Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yaani in 2016 only 7 Tanzanians walimiliki gari kati ya watu 1000, na Kenya ilikua 40 per 1000!.., alafu Magufuli anawadanganya eti wakazi wa Dar 1 in every 4 has a vehicle.., wata park wapi? angalia hizo residential uchwara zimebanana sako kwa bako, jamaa aliona foleni na mikusanyiko ya magari akaropokwa kisiasa na kishabiki tu, no supporting evidence🤣🤣🤣🤣😂😂
Chunga hii takwimu isikudedishe sababu naona blood pressure yako ipo juu 😅😅😅😅

Screenshot_20220117-134516.png
 
You're absolutely correct 😂. Only 1105 of those cars are destined for Tanzania 😂😂😂View attachment 2181420
Siku 4 zilizopita tulishusha gari zaidi ya 8000 na jana zaidi ya 4000 means ndani ya siku 5 gari zaidi ya 12,000

Kwa mwezi ni zaidi ya 50,000

Bado unataka kujua zinazobaki Tanzania?
 
ichoboy01 Hawa wakubwa wa EU, Ursula Von der Leyen na Josep Borel wameshawasili Kiev na wameenda Bucha kutazama kitendo cha massacre mliyofanya huko.
Hawa jamaa baada ya kuinsist maridhiano wanawapa ukraine siraha . Wanataka kuaribu uchumi wa dunia nzima . Mwisho wa siku urusi watatumia nuclear weapons, halafu nowdays covid 19 wamefanya kama hawaijui tena no face mask, kwa trend hii Africa tutaathirika sana haswa kwenye mafuta . Mfumuko wa bei utakua mkubwa sana . Hawa EU na US wanachochea wakati Russia walianza rudisha majeshi yao nyuma
 
Hawa jamaa baada ya kuinsist maridhiano wanawapa ukraine siraha . Wanataka kuaribu uchumi wa dunia nzima . Mwisho wa siku urusi watatumia nuclear weapons, halafu nowdays covid 19 wamefanya kama hawaijui tena no face mask, kwa trend hii Africa tutaathirika sana haswa kwenye mafuta . Mfumuko wa bei utakua mkubwa sana . Hawa EU na US wanachochea wakati Russia walianza rudisha majeshi yao nyuma
Wewe wacha ujinga. Kwani Ukraine ndio iliattack Russia au Russia ndio imeattack Ukraine? Mbona unongea ni kama Ukraine ndio wameanzisha hii vita? Mbona unajifanya kana kwamba makosa ipo upande wa Ukraine ilhali makosa ipo upande wa Russia, wao ndio wameanzisha hii vita kwa hivyo wao ndio wanastahili kuwacha hii vita sio Ukraine. Ukraine wanastahili kuendelea kupigania nchi yao bila kusita.
 
Hii ndio sababu Tanzania inaheshimika Sana duniani, hakuna mtu muhimu yeyote katika kuitetea haki duniani ambaye hakufika Tanzania kuja kufanya "Hijjah"
Tony254
dyfre
@


CC: Haya Wakunya Tony254 et al njooni mbishe na hii kama ile ya Putin!

Mumevuta bangi nyie. Malcolm x alifika Kenya na kuongea na Kenyatta na Odinga. joto la jiwe nilikuambia uwache kujifanya kwamba nyie ndio munajua kupigana na mabeberu kutushinda. Nilikuambia kwamba nyie hamkumwaga damu kwa hivyo uwache kuringia upuuzi. Sisi ndio tulikufa tukipigana na mabeberu sio nyinyi.



Malcolm made a second, longer African trip from July to November 1964, visiting a string of countries where he met a range of intellectuals and political figures. In Egypt, he spoke at the OAU conference and talked with Nasser; in Ghana, he met Shirley DuBois and Maya Angelou; in Tanzania, Abdulrahman Mohamed Babu and Julius Nyerere; in Kenya, Oginga Odinga and Jomo Kenyatta. The international dimension was crucial to his thinking in the final months. In mid-December, he invited Che Guevara—in New York for the celebrated UN General Assembly speech—to address an OAAU rally; Guevara did not attend, but sent a message of solidarity. ‘We’re living in a revolutionary world and in a revolutionary age’, Malcolm told the audience. He continued: ‘I, for one, would like to impress, especially upon those who call themselves leaders, the importance of realizing the direct connection between the struggle of the Afro-American in this country and the struggle of our people all over the world. As long as we think—as one of my good brothers mentioned out of the side of his mouth here a couple of Sundays ago—that we should get Mississippi straightened out before we worry about the Congo, you’ll never get Mississippi straightened out.’… “
 
Mumevuta bangi nyie. Malcolm x alifika Kenya na kuongea na Kenyatta na Odinga. joto la jiwe nilikuambia uwache kujifanya kwamba nyie ndio munajua kupigana na mabeberu kutushinda. Nilikuambia kwamba nyie hamkumwaga damu kwa hivyo uwache kuringia upuuzi. Sisi ndio tulikufa tukipigana na mabeberu sio nyinyi.



Malcolm made a second, longer African trip from July to November 1964, visiting a string of countries where he met a range of intellectuals and political figures. In Egypt, he spoke at the OAU conference and talked with Nasser; in Ghana, he met Shirley DuBois and Maya Angelou; in Tanzania, Abdulrahman Mohamed Babu and Julius Nyerere; in Kenya, Oginga Odinga and Jomo Kenyatta. The international dimension was crucial to his thinking in the final months. In mid-December, he invited Che Guevara—in New York for the celebrated UN General Assembly speech—to address an OAAU rally; Guevara did not attend, but sent a message of solidarity. ‘We’re living in a revolutionary world and in a revolutionary age’, Malcolm told the audience. He continued: ‘I, for one, would like to impress, especially upon those who call themselves leaders, the importance of realizing the direct connection between the struggle of the Afro-American in this country and the struggle of our people all over the world. As long as we think—as one of my good brothers mentioned out of the side of his mouth here a couple of Sundays ago—that we should get Mississippi straightened out before we worry about the Congo, you’ll never get Mississippi straightened out.’… “
Hahahaha, ni huyo mmoja pekee, nadhani hakuwa anajua vizuri kwamba Kenya ni wasaliti wa Africa na mtu mweusi

Onyesha Kama Che Guavara alifika Kenya, Fiedel Castro, Puttin, Mandela, na wapigania haki maarufu wengine duniani
 
Back
Top Bottom