Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kaka usitishike, wala hakuna ujiko wowote kuwa na hayo maofisi ya kigeni nchini. Juzi mwenzetu Masoud amezindua gari la kutatua matatizo ya mwananchi, badala ya serikali kumtia moyo, viongozi wa kuu hata hawakuwepo. Tunakaa kushabikia vya watu wakati vyetu tunavikaushia.
Hili nalo neno...
 
World Bank ipi mkuu? Hii iliyoiweka Russia ni nchi masikini inayoendelea lkn Leo Russia anamnyoosha ndugu yake Ukraine alafu dunia nzima imepoteza mwelekeo?

World bank inayotoa list kila mwaka Tz GDP ni $60 alafu Kenya inapaa,kisa Tz tumekataa kuwa chawa wa mabeberu?

On ground Tz tuna maisha mazuri kuliko nchi yoyote hapa East Africa,ukibisha njoo na fact..alafu mabeberu wanatulist nchi masikini nyuma ya Ghana,nyuma ya Kenya alafu mnachekea mmetupita.. really!!?

Wakenya mna tofauti gani na mtu anayekula ugali Kwa picha ya samaki aliyenona? Alafu aliyekuwekea picha (beberu) anakusifia unafaidi sn kisha unaitikia asante,Kama zuzu fulani.Waambieni hao mabeberu watuweke kapu moja Sawa na Burundi hatujali..Stuka mkenya!!
Tanzania ni fukara, level ya Malawi.., watu wa mihogo na maharage., uchochole kila sehemu, yaani iko wazi sana.., kisa uzembe na ujinga, sio corrruption ama eti vita.., yaani mnapenda kijitetea sana!, Ghana is above Tanzania by far on standards of living, wacha kujikweza, mko way below., danganya asie ijua Tanzania., mko ovyo., pato la taifa kwa mwaka ni dhihirisho mwafaka.., mko wengi, nchi kubwa pato duni, ufukara and laziness detected 🤣 😂
 
Kwahiyo hata huyo dada ni CCM?, Wakenya wanaokufa kwa njaa ni uongo?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

First of all, that girl didn't speak negatively about Kenya so what's your point?
You get excited over tiny things. You've been sharing this video here for months - do you know how many foreign Youtubers have positive reviews about Kenya? How come those who visit both Kenya and Tanzania always say Kenya is better? I'm sure if this girl also visited Kenya, she would say Kenya is better than Tanzania.
 
Tanzania ni fukara, level ya Malawi.., watu wa mihogo na maharage., uchochole kila sehemu, yaani iko wazi sana.., kisa uzembe na ujinga, sio corrruption ama eti vita.., yaani mnapenda kijitetea sana!, Ghana is above Tanzania by far on standards of living, wacha kujikweza, mko way below., danganya asie ijua Tanzania., mko ovyo., pato la taifa kwa mwaka ni dhihirisho mwafaka.., mko wengi, nchi kubwa pato duni, ufukara and laziness detected

Unaandika insha utadhani itahalalalisha na kuwa ukweli hizi pumba unazoziandika.

 
First of all, that girl didn't speak negatively about Kenya so what's your point?
You get excited over tiny things. You've been sharing this video here for months - do you know how many foreign Youtubers have positive reviews about Kenya? How come those who visit both Kenya and Tanzania always say Kenya is better? I'm sure if this girl also visited Kenya, she would say Kenya is better than Tanzania.
Iko too obvious, wanajitia hamnazo.,
 
Mkuu msikilize Masoud Kipanya mwenyewe anasemwa alikuwa anawasiliana na waziri husika na alikua afike, lakini siku Moja kabla ratiba yake ilibadilika akatuma wawakilishi wake

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Nilifuatilia uzinduzi wote, hata yule mwakilishi hakuwepo wakati wanaanza ufunguzi.

Lile lilikuwa ni tukio kubwa sana kwa nchi, ambapo kiongozi mkubwa zaidi ya waziri alitakiwa kuwepo, ili kutia moyo wa wajasiriamali wengine kufanya uthubutu. Wangekuwa hawa nyang'au tunaowazodoa hapa, wangehakikisha dunia yote inajua. Lile gari lao sijui Mobius, ni la mzungu ndo maana huwa wanajisifia kimachale, lakini bado wanalipigia kelele.

Kufanikiwa kwa Masoud ni kufanikiwa kwa uchumi wa Tanzania, gari hilo litapunguza utegemezi wa mafuta ya nje, ajira zitaongezeka na industries nyingine mpya zitafunguka, katika mtandao wa kuunda hilo gari.
 
Screenshot_20220421-090932.png
😄😄😄😄😄
 
Hahahaha, your country is a failed state, njaa, crime, police killings, unemployment, corruption, and Tribalism, are these what you mean by education?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Crime Tanzania are the new rapists in town, they have no police system, no justice system, poor education system, poor executive system what is there remaining to be proud of?
 
Crime Tanzania are the new rapists in town, they have no police system, no justice system, poor education system, poor executive system what is there remaining to be proud of?

Hivi si Kenya juzi kati mzee wa nduti alibaka mtalii au unadhani hatukusikia!

Huko kwenye ni vitu normal wala sio breaking news.

 
Labda mie mshamba em naombeni faida za izo ofisi kua kenya znazo mgusa commonmwananchi
Most stupid question nimeona Kwa mtandao today... Really? The biggest companies in the world invest in a country and you ask what is the advantages hehe am even ashamed that this are the kind of people I engage in debates with
 
Crime Tanzania are the new rapists in town, they have no police system, no justice system, poor education system, poor executive system what is there remaining to be proud of?
Tunajuwa aliyewafundisha propaganda ni nani lakini siku zote maji yatuamapo, tope lote hulala chini. Nyie ni tope tuu.
 
Hivi si Kenya juzi kati mzee wa nduti alibaka mtalii au unadhani hatukusikia!

Huko kwenye ni vitu normal wala sio breaking news.


Tanzanians are rapists the whole world knows their hotels are not safe did you miss that conversation?
 
Back
Top Bottom