Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dee! Acha ujinga wewe. Kwenye list ya Countries zenye mamillionea nwengi na mabillionea $ mko nyuma yetu sana na bia hakuna $ dollar billionaire hata mmoja Kenya. FACT!
bcf0475f66de43039d14649a0125ca4f.jpg
bcf0475f66de43039d14649a0125ca4f.jpg
 
0e860ea615dbe9e7c3ffe607f67c0005.jpg

1.toa hii ....hili muwe mnaliita daraja

b027bae427780fcf8399f334553d082d.jpg

2.nayo hii toa haina tija ya kusolve foleni muwe mnaliita daraja

480f95497a84e2d58e593a2956e95389.jpg

3.hii nayo ni shida yaani mbwembwe muwd mnaliita daraja

e27be65f2ab9b4c46f0bd249ed0f9322.jpg

4.mantiki ya hii mbwembwe ni marudio nayo haina tija itoe

c9f7996d7916f0adc72a6d5d9541dacc.jpg

5.hii nayo toa haieleweki ni kipisi cha daraja

89a51e26539ebfbe7bac18f864f238c0.jpg

6.hii pia ni mbwembwe tu isiyosaidia taifa lenu

ac9b8430c8b4e9383d0b328152a87d1c.jpg

7.huu nao ni upuuzi mnapigwa pesa kizembe na government yenu

453c98b8919465f76234e284f07f40b6.jpg

8.hiyo nayo ni chafu sana connector bridge ambayo haina msingi kwenye jiji

NOTE😛oleni sana Wakenya yaani kama style yenyewe ni hii endeleeni na upuuzi wsnu wakutengeneza viconnector bridge kwa kuita fly over kwa sababu ya hii maana[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
4183f591c623f3f8499155b10d2e1293.jpg




Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji12] [emoji1] hakuna aliyesema za kushangaza hebu njoo na majina yake siyo picha tu maana unakuja na different angle kwa baadhi ya picha hafu zingine zitoe maana ni vituko.....njoo na majina nikuchambue vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
Hhahaha hapo sasa utajipanga, am a bit busy at the moment. Nikiwa free majina ntakupa. Pia wewe unweza post zenu sasa
 
Hhahaha hapo sasa utajipanga, am a bit busy at the moment. Nikiwa free majina ntakupa. Pia wewe unweza post zenu sasa
hama cha maana mliyonayo ni moja tu tena . inezidiwa viwango na hii yetu tunayoimalizia...hafu unarudia rudia picha kwa angle tofauti ...sisi hizo short connector bridge hazina tija kwetu ....kwani tiyari BRT ishaclose border

kinachofanyika tunatengeneza fly over yenye urefu thabiti na si vipisi tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ojey you will play a game of musical chairs with that chokoraa for eternity....he has bad luck in comprehending simple stuff

Sent using Jamii Forums mobile app
hakuna alichokifanya cha maana hapo mna flyover moja tu angalau inaonekana powa vingine ni vituko ambavyo havina tija mnaweka vipisi pasipo na tija.....

Flyover iliyopo ubungo ni fly over ambayo kenya nzima haukuti kitu kama Tazara maridadi kabisa
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NAIROBI NI CITY YA MANANDA YA KUFUGIA NDEGE NJIWA..

Hii nini sasa
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
05d805703d4c13991e4b49e2b65abbb4.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom