Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya haina nguvu yoyote ndani ya EAC, kumbuka Kenya ilianzisha na kuongoza "initiatives" nyingi ndani ya EAC, lakini kwasababu Tanzania tulipinga, pamoja na kwamba nchi zingine zote zilikubali, lakini zilishindikana kutekelezeka, 1)CoW, 2)Tourist visa, 3)East Africa land ownership policy.

Tony, haiwezikani nchi Moja kukataa mwanachama mwengine kujiunga kwa sababu ya ugomvi wa nchi binafsi, Sasa hiyo jumuia Itakua ni jumuia ya wajinga na wapumbavu, inawezekana kuruhusu Somalia kujiunga ndio Itakua kuwaketa karibu viongozi wa Kenya na Somalia.

Ninakuhakikishia Somalia itakubaliwa hata Kenya mkiponga vipi, mkitaka mjitoe na sijui mtaishi vipi bila EAC, sisi tunaweza kwasababu tupo SADC, ninyi mtakwenda wapi?[emoji23][emoji23][emoji23]
Umesahau Kenya iliishi vizuri tu bila EAC kuanzia mwaka wa 1977 hadi 2001? Ama umesahau hilo? Halafu trade kati ya Kenya na nchi jirani itaendelea tu. Usifikiri kwamba Kenya iliwacha kutrade na Uganda au Tanzania eti kwa sababu EAC ilivunjika. EAC ina advantage moja tu, kwamba inapunguza tariff na trade barriers. Bila EAC trade itaendelea ila kutakuwa na trade barriers na tozo za aina nyingi kwa hivyo trade itakuwa expensive na itapungua lakini haitakwisha. Tutaendelea kununua mizigo na kuuziana mizigo.
 
Kenya inategemea soko la EAC by 80% kuuza bidhaa zake za viwandani, huko nje zaidi mnauza mazao ya shambani,(Maua, chai na Ovacados). Viwanda vya Kenya vinategemea nchi ya Tanzania na Uganda kwa ajili ya kupata Mali ghafi zake by 85% , bila hizi nchi(Tz & Ug), manufacturing sector ya Kenya itakufa.

Kenya inategemea chakula cha Tanzania na Uganda, bila chakula cha Tanzania na Uganda, mtakufa kwa njaa kila siku.
Kwa hivyo Uganda na Tanzania mkiwacha kutuuzia chakula basi nchi zingine zinazozalisha chakula pia zitakataa kutuuzia chakula? Kwa hivyo Uganda na Tanzania zina uwezo wa kukataza nchi zingine kutuuzia chakula?
 
In Kunyaland, corruption started way back...! Hili likifaru lilishinda vp U-miss? tufenyenye alikuwa na wajukuu time alishinda hii maneno! 🤣🤣🤣🤣🤷‍♂️🤷‍♂️🤷‍♂️🙅‍♂️🙅‍♂️🙅‍♂️🙅‍♂️

See Miss Tanzania 1967
4ozojmg5pgf11.jpg



69506138_2953985181343402_5392994007552884736_n.jpg



70040430_2953985564676697_7235151737605062656_n.jpg
 
In Kunyaland, corruption started way back...! Hili likifaru lilishinda vp U-miss? tufenyenye alikuwa na wajukuu time alishinda hii maneno! 🤣🤣🤣🤣🤷‍♂️🤷‍♂️🤷‍♂️🙅‍♂️🙅‍♂️🙅‍♂️🙅‍♂️

See Miss Tanzania 1967
4ozojmg5pgf11.jpg



69506138_2953985181343402_5392994007552884736_n.jpg



70040430_2953985564676697_7235151737605062656_n.jpg
Yani mtu amevaa ribbon imeandikwa Nairobi unasema ndiye Miss Kenya? Wacha ufala. See Miss Kenya 1967. She beat huyo Mis Tanzania wenu. Wenu hakuenda beyond Africa. Kenya did not compete in the beauty pageant in 1966.
FBBTmbnUYAYPHqn.jpg


62483984_2336905779858662_6845598860987858944_n.jpg
 
Yani mtu amevaa ribbon imeandikwa Nairobi unasema ndiye Miss Kenya? Wacha ufala. See Miss Kenya 1967. She beat huyo Mis Tanzania wenu. Wenu hakuenda beyond Africa.
FBBTmbnUYAYPHqn.jpg


62483984_2336905779858662_6845598860987858944_n.jpg
Sura ya kikenya hii, pua kama kitunguu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ninasikiliza budget ya Kenya inayosomwa sasa hivi. Waziri wa fedha amesema kwamba uchumi wa Kenya ulikuwa kwa 7.6% in 2021. joto la jiwe hii failed state ya Kenya unayoichukia imekuwa kwa zaidi ya 7% mwaka uliopita. Sasa sijui utalilia wapi? Aliye karibu nawe akupe handkerchief upanguze machozi. Hii nchi unayoichukia inazidi kupaa. Hii failed state ya Kenya mbona haianguki? Masikini joto, nakuonea huruma. 😅 🤣
Cc Geza Ulole
 

Mtanzania akiona neno slum anaona kibera standard😂😂😂.., yaani Ruai, Uthiru, Githurai, Riruta ni slum itakua Dar yoote (95%) ni slums.., tumia google earth., standards za Tanzania ni level ya slum 90%.., ama unabisha tulinganishe na yale yote tuna taja kama slum hapa Kenya?.., mko ovyo na hampendi kukubali., accept the truth and rise from it and prosper, deny and be condemned in poverty forever.
1649334781668.png
 
Visa imefungua their only innovation office in Africa hapa Nairobi. Malazy bado mnataka kushindana na sisi?

Visa opens Nairobi innovation hub, the first in Africa​



THURSDAY APRIL 07 2022​

Aida Diarra, Visa’s Senior Vice President for Sub-Saharan Africa. PHOTO| COURTESY

Aida Diarra, Visa’s Senior Vice President for Sub-Saharan Africa. PHOTO| COURTESY

Summary

  • Opening of the hub in Kenya is a strategy to capture market as consumers switch to new payment platforms and digital wallets that could bypass the card networks or slow their revenue growth.
  • Last year, Visa partnered with Kenya’s largest telco Safaricom to allow the firm's 150,000 mobile money (M-Pesa) merchants to accept card payments.
ADVERTISEMENT

By ANTHONY KITIMO
More by this Author

Global digital payments giant Visa has opened an innovation studio in Kenya, the first in Africa, to expand its reach in the region.

The studio will bring together developers, Visa’s internal and external clients, and other partners to co-create payment and commerce solutions.

Opening of the hub in Kenya is a strategy to capture market as consumers switch to new payment platforms and digital wallets that could bypass the card networks or slow their revenue growth.

Last year, Visa partnered with Kenya’s largest telco Safaricom to allow the firm's 150,000 mobile money (M-Pesa) merchants to accept card payments.

The Nairobi studio is the first in Africa and sixth globally, after posts in Dubai, London, Miami, San Francisco and Singapore.

Senior vice president and head of Visa in Sub-Saharan Africa, Aida Diarra, said the studio will assist in increasing Visa market in the region by issuing digital and physical Visa to its clients.

ADVERTISEMENT

“Sub-Saharan Africa is a fast-growing region with a tech-savvy population and as we continue to grow digital payments adoption in the region, our aspiration is to deepen our collaboration with clients and partners in developing solutions that are designed around the unique needs of Africa,” said Diarra.

“As a brand built on technology, Visa has driven the major technology advancements that make electronic payments what they are today. We are confident that the innovation studio will continue that legacy and cement Sub-Saharan Africa’s position as a leader in creating out-of-the-box solutions to deal with our most pressing challenges as a region.”

Visa has previously used its existing innovation hubs to design products for the African market, including a collaboration with Nigerian Fintech Paga to develop new merchant acceptance solutions involving QR codes and NFC technology.

Across Africa, both local and multinational corporations, as well as governments, are taking cue to launch such innovation centres as a means to developing new products through collaborations and to remain globally competitive.

Organisations such as Cisco and Philips also run similar labs in Nairobi, while the Kenyan government is building a technology city, Konza City, to drive innovation in the country.

Meanwhile, numerous innovation hubs have opened up in Africa’s start-up capital, Nigeria, with concentration around Lagos, the country’s cultural and commercial centre. Nigeria is home to the continent’s greats like tech-jobs network Andela, payments company Flutterwave and e-commerce platform Jumia.


Cc Geza Ulole joto la jiwe

1649336020753.gif
 
Guys anyone with Updates on Msalato International Airport and the Dodoma outer ring road ,
are we not sure this is another lazy regime of wasting time ? Pesa ishatolewa kitambo
Mbona vingi tu vinaishia kwenye makaratasi, soko la kkoo kimya, BRT phase 3 kimyaa, vi flyover tu pale Chang'ombe na uhasibu vinawatoa jasho c mchezo, hyo BRT phase 2 yenyewe inasuasua, wamebaki kuringia miradi ya awamu ya tano ambayo nayo inaenda kwa kusuasua.

Serikali hii inachoweza kutekeleza ni ujenzi wa madarasa ya shule na vibarabara uchwara ambavyo hata rais akiwa paka anaweza kuvikamilisha. Wamebaki kusifu sifu tu na upuuzi mtupu.
 
Visa imefungua their only innovation office in Africa hapa Nairobi. Malazy bado mnataka kushindana na sisi?

Visa opens Nairobi innovation hub, the first in Africa​



THURSDAY APRIL 07 2022​

Aida Diarra, Visa’s Senior Vice President for Sub-Saharan Africa. PHOTO| COURTESY

Aida Diarra, Visa’s Senior Vice President for Sub-Saharan Africa. PHOTO| COURTESY

Summary

  • Opening of the hub in Kenya is a strategy to capture market as consumers switch to new payment platforms and digital wallets that could bypass the card networks or slow their revenue growth.
  • Last year, Visa partnered with Kenya’s largest telco Safaricom to allow the firm's 150,000 mobile money (M-Pesa) merchants to accept card payments.
ADVERTISEMENT

By ANTHONY KITIMO
More by this Author

Global digital payments giant Visa has opened an innovation studio in Kenya, the first in Africa, to expand its reach in the region.

The studio will bring together developers, Visa’s internal and external clients, and other partners to co-create payment and commerce solutions.

Opening of the hub in Kenya is a strategy to capture market as consumers switch to new payment platforms and digital wallets that could bypass the card networks or slow their revenue growth.

Last year, Visa partnered with Kenya’s largest telco Safaricom to allow the firm's 150,000 mobile money (M-Pesa) merchants to accept card payments.

The Nairobi studio is the first in Africa and sixth globally, after posts in Dubai, London, Miami, San Francisco and Singapore.

Senior vice president and head of Visa in Sub-Saharan Africa, Aida Diarra, said the studio will assist in increasing Visa market in the region by issuing digital and physical Visa to its clients.

ADVERTISEMENT

“Sub-Saharan Africa is a fast-growing region with a tech-savvy population and as we continue to grow digital payments adoption in the region, our aspiration is to deepen our collaboration with clients and partners in developing solutions that are designed around the unique needs of Africa,” said Diarra.

“As a brand built on technology, Visa has driven the major technology advancements that make electronic payments what they are today. We are confident that the innovation studio will continue that legacy and cement Sub-Saharan Africa’s position as a leader in creating out-of-the-box solutions to deal with our most pressing challenges as a region.”

Visa has previously used its existing innovation hubs to design products for the African market, including a collaboration with Nigerian Fintech Paga to develop new merchant acceptance solutions involving QR codes and NFC technology.

Across Africa, both local and multinational corporations, as well as governments, are taking cue to launch such innovation centres as a means to developing new products through collaborations and to remain globally competitive.

Organisations such as Cisco and Philips also run similar labs in Nairobi, while the Kenyan government is building a technology city, Konza City, to drive innovation in the country.

Meanwhile, numerous innovation hubs have opened up in Africa’s start-up capital, Nigeria, with concentration around Lagos, the country’s cultural and commercial centre. Nigeria is home to the continent’s greats like tech-jobs network Andela, payments company Flutterwave and e-commerce platform Jumia.


Cc Geza Ulole joto la jiwe

View attachment 2179170
Petty issues.
 
Back
Top Bottom