Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

from nairobi CBD to westland and upperhill is 3km 🤣🤣🤣

from dar CBD to kijitonyama almost 15km
unaeza ona tofaut kwann tunasema nairobi inaingia mara tatu kwa dar
Kujenga ghorofa kando ya barabara sio CBD. 🤣 🤣 Dar ni upanga na Kisutu.
 
Hii pia inaitwa CBD. Maajabu.🤣🤣🤣🤣

Image
 
sina muda huo kwa sasa ingia google andika CRDB in congo alaf jionee kwa macho yako au infnix ya 2gb haina uwezo huo??🤣🤣🤣
Kumbe unapiga domo hapa na hata huko Congo ndio bado CRDB haijaingia🤣🤣😂😂👇👇

 
Back
Top Bottom