisha ..ports zinaisha ...lets build bagamoyo port

2 .Bomba la mafuta lets make sure tuna linajengwa na lina benefit watu

3.Mining ..lets start mining Iron ya Liganga ..yani mtu akitaka kupata chuma Africa anakinunua Tanzania

4.Agriculture ..Sisi ni wapili kwa Ngombe wengi..lets open more meat processing and leather industires ...Lets make sure we lead in Rice production in africa , lets lead in avocado we have more arable land..we are second in wine Pdn...lets make sure we improve on that...lets close the gap ya pdn ya Cooking oil...lets provide east africa yote

5.Tourism ..lets improve it ..to be top 3 in africa


Hizi sectors walizotuacha sijui ku set companies za nje ..kama tunaweza tu compete.. ila ikishindikana haina noma ...Amazon , Google hawawezi set Africa nzima..cha muhimu tushike kwingine
 
I made comments about the fact that Big tech giants are choosing Nairobi to open their proxy centers in Africa, and some people thought that Kenya was better off without those companies because they are from the capitalist west. How low does one has to sink to say such a thing? I just know it’s jealousy. I’m Tanzanian, but I know better and I speak the truth. Kenya is benefiting greatly from the presence of these firms. At first it was Amazon, but now more companies are following suit. Tanzania is yet to open her eyes to figure out a way to attract such companies.

And I just heard that Kenya approved the first coding syllabus for schools, a great move. If tech companies are going to establish their offices in Nairobi, you need Kenyans to actually get the jobs and exposure! Tech is the future….just ask India.
Us Tanzanians and our govt should either learn to attract this companies au kutafuta strong hold nyingine

Company bado ziko nying.. but we need na sisi kuwa na pulling force ..kuweza ku attract ..tukishindwa haina noma pia..tuna kaze kwenye strong hold zetu nyingine sio lazima company zi set shops Tz . ili uchumi ukue

Our strong holds are or to be ...
1.Transport Sector..lets make sure the SGR inaisha ..ports zinaisha ...lets build bagamoyo port

2 .Bomba la mafuta lets make sure tuna linajengwa na lina benefit watu

3.Mining ..lets start mining Iron ya Liganga ..yani mtu akitaka kupata chuma Africa anakinunua Tanzania

4.Agriculture ..Sisi ni wapili kwa Ngombe wengi..lets open more meat processing and leather industires ...Lets make sure we lead in Rice production in africa , lets lead in avocado we have more arable land..we are second in wine Pdn...lets make sure we improve on that...lets close the gap ya pdn ya Cooking oil...lets provide east africa yote

5.Tourism ..lets improve it ..to be top 3 in africa


Hizi sectors walizotuacha sijui ku set companies za nje ..kama tunaweza tu compete.. ila ikishindikana haina noma ...Amazon , Google hawawezi set Africa nzima..cha muhimu tushike kwingine
 
Back
Top Bottom