Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Barabara ya 2 lanes kama hiyo hizo distances signs zinakua kwenye huu mfumo, msilazimishe to fake living kind of life outside your means, ulaya wannabes 😅😅😅

View attachment 2184541
naona hili jambo limekuuma sana.. BTW hii signage haipo kila mahali jinsi unavyo dhania, waandisi wa kenya sio wajinga, walienda skuli...
hili tu lilikua ni baadha ya kupita virtual weighbridge pamoja na huu mradi unayoendelea hapa

20220411_165458.jpg
20220411_170029.jpg
 
Phase zote 5 zina kandarasi next ssa ni kigoma gitenga burundi mpaka çongo hela imeshatoka tayari na pia a branch to rwanda kagame inabidi achangamke kdg
Wacha uongo wewe. Kama Magufuli mwenyewe alikopa $1.5 billion kutoka standard chartered bank kwa sababu ya phase 1 na 2, phase 4 ndio mtashindwa kukopa?


Tanzania secures US $1.5bn loan for 550km of its SGR project

Tanzania has signed a US $1.5bn 20-year loan agreement with Standard Chartered Bank Tanzania to fund the construction of a 550km stretch of (SGR) standard gauge railway between the commercial capital and port of Dar es Salaam and Matukupora, in the centre of the country.
 
Wacha uongo wewe. Kama Magufuli mwenyewe alikopa $1.5 billion kutoka standard chartered bank kwa sababu ya phase 1 na 2, phase 4 ndio mtashindwa kukopa?


Tanzania secures US $1.5bn loan for 550km of its SGR project

Tanzania has signed a US $1.5bn 20-year loan agreement with Standard Chartered Bank Tanzania to fund the construction of a 550km stretch of (SGR) standard gauge railway between the commercial capital and port of Dar es Salaam and Matukupora, in the centre of the country.
Nyie mbona msikope? U r smarter than this! Nyie endeleeni kujenga vitu kama Nairobi Express kwa mikopo sie tuko busy kufikisha SGR DRC Congo, Burundi, Rwanda na Uganda! Huoni soo kule kichapo cha EACOP huku cha SGR? 🤣🤣🤣
 
Wacha uongo wewe. Kama Magufuli mwenyewe alikopa $1.5 billion kutoka standard chartered bank kwa sababu ya phase 1 na 2, phase 4 ndio mtashindwa kukopa?


Tanzania secures US $1.5bn loan for 550km of its SGR project

Tanzania has signed a US $1.5bn 20-year loan agreement with Standard Chartered Bank Tanzania to fund the construction of a 550km stretch of (SGR) standard gauge railway between the commercial capital and port of Dar es Salaam and Matukupora, in the centre of the country.

Mnaona hii kondoo.
 
Kutoka kuuliza 1 km, hadi 100 km, hadi kwa umeme upi, hadi kwa treni gan, etc.. saiz bila aibu tena kwa chuki kubwa mnahoji kwa pesa zipi?.. hata kama ni kwa mkopo.. na nyie jaribu kukopa muone kama mtapewa hio mikopo..

Huna tofauti unamwambia mtu anaringa kisa anaendesha gari ya baba'ke.. na wew si muombe baba yako ilo gari lake uiringie ..it is either hana au huwezi kupewa
Walianza na kutaka kuoneshwa 1 cm ya sgr sasa hivi imekuwa habari ya mikopo tena!
 
Back
Top Bottom