Kwa taarifa yako, Kenya inafanya biashara sana na nchi zilizo nje ya Africa kushinda nchi za Afrika. Kenya inauza majani chai Pakistan, Egypt na UK. Kenya inauza mboga na maua Netherlands. Kenya inauza textile products (nguo za kuvaa) USA. Kenya inapokea $3 billion ya remmittance kila mwaka kutoka kwa Wakenya wanaoishi ulaya na zaidi ya 60% ya hii pesa inatokea USA. Kenya inategemea USA, UK na nchi za ulaya kwenye tourism sector. Kwa hivyo Kenya inategemea USA, UK na nchi za nje kushinda nchi za Afrika.
Cc
joto la jiwe