dopchinski
JF-Expert Member
- Mar 11, 2021
- 3,387
- 3,683
naona hili jambo limekuuma sana.. BTW hii signage haipo kila mahali jinsi unavyo dhania, waandisi wa kenya sio wajinga, walienda skuli...Barabara ya 2 lanes kama hiyo hizo distances signs zinakua kwenye huu mfumo, msilazimishe to fake living kind of life outside your means, ulaya wannabes 😅😅😅
View attachment 2184541
hili tu lilikua ni baadha ya kupita virtual weighbridge pamoja na huu mradi unayoendelea hapa


.. hata kama ni kwa mkopo.. na nyie jaribu kukopa muone kama mtapewa hio mikopo..