Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

WORLD CLASS CITY
Image
 
Umesema vyema lakini sidhani kama huyu mama anaweza kuwa na hizo guts za kubadilisha katiba coz hata yeye anabebwa na hiyo katiba mbovu ambayo ina mapungufu mengi (out dated) na viongozi wengi wa CCM na serikali hawatakuwa tayari ku-commit political suicide kwa kuruhusu mabadiliko ya katiba at least kwa sasa.
Mkuu ni kipengele gani cha Katiba ya Sasa ambacho unadhani ni kibovu?. Je kikibadilishwa unadhani ni Mambo gani yatabadilika nchini?.

Tujifinze kutoka kwa majirani zetu ambao walibadili Katiba kwa shangwe na vigelegeke, Je wamefaidika nini?, Mbona matatizo na hali zao za kiuchumi, kisiasa na kijamii ndio zinazidi kuwa mbaya zaidi?
 
Si
Mkuu ni kipengele gani cha Katiba ya Sasa ambacho unadhani ni kibovu?. Je kikibadilishwa unadhani ni Mambo gani yatabadilika nchini?.

Tujifinze kutoka kwa majirani zetu ambao walibadili Katiba kwa shangwe na vigelegeke, Je wamefaidika nini?, Mbona matatizo na hali zao za kiuchumi, kisiasa na kijamii ndio zinazidi kuwa mbaya zaidi?
Mkuu sina namna bora ya kujibu swali lako zaidi ya kukuambia kwamba linganisha katiba yetu ya sasa na maoni/mapendekezo yaliyomo katika rasimu ya katiba ya tume ya katiba ya warioba. Lazima tukubali tu ukweli kwamba katiba yetu ya sasa ina mapungufu makubwa hasa katika kipindi hiki cha multipartism and freedom of speech. Ndio maana tunategemea mawazo /maoni ya rais na wala si mfumo umnavyomtaka afanye kazi . Mambo ni mengi sana ya kuboresha soma rasimu ya katiba.
 
Back
Top Bottom