safi sana waambie[emoji112] [emoji112] [emoji112] [emoji112] [emoji112]Nairobi maisha magumu cha Kwanzaa kuliko kenya ingawaje Kenya wanauchumi uliojuu serikalini lakini kwa mtu mmoja mmoja hakuna uchumi.. Uchumi wa wa Tanzania upo juu kwa wananchi hauko kwa serikali..
1.pia master plan ya miji yote ya kitanzania ipo vizuri kuliko kenya..
2.mifumo ya Nyumba za Kenya nyingi ni ni zabati kuanzia chini mpaka juu..
Sent using Jamii Forums mobile app
hafu umesahau nairobi ni chafu....yaani kuanzia city mpaka wananchi wa kenya kwa ujumla hii iwe namba,3Nairobi maisha magumu cha Kwanzaa kuliko kenya ingawaje Kenya wanauchumi uliojuu serikalini lakini kwa mtu mmoja mmoja hakuna uchumi.. Uchumi wa wa Tanzania upo juu kwa wananchi hauko kwa serikali..
1.pia master plan ya miji yote ya kitanzania ipo vizuri kuliko kenya..
2.mifumo ya Nyumba za Kenya nyingi ni ni zabati kuanzia chini mpaka juu..
Sent using Jamii Forums mobile app
unaweza kulinganisha nyumba ya kiswahili na apartment? haya rudi kwenye pango lako uswahiliniNairobi maisha magumu cha Kwanzaa kuliko kenya ingawaje Kenya wanauchumi uliojuu serikalini lakini kwa mtu mmoja mmoja hakuna uchumi.. Uchumi wa wa Tanzania upo juu kwa wananchi hauko kwa serikali..
1.pia master plan ya miji yote ya kitanzania ipo vizuri kuliko kenya..
2.mifumo ya Nyumba za Kenya nyingi ni ni zabati kuanzia chini mpaka juu..
Sent using Jamii Forums mobile app
kwani uwongo.. .?....hafu wew si ndiye yule ninja unayekaa kibera na ukasema kama sisi ndiyo kwanza tupo kwenye ujenzi wa flyover ya kwanza?Mnaropoka ka wajinga sana....
ati nyumba za bati!!
😀😀😀😀😀😀😀😀 sikutegemea yani matajiri ni wengi kuliko maskini asante kwa mchangoKenya maisha ni magumu but watu wenye hela ni wengi sana...middle class ni big than east and central africa combine
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] atii nini yaani hadi wew chokoraa .....leo wasema kenya matajiri ni wengi kuliko maskini...[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Ukiniangalia nafanana maskini ka wewe hapo...toka hapo kwa shimo kwanza
hahahah asante kwa kujijibu kwanza mumalize unemployment inayowamalizaKila nchi maskini ni wengi than matajiri.