Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Muwekee hizo figures in dollars kwanza ndio aweze ku compare vizuri na losses za KQ
 
Kenya hata mikopo baadhi ya nchi zimeamua kutokopesha Kenya, mchina ameamua kukataa kutoa mkopo wa SGR baada ya kugundua Kenya itashinda kulipa
Na Tanzania ambayo ilinyimwa mkopo Hadi Na African Union wakaanza kulia eti watatumia pesa za ndani 😂😂😂😂😂
 

The quality of roads in the in Nairobi always amazes me even as a local.. just a random road but too quality in Tanzania this had to be one of their best
 
Acha uongo, 500 inaitwa Jero sababu ya voucher za 500 kutoka mtandao wa shivacom uliokua unatengeneza voucher za karatasi zinaitwa shivacom Jero-Jero

Kwanini mnapendaga kulazimisha Tanzania recognition?

View attachment 2186722
Ndivyo walivyo hao, yaani lazima watafute "endorsement toka Tanzania, hiyo inaonyesha umuhimu wa Tanzania kwa Kenya. Magufuli aliposema wakulima wa Tanzania wauze mazao Yao kwa Bei ya juu, wao wakadakia kwamba amewalenga wakenya, wakenya ni shida Sana kwakweli.
 
Na Tanzania ambayo ilinyimwa mkopo Hadi Na African Union wakaanza kulia eti watatumia pesa za ndani
Kweli kabisa, walikataa kutoa mkopo wa kujenga bwawa la umeme kwa kisingizio cha kuaribu urithi wa Dunia kule Selous National park, tukachomoa $3B kutoka mfukoni kwetu, hivi Sasa ujenzi umefikia 60%

Kenya baada ya mchina kukataa kutoa pesa, reli ikaishia porini, can you compare the two?
 
Messing with France won't be good for kunyans.. there will be consequences... A journey to a very rough road for our neighbors... Worst enough they are heading to general election which already shows signs of hostility and chaos..
Hawa mbwa koko hujulikana kwa kuhaha! Utaskia soon wakiomba France msamaha!
 
Messing with France won't be good for kunyans.. there will be consequences... A journey to a very rough road for our neighbors... Worst enough they are heading to general election which already shows signs of hostility and chaos..
Kwenda kabisa. Kwani unafikiri Kenya inaitegemea France kwa lolote? Unafikiri Kenya ni West African countries (Francophone countries) zinazofirwa na France usiku na mchana?
 

Hahaha NairobiWalker
pingli-nywee
MK254

Teargass

nairobae
mwathadan
Timo25
dyfre
Don YF
come see this.




1649913944846.png
 
Kwenda kabisa. Kwani unafikiri Kenya inaitegemea France kwa lolote? Unafikiri Kenya ni West African countries (Francophone countries) zinazofirwa na France usiku na mchana?
Hahaha

It's not about Franco phone or Anglo phone issue mzee..

Issue ni vile France operatives wanavyo deal na weak African states like yours. Mpaka mmeshituka mkamtimua it means the guy already inflicts a lot of damage to your country. Nchi ya kitu kidogo... Ni kuamsha tu sleeper..
And you are done.

Let's wait n see.. Vile mmejaza ukabila.. Na insecurities at northern parts.. Hao jamaa they will just supply ammunition and Intel to your enemies.. Something which they are good at... God forbid.
 
Back
Top Bottom