Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya hata mikopo baadhi ya nchi zimeamua kutokopesha Kenya, mchina ameamua kukataa kutoa mkopo wa SGR baada ya kugundua Kenya itashinda kulipa[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe uliona mchina alisema Kenya itashindwa kulipa ama ni feasibity? ata iwe white elephant uchumi wa Kenya uko na uwezo wa kulipa, sio hafifu kama wenu🤣🤣🤣🤣😂😂
1649841095733.png
 
Nimewapa data naona mnajibu mipasho, endeleeni kupokea chakula cha misaada huku mnasema eti ninyi logistics hub 😂😂😂

Nchi pekee mnaizidi Tanzania kwa kuihudumia ni Uganda tu, huku Tanzania ikikuzidini kuihudumia Rwanda, Burundi, DRC na bado hamuifikii Zambia, Malawi, Mozambique, Zimbabwe

Tanzania tunaihudumia mpaka South Sudan jirani yenu kabisa.
Kiswahili with zero facts hujambo dogo😛😛😂😂😂😂
 
Hahahaha, reli yenu iliishia porini, hamna uwezo kujenga hata Kilometa Moja ya reli.
unasema wewe.., we can if we want.., tajiri akichukua loan kufanya biashara haimaanishi hana uwezo, kuna factors at play if u understand dynamics za economics kilaza😂😂😂😂 ., we can forego many things in our budget na tujengee na Uganda watulipe pole pole.., sisi sio nyinyi mnajiumiza eti SGR ya umeme na inawachukua miaka mingi kilomita chache na mmekopa pia😛🤣🤣🤣🤣.., tuko na uwezo tena mingi.., pesa tu yenye Kenya inatenga kwa elimu ni zaidi ya yenu ya development..., na bado other sectors sijataja.., hamuiwezi Kenya, ni fikra zenu uchwara zinawadanganya😂😂😂😂😂
 
Wewe uliona mchina alisema Kenya itashindwa kulipa ama ni feasibity? ata iwe white elephant uchumi wa Kenya uko na uwezo wa kulipa, sio hafifu kama wenu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
View attachment 2185978
Akili yako ni ndogo Sana, hujui lolote kuhusu uchumi Wala sababu iliyosababisha mchina kukataa kutoa pesa, unajua maana ya "Feasibility study" au unaropoka hovyo?

Feasibility study ndiyo yenye kuonyesha Kama huo mradi utalipa na muwekezaji ataweza kulipwa ama hapana, Feasibility ya kwanza iliyosababisha mchina kutoa pesa ya kujenga kipande cha Mombasa to Nairobi, Kenya ilidanganya ndio sababu mchina akashitukia "deal", akataka ifanyike ingine.
 
unasema wewe.., we can if we want.., tajiri akichukua loan kufanya biashara haimaanishi hana uwezo, kuna factors at play if u understand dynamics za economics kilaza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ., we can forego many things in our budget na tujengee na Uganda watulipe pole pole.., sisi sio nyinyi mnajiumiza eti SGR ya umeme na inawachukua miaka mingi kilomita chache na mmekopa pia😛[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].., tuko na uwezo tena mingi.., pesa tu yenye Kenya inatenga kwa elimu ni zaidi ya yenu ya development..., na bado other sectors sijataja.., hamuiwezi Kenya, ni fikra zenu uchwara zinawadanganya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanza mjitosheleze kwa chakula, watoto w Kenya 200 wanakufa kila wiki "due to starvation"
 
Akili yako ni ndogo Sana, hujui lolote kuhusu uchumi Wala sababu iliyosababisha mchina kukataa kutoa pesa, unajua maana ya "Feasibility study" au unaropoka hovyo?

Feasibility study ndiyo yenye kuonyesha Kama huo mradi utalipa na muwekezaji ataweza kulipwa ama hapana, Feasibility ya kwanza iliyosababisha mchina kutoa pesa ya kujenga kipande cha Mombasa to Nairobi, Kenya ilidanganya ndio sababu mchina akashitukia "deal", akataka ifanyike ingine.
Ona sasa unaandika fikra zako finyu..., project kujilipa na Kenya kuilipia ni vitu viwili tofauti.., project inaweza kukosa kujilipa kibiashara lakini mwenye project ako na uwezo wa kuilipia ata kama itabakia kua white elephant coz of meagre returns than expected, mbona wewe kilaza siku zote,? yaani sio mwepesi wa kuelewa mambo ama unajitia hamnazo🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
 
Kwanza mjitosheleze kwa chakula, watoto w Kenya 200 wanakufa kila wiki "due to starvation"
data please? a one off thing is not daily, unatamani iwe ukweli lakini wapi, licha ya hayo which is mostly caused by logistical issue, tumewazidi ukubali ukatae, u are below Kenya wacha kujiliwaza na issue inayotokea once in awhile na ina last at most for a month then disappears, watu wanasonga mbele na maishja yao kwa starehe zao, ila nyie ni fundamentaly poor licha ya rasilmali zote mlizo nazo, jiangalie ba mzee, mnahurumisha, tukome🤣🤣🤣🤣😂😂😂...,
 
Weka Data ya Kenya ports authority hapa ku support hizi fikra zako tuone, unapenda propaganda na kuikweza Tanzania ninayo ijua zaidi ya wewe😂😂😂..., last I checked we manufacture more cooking oil than any country in EAC na pia tunaagiza kwa wingi due to the highest consumption in the region., nyie ni wengi lakini mna consumption rate ya 570,000 tonnes Kenya consumes almosdt same ama slightly higher na mko zaidi yetu na karibia watu millioni kumi!, nyie ni watu wa mihogo na maharage kweli😂😂😂., alafu unadanganya eti kwa Tanzania 70% of edible oil is sourced locally, tangu lini?🤣🤣😂😂😂😂
View attachment 2185960
View attachment 2185961
View attachment 2185962
Ninyi hata 1% hamzalishi locally ni kutokana na 70% yenu ni mafukara 🤣🤣🤣🤣

Nchi yenu ina mafukara zaidi ya nchi zote ukanda huu combined data mmeifake kwa muda mrefu sana hii, sijui nini kimewapata juzi mmesema ukweli 😂😂😂😂
 
Wacha ushamba wewe nawe. Logistics hub hatuangalii idadi ya nchi mnayohudumia bali idadi ya mizigo mnayohandle. Wewe unajua maana ya logistics hub kweli? Halafu Drc, Rwanda, South Sudan pia zinahudumiwa na Mombasa port. Halafu wacha uongo. Import nyingi ya South Sudan zinapitia Mombasa port sio Dar Slum port.
Wewe ni taahira hub maana yake ni hii
Unahudumia nchi 3 unajiita hub? 😂😂😂😂

Tanzania inahudumia nchi 10 ijiiteje?

Screenshot_20220413-122850.png
 
Ninyi hata 1% hamzalishi locally ni kutokana na 70% yenu ni mafukara 🤣🤣🤣🤣
Unajiliwaza tu.., hard facts zimekuumbua sasa ni domo domo na empty rhetorics.., watu wa mihogo na maharage nyie😂😂😂.., yaani kama Kenya factually ni 70% poor, then Tanzania is 95% poor or more.., kwanza with the current hard economic times duniani na huo uchumi wenu hafifu which is a reflection ya mtu mmja mmoja, kwa sasa research ikifanywa tanzania itakua aibu ya mwaka., omba mungu mama acheze kama mwenda zake, afiche aibu kama mkulu alivyo fanya., mko hovyo sana ukanda huu😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣
 
Unajiliwaza tu.., hard facts zimekuumbua sasa ni domo domo na empty rhetorics.., watu wa mihogo na maharage nyie😂😂😂.., yaani kama Kenya factually ni 70% poor, then Tanzania is 95% poor or more.., kwanza with the current hard economic times duniani na huo uchumi wenu hafifu which is a reflection ya mtu mmja mmoja, kwa sasa research ikifanywa tanzania itakua aibu ya mwaka., omba mungu mama acheze kama mwenda zake, afiche aibu kama mkulu alivyo fanya., mko hovyo sana ukanda huu😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣
Mbona mambo tayari yapo hadharani yanaonesha mafukara wa kanda mnavyofinyika 😂😂😂😂


Hii wakirudia utafiti mtafika 90%

Screenshot_20220413-123359.png
 
Wewe ni taahira hub maana yake ni hii
Unahudumia nchi 3 unajiita hub? 😂😂😂😂

Tanzania inahudumia nchi 10 ijiiteje?

View attachment 2185987
Unajua maana ya Kenya kuitwa economic hub ya East and central Africa wewe? (Financial, transport and communication hub pia) full mukwara😂😂😂😂😂., ni zaidi ya port tu, Kenya hosts headquarters ya multinationals serving African countries, headquarters ya international organizations serving the world and Africa, most number of embassies serving countries in Africa not just Kenya..., most manufacturing companies, service and retail industry., kumbe wewe ni mbu mbu mbu zaidi ya vile nilidhania, mko hovyo hilo hauwezi kujikomboa kwa vile hauwezi kubadili ukweli kwa kuandika mambo mengi, zoea🤣🤣🤣😂😂😂😂😂
 
Unajua maana ya Kenya kuitwa economic hub ya East and central Africa hub wewe? (Financial, transport and communication hub pia) full mukwara😂😂😂😂😂., ni zaidi ya port tu, Kenya hosts headquarters ya multinationals serving African countries, headquarters ya international organizations serving the world and Africa, most number of embassies serving countries in Africa not just Kenya..., most manufacturing companies, service and retail industry., kumbe wewe ni mbu mbu mbu zaidi ya vile nilidhania, mko hovyo hilo hauwezi kujikomboa kwa vile hauwezi kubadili ukweli kwa kuandika mambo mengi, zoea🤣🤣🤣😂😂😂😂😂
Mzee kwenye logistics hub jiondoeni, kwanza tukianza na railway pekee pumzi ya kunyaland inakata 🤣🤣🤣🤣
 
Mbona mambo tayari yapo hadharani yanaonesha mafukara wa kanda mnavyofinyika 😂😂😂😂


Hii wakirudia utafiti mtafika 90%

View attachment 2185989
inflation rate ni ufukara kweli kilaza? ni hali ya uchumi which is temporary, having a low or a higher inflation does not necessarily translate to ufukara..., jua mko hovyo zaidi usijidanganye kilaza🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂..,
 
Mzee kwenye logistics hub jiondoeni, kwanza tukianza na railway pekee pumzi ya kunyaland inakata 🤣🤣🤣🤣
Logistics hub my foot!😂 ambayo kwa sasa ni ndoto tu, yani matarajio yenu ya siku za usoni, hamjahitimu, na haitatokea karne hii... save this post please.😛😛😂😂😂😂.., u must dominate, air, rail na ports, of which bado mko way below!., mmezungukwa na nchi fukara tu😂😂😂
 
Wewe ni taahira hub maana yake ni hii
Unahudumia nchi 3 unajiita hub? 😂😂😂😂

Tanzania inahudumia nchi 10 ijiiteje?

View attachment 2185987
Hatuongei tu kuhusu hub. Hub ni broad term linaweza pia kuwa na maana ya medical hub au tourism hub. Tunaongea kuhusu logistics hub. Logistics maana yake hii hapa. Maana naona neno logistics linakutatiza sana.

Screenshot_20220413-125011.jpg
 
Back
Top Bottom