Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sub-Saharan Africa tunaongoza in intra transactions on remittance hata South Africa tumeipiga chini, mafukara ya kunyaland na watu wa Uganda wanaona Tanzania ni ulaya yao, you come here to realize Tanzanian dream
Mwambie kwa taarifa yake tuu hapa Tz wako watu wengi toka Congo, Rwanda Burundi Malawi Zambia Mozambique etc na wote wanapeleka hela kwao.
 
You work for us we gain profit and reimburse you a little for your labour to share with your families back home. Sasa kama unajua economics nani amegain hapo?
Kama middle class wanaishii hivi, that gain must be very minimal.

Image
 
Kwahiyo mtu kukuambia kwamba "he is better informed in specific areas ni kukuvunjia heshima?. Hivi lengo la hii forum ni lipi Kama sio kukosoana, kuelimishana na kulumbana?.

Tony 254 you better than this, tunapolumbana na kukosoana, sio lazima mmoja ashinde au ashindwe, malumbano yanaweza kuendelea "endlessly so long as there are new facts to keep discussion going on".pia kumbuka kwamba watu wengi humu wanafuatilia haya mazungumzo ambao wengine wanajua zaidi hiyo mada kuliko Mimi na wewe.

Hii tabia yenu ya kususa mijadala bila kutukwana ni tabia ya watu wasiopenda kukosolewa, kujifunza mambo mapya na wasio na uvumilivu.
Jamaa huwa anapanic haraka halafu hapendi kujibu sms za mtu ambaye hajamzoea hasa zikiwa zenye hoja za kumpinga.

Kwahiyo huo ni udhaifu wake anapenda kuwa mr right, nachelea kusema atakuwa first born kwenye familia yao.

Hawa huwa wanachangamoto sana kwenye kupingwa, hawataki kabisa kukosolewa.Wanaconclude kama wanaonewa fulani hivi.
 
You work for us we gain profit and reimburse you a little for your labour to share with your families back home. Sasa kama unajua economics nani amegain hapo?
Always the boss can't pay you over your input, Makampuni yote duniani yangefilisika 😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom