Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Riat Hills Kisumu. Pembeni mwa jiji kabisa.
hoxedoz3rqxkfu0exg60032ebd82c17.jpg
45f21d11b2a0ab-m1-ridgepark-estate-terraced-duplexes-for-sale-central-kisumu-kisumu.jpg
Ridge-Park-Estate-Riat-Hills-Kisumu.jpg
Screen-Shot-2022-02-17-at-18.30.56.jpg
Kigoma is London to Kisumu

 
Wewe nilishakuambia kwamba Somalia haiwezi kuingia EAC kwa sababu Kenya ita-veto hio decision. Ujue hakuna jinsi nchi mpya itaingia EAC ikiwa nchi yoyote itapinga. Kwa hivyo Somalia haiwezi kuingia EAC ikiwa Kenya itakataa. Decisions za EAC zinafanywa kutumia concensus yaani makubaliano. Hakuna kutumia kifua kwenye EAC lazima kila nchi ikubali ili jambo fulani lifanyike. Somalia haitaingia EAC. Simple tu. Somalia ni maadui wetu wa jadi na hatuwezi kukaa kwenye nyumba moja na wao.
Vigezo vya nchi kuingia EAC vipo wazi na vineandikwa katika mikataba/makubaliano EA act, Kama nchi yoyote itatimiza hivyo vigezo, lazima itaruhusiwa kujinga na jumuia ya East Africa, haijalishi Kama nchi mwanachama itapinga au hapana, kumbuka hakuna " matumizi" ya veto katika maamuzi kwenye jumuiya ya EA.

Tatizo la wakenya ninyi ni wakorofi Sana, katika ugomvi wenu na Somalia, mahakama na dunia nzima zimerhibitisha kwamba Somalia ndio yenye haki, Sasa unataka Somalia ikataliwe kujiunga/ kupewa haki kutokana na ukorofi wenu?, Kwahiyo Kama mwanachama mmoja anamatatizo yake binafsi na nchi nyingine, basi hiyo nchi itakataliwa kujiunga kwasababu ya matatizo Yao?.

Nonakuhalilishia, Somalia ikitimiza vigezo itaruhusiwa kujiunga, kigezo kimoja muhimu ni "Stable government" Somalia ikiwa na stable government itaruhusiwa bila kujali Kenya mtaamuaje, Tanzania ndio baba wa EAC, ndio muanzilishi wa wazo la kuundwa EAC (Julius Nyerere), Tanzania ndio kwenye HQ ya EAC(Arusha). Tanzania ikipinga jambo lolote katika EAC hakiwezi kufanikiwa(CoW & tourist visa)
 
no amount of falling buildings in Kenya will change the fact that your source of pride, national symbol and where your laws are made was designed by Kenyans....hii wembe utaimeza leo.
Only thing remaining to keep you relevant is to show the world that "even Tanzania trust Kenya in one way or another, without forcing endorsement from Tanzania, there is nor way Kenya can remain relevant[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hehehe acha niwawekee hii hapa wasije wakasahau[emoji23][emoji23][emoji23]

View attachment 2178527
This is how Tanzania is big brother in EAC, Kenya without showing the World that even Tanzania trusts Kenya, there is nor way Kenya can get any where, is this the story to be on the front page?, Kenya mnaiogopa Sana Tanzania
 
Only thing remaining to keep you relevant is to show the world that "even Tanzania trust Kenya in one way or another, without forcing endorsement from Tanzania, there is nor way Kenya can remain relevant[emoji23][emoji23][emoji23]
relevant or not clearly the Tanzania government trusts Kenyans enough to the point that they chose Kenyans design the Tanzania parliament building.

you really think there's a way to argue yourself out of this reality?....I am entertained by your ability to discover new ways to be stupid.
.
 
Vigezo vya nchi kuingia EAC vipo wazi na vineandikwa katika mikataba/makubaliano EA act, Kama nchi yoyote itatimiza hivyo vigezo, lazima itaruhusiwa kujinga na jumuia ya East Africa, haijalishi Kama nchi mwanachama itapinga au hapana, kumbuka hakuna " matumizi" ya veto katika maamuzi kwenye jumuiya ya EA.

Tatizo la wakenya ninyi ni wakorofi Sana, katika ugomvi wenu na Somalia, mahakama na dunia nzima zimerhibitisha kwamba Somalia ndio yenye haki, Sasa unataka Somalia ikataliwe kujiunga/ kupewa haki kutokana na ukorofi wenu?, Kwahiyo Kama mwanachama mmoja anamatatizo yake binafsi na nchi nyingine, basi hiyo nchi itakataliwa kujiunga kwasababu ya matatizo Yao?.

Nonakuhalilishia, Somalia ikitimiza vigezo itaruhusiwa kujiunga, kigezo kimoja muhimu ni "Stable government" Somalia ikiwa na stable government itaruhusiwa bila kujali Kenya mtaamuaje, Tanzania ndio baba wa EAC, ndio muanzilishi wa wazo la kuundwa EAC (Julius Nyerere), Tanzania ndio kwenye HQ ya EAC(Arusha). Tanzania ikipinga jambo lolote katika EAC hakiwezi kufanikiwa(CoW & tourist visa)
Hapa unachosema sio kweli. Hakuna jinsi Somalia itajiunga na EAC. Wacha tuweke haya majadiliano kwenye kumbukumbu. Ukweli utadhihirika tu siku za usoni. Tutaona kama Somalia itawahi kujiunga na EAC. Kenya tuna tatizo kibao na Somalia, sio hio kesi ya korti pekee. Afadhali tuondoke. Huwa mnaidharau Kenya lakini tukiondoka ndio mtajua EAC haina maana yoyote bila Kenya.
 
Hapa unachosema sio kweli. Hakuna jinsi Somalia itajiunga na EAC. Wacha tuweke haya majadiliano kwenye kumbukumbu. Ukweli utadhihirika tu siku za usoni. Tutaona kama Somalia itawahi kujiunga na EAC. Kenya tuna tatizo kibao na Somalia, sio hio kesi ya korti pekee. Afadhali tuondoke. Huwa mnaidharau Kenya lakini tukiondoka ndio mtajua EAC haina maana yoyote bila Kenya.
Kenya inategemea sana EAC lasivyo business partners wenu by 90% wanatakiwa wawe Sudan, Somali, Ethiopia lakini kama mnategemea soko la Tanzania, Uganda, Rwanda, Burundi, DRC na nchi za SADC hamna ubavu wa kuleta kiburi

Nchi pekee inayoweza kujiondoa EAC na mambo yake yakaenda kama kawaida ni Tanzania tu sababu inajitegemea kwa kila kitu kuanzia bandari na direct borderlines na masoko makubwa ya bidhaa zake.
 
Back
Top Bottom