Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hvi kweli kenya wanaweza kua na modern market kama hii😂😂😂

5C0B29CB-A905-4675-A767-639AC208666E.jpeg
7C046539-8732-41C3-8A80-9900C68FCD92.jpeg
 
Sijui ni kutoelewa kiingereza mnakuwanga nayo ama ni cherry picking.
From the same article.
View attachment 2179570View attachment 2179571
Wewe English ndio hujui, nimekuambia madini ya Vito hayachimbwi na asie mtanzania unless aingie ubia na mtanzania na mtanzania amiliki shares kubwa kwenye company, article says that all, nimekuambia Reginald Mengi ni mmiliki wa company kubwa ya madini ya Tanzanite, article says it all

Sasa unachopinga ni nini kama wewe sio taahira?
Hayo mambo ya government kutopata good revenues ni other different storyline from what we're arguing about

Screenshot_20220407-170529.png
 
Sijui ni kutoelewa kiingereza mnakuwanga nayo ama ni cherry picking.
From the same article.
View attachment 2179570View attachment 2179571
Unachobisha ni kipi sasa? Wewe unafikiri Magufuli alivyojenga ukuta Mirerani alikua anamaana gani? Huingii ndani ya ukuta kama huna kitambulisho cha utaifa sababu waliomo ndani ya eneo la uchimbaji ni Watanzania, wageni wanakuja kununua tu

Screenshot_20220408-043739.png
 
As Kenya is building 3000km of paved roads in a single year, Tanzania is also happy to build 200km[emoji23][emoji23]View attachment 2179799
Wewe taahira kweli, barabara gani kilometers 3k inajengwa kwa mwaka mmoja? Barabara kilomita 50 tu huwezi kujenga kwa mwaka ndio zitakua kilometers 3000?

Average good standard bitumen road ya kilometers 30 inaweza kujengwa kwa mwaka mmoja na nusu kwa mazingira yetu ya Africa from mobilization period to launching kwa company yenye vifaa vingi na manpower kubwa

Mtajenga kilometers 3000 kwa mwaka mmoja kama mmeajiri Makampuni 150 kila company kilometers 20 kwa mwaka!

Wana siasa wenu wanawadanganya ndio maana zaidi ya 65% mpo kwenye umaskini wa ufalume 😂😂😂😂
 
Kwa hivyo Uganda na Tanzania mkiwacha kutuuzia chakula basi nchi zingine zinazozalisha chakula pia zitakataa kutuuzia chakula? Kwa hivyo Uganda na Tanzania zina uwezo wa kukataza nchi zingine kutuuzia chakula?
Ukiacha Uganda na Tanzania, ni nchi gani zingine hasa za jirani zenye chakula cha ziada zinazoweza kuwauzia kwa haraka na Bei nafuu?, Hamuwezi kutegemea chakula toka Brazili kwa maisha yenu yote, huko ni kwa ajili ya dharura tu.
 
Umesahau Kenya iliishi vizuri tu bila EAC kuanzia mwaka wa 1977 hadi 2001? Ama umesahau hilo? Halafu trade kati ya Kenya na nchi jirani itaendelea tu. Usifikiri kwamba Kenya iliwacha kutrade na Uganda au Tanzania eti kwa sababu EAC ilivunjika. EAC ina advantage moja tu, kwamba inapunguza tariff na trade barriers. Bila EAC trade itaendelea ila kutakuwa na trade barriers na tozo za aina nyingi kwa hivyo trade itakuwa expensive na itapungua lakini haitakwisha. Tutaendelea kununua mizigo na kuuziana mizigo.
Kenya ilipata shida Sana tulipofungiana borders 1977, bahati kwenu kipindi kile bado kulikua na "cold war", ninyi mlikua mnapata support kubwa toka "western countries", pia uchumi wa Kenya ulikuja hautegemei Sana nchi za Uganda na Tanzania.

Hivi Sasa uchumi wa Kenya umeegemea Sana katika nchi hizi mbili, Uganda na Tanzania, yaani bila Tanzania na Uganda uchumi wa Kenya utayumba Sana, kumbuka Kuna zaidi ya kampuni 520 ya Kenya yamewekeza Tanzania pekee, hiyo ni dalili tosha kwamba, bila Tanzania uchumi wa Kenya utasambaratika kabisa
 
Yaani Tanzania ilijenga kilometre 251 pekee ya barabara kwa kiwango cha lami kwa mwaka mmoja? Hizo ni kilometre chache sana.
Ndio ukweli wenyewe huo.Pesa yote ilienda kulipa madeni ya contractors,juzi Kati mbunge aliuliza swali Bungeni Kuhusu hii issue kwamba Serikali iache kudanganya iseme ukweli tuu kwamba mwaka huu imelipa madeni ya contractors.
 
1649392150590.png

Tells the story of a country that is not blessed with natural resources....Education remains the only way out. Everyone is on his own. The only thing the government can do is make sure you gain some skills to help yourself. If you don't, you simply perish 😃😃
 
Back
Top Bottom