NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 17,044
- 19,238
Ziweke pamoja ni 6%. Hapo Dar 80% ya Jiji ni uswazi🤣🤣
Ziweke pamoja ni 6%. Hapo Dar 80% ya Jiji ni uswazi🤣🤣
Mwingine huyoHeeheee...nilijua utaleta hii picha. Hii inaitwa PR. Kwengine mnalalamika vile wakenya wanapata pesa nyingi kutoka kwa Tanzanite kuliko Tanzania.🤣🤣
Alafu hii Ruai unaita slum? Heeeheee
Kenya ukiondoa slums kesho Asubuhi hupati nchi [emoji23][emoji23][emoji23] sababu yote ni slums
Nimewapa kabang ya Dom wakakimbilia Dar kutafuta unplanned settlement sababu Dom wamekosa kabisa, wakati Kenya hakuna county utakosa msambao wa slums, counties zao zote zina slums kila kona
Wazungu wenye akili wanasema 70% ya Nairobi population wanaogelea kwenye slums kushoto kulia 😅Ziweke pamoja ni 6%. Hapo Dar 80% ya Jiji ni uswazi🤣🤣
Mwingine huyo
Sasa hawa ni wanaoripotiwa, wapo thousands get fortune unreported
Watu 20 tu ndio wanakaa hapo mbali na wakazi million 5 wa Nairobi 😂😂😂😂Alafu hii Ruai unaita slum? HeeeheeeView attachment 2178901
Sendeu ni myahudi? 😅😅😅😅Mali ya Myahudi hii.🤣🤣🤣
Ukitaka tufuate habari za wazungu pia ni sawa.🤣🤣Wazungu wenye akili wanasema 70% ya Nairobi population wanaogelea kwenye slums kushoto kulia 😅
View attachment 2178904
Na hawa waliopo humu wengi wao wanaishi kwa slums, wanaonekana tu argument zao ni wana hasira sn kutokana na maisha magumu wanayoishi.Mbona ni balaa hii! [emoji23][emoji23][emoji23]
Kenya’s capital, Nairobi, has more than 40 areas defined as slums and approximately 60% of Nairobi’s population, of 4.4 million people, live in low income settlements (slums).
![]()
Kenya’s slums are a haven for viruses: here’s what we know
Because low-income settlements are unplanned, crowded and without sanitation, there are many viral infections that cause health problems.theconversation.com
Hakuna ardhi Tanzania inaweza shikwa na asie mtanzania usijidanganye 🤣🤣🤣🤣Mashamba ya chai huko Tanzania imeshikiwa na wakenya[emoji23]
Naweza kuvihesabu hivi vijumba [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Alafu hii Ruai unaita slum? HeeeheeeView attachment 2178901
Na hapa ni makadirio tu but reality ni kwamba over 90% wanaishi kwa slums.Wazungu wenye akili wanasema 70% ya Nairobi population wanaogelea kwenye slums kushoto kulia [emoji28]
View attachment 2178904
Kumbe ni unplanned settlement, nilidhani ni slums, no slums in Tz.Ukitaka tufuate habari za wazungu pia ni sawa.[emoji1787][emoji1787]
View attachment 2178907
Lazima kuna mmoja mmoja anayefaidika Ila 90% ni mali ya Mzungu, Myahudi, Mchina et al.Sendeu ni myahudi? 😅😅😅😅
Na hawa waliopo humu wengi wao wanaishi kwa slums, wanaonekana tu argument zao ni wana hasira sn kutokana na maisha magumu wanayoishi.
na huo ndiyo ukweliVigezo vya nchi kuingia EAC vipo wazi na vineandikwa katika mikataba/makubaliano EA act, Kama nchi yoyote itatimiza hivyo vigezo, lazima itaruhusiwa kujinga na jumuia ya East Africa, haijalishi Kama nchi mwanachama itapinga au hapana, kumbuka hakuna " matumizi" ya veto katika maamuzi kwenye jumuiya ya EA.
Tatizo la wakenya ninyi ni wakorofi Sana, katika ugomvi wenu na Somalia, mahakama na dunia nzima zimerhibitisha kwamba Somalia ndio yenye haki, Sasa unataka Somalia ikataliwe kujiunga/ kupewa haki kutokana na ukorofi wenu?, Kwahiyo Kama mwanachama mmoja anamatatizo yake binafsi na nchi nyingine, basi hiyo nchi itakataliwa kujiunga kwasababu ya matatizo Yao?.
Nonakuhalilishia, Somalia ikitimiza vigezo itaruhusiwa kujiunga, kigezo kimoja muhimu ni "Stable government" Somalia ikiwa na stable government itaruhusiwa bila kujali Kenya mtaamuaje, Tanzania ndio baba wa EAC, ndio muanzilishi wa wazo la kuundwa EAC (Julius Nyerere), Tanzania ndio kwenye HQ ya EAC(Arusha). Tanzania ikipinga jambo lolote katika EAC hakiwezi kufanikiwa(CoW & tourist visa)
Duuhh, wakunya wachafu sn.Angalia hii. [emoji2961][emoji2961][emoji2961]
wakija hapa wanaishia kupost picha zao za estate tu ambazo miaka nenda rudi ni hizo hizo tuMbona ni balaa hii! [emoji23][emoji23][emoji23]
Kenya’s capital, Nairobi, has more than 40 areas defined as slums and approximately 60% of Nairobi’s population, of 4.4 million people, live in low income settlements (slums).
![]()
Kenya’s slums are a haven for viruses: here’s what we know
Because low-income settlements are unplanned, crowded and without sanitation, there are many viral infections that cause health problems.theconversation.com
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji116][emoji116]Hakuna ardhi Tanzania inaweza shikwa na asie mtanzania usijidanganye [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tofautisha kukodishiwa na kushikwa hayo mashamba yana wenyewe [emoji23]