dickchiller
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,847
- 3,151
Njaa haina bouncernyie [emoji23][emoji23]
Njaa haina bouncernyie [emoji23][emoji23]
Crossing Nairobi from Riron to Machakos Junction itakua Mwoto.
Tenwek Hospital
no comment
Mama anafaa auchukue huu ushauri na ufanyie kazi haraka iwezekanavyo hutuwezi kundelea kupangiwa bei na wazungu
Kongole,pace ya Tzn ni ndogo Sana,mwaka huu unaomalizia Serikali imelipa madeni zaidi huku ikijenga kiduchu SanaKenya itatumia ksh 212 billion kwa kujenga barabara in the next one year. Hio ni around $2 billion.
wapi deep sea slum?Mtanzania akiona neno slum anaona kibera standard😂😂😂.., yaani Ruai, Uthiru, Githurai, Riruta ni slum itakua Dar yoote (95%) ni slums.., tumia google earth., standards za Tanzania ni level ya slum 90%.., ama unabisha tulinganishe na yale yote tuna taja kama slum hapa Kenya?.., mko ovyo na hampendi kukubali., accept the truth and rise from it and prosper, deny and be condemned in poverty forever.
View attachment 2179097
mchina ni nyokoo🤣🙌🙌ushahidi kuwa hii barabara inamilikiwa na mchina[emoji23]
haka ni kamradi wa wachina kupiga hela kwa mazuzu kiulaini sana
View attachment 2179032
View attachment 2179033
Wengine wanatamani ichelewe kumalizika ili waendelee kulipwa mshahara karaha wanazopata wananchi haziwagusi hata kidogo.Kwa nchi zetu hizi za kiafrika inahitaji uwe na ujasiri sana wa kuziendesha kama alivyokuwa Hayati kuna mambo mengine hayahitaji hata capital ni maswala ya ki-administrative tu ila utashangaa...,pia watu hawana ule uzalendo wakujua nafasi zao katika kuipeleka nchi mbele usishangae sisi tuko na moto wa furaha tunapoona miradi inakwenda mbele vizuri ila kuna baadhi ya watu wako ndani ya miradi hiyo hiyo hawana hata nukta au wala hata chembe ya kuguswa!!!Wapo tu kusubiri mishahara na posho maisha yaendelee. Mh Mbarawa at least anajitajidi yuko kila mahali,
kwani imemalizika ujenzi?? mbona muna pupa sana au 😂😂😂😂 huna taarifa kama kuna flyover zaidi ya mbili zinaendelea na ujenzi hapo??Kwani hii barabara Ni gizaaa!
No streetlights!!!
and where is lapset?? 🤣🤣🤣 since kibaki unaongelea lappset na sijaona hata senti moja imetengeneza zaidi ya white elephant lamu portLappset alone is $25B, unataka niendelee ama niache tu[emoji23][emoji23][emoji1787]
Mkuu The best 007.Jana nilikuwa ninapitia mtandaoni nikamuona mkuu wa mkoa wa Dar anazungumzia soko la Kariakoo kwamba ujenzi wake uko mbele kwa asilimia 15.Mbona vingi tu vinaishia kwenye makaratasi, soko la kkoo kimya, BRT phase 3 kimyaa, vi flyover tu pale Chang'ombe na uhasibu vinawatoa jasho c mchezo, hyo BRT phase 2 yenyewe inasuasua, wamebaki kuringia miradi ya awamu ya tano ambayo nayo inaenda kwa kusuasua.
Serikali hii inachoweza kutekeleza ni ujenzi wa madarasa ya shule na vibarabara uchwara ambavyo hata rais akiwa paka anaweza kuvikamilisha. Wamebaki kusifu sifu tu na upuuzi mtupu.