Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya inategemea sana EAC lasivyo business partners wenu by 90% wanatakiwa wawe Sudan, Somali, Ethiopia lakini kama mnategemea soko la Tanzania, Uganda, Rwanda, Burundi, DRC na nchi za SADC hamna ubavu wa kuleta kiburi

Nchi pekee inayoweza kujiondoa EAC na mambo yake yakaenda kama kawaida ni Tanzania tu sababu inajitegemea kwa kila kitu kuanzia bandari na direct borderlines na masoko makubwa ya bidhaa zake.
Kwa taarifa yako, Kenya inafanya biashara sana na nchi zilizo nje ya Africa kushinda nchi za Afrika. Kenya inauza majani chai Pakistan, Egypt na UK. Kenya inauza mboga na maua Netherlands. Kenya inauza textile products (nguo za kuvaa) USA. Kenya inapokea $3 billion ya remmittance kila mwaka kutoka kwa Wakenya wanaoishi ulaya na zaidi ya 60% ya hii pesa inatokea USA. Kenya inategemea USA, UK na nchi za ulaya kwenye tourism sector. Kwa hivyo Kenya inategemea USA, UK na nchi za nje kushinda nchi za Afrika.

Cc joto la jiwe
 
Kwa taarifa yako, Kenya inafanya biashara sana na nchi zilizo nje ya Africa kushinda nchi za Afrika. Kenya inauza majani chai Pakistan, Egypt na UK. Kenya inauza mboga na maua Netherlands. Kenya inauza textile products (nguo za kuvaa) USA. Kenya inapokea $3 billion ya remmittance kila mwaka kutoka kwa Wakenya wanaoishi ulaya na zaidi ya 60% ya hii pesa inatokea USA. Kenya inategemea USA, UK na nchi za ulaya kwenye tourism sector. Kwa hivyo Kenya inategemea USA, UK na nchi za nje kushinda nchi za Afrika.

Cc joto la jiwe
Hahaha sasa nani asiefanya hivyo? Tanzania inauza dhahabu worth of $3b nje korosho worth of $1.6b nje bado mazao mengine na bidhaa nyingine nje ya Africa

Tanzania kwa Africa inafanya biashara zaidi na South Africa then DRC ambao sio members wa EAC

Topic ni EAC hapa.
 
Kama hiyo ni slum na hii je tutaita Nini? [emoji1787][emoji1787]

View attachment 2178621
Hiyo ni high end residential area together with this one[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji116]

images%20(25).jpg
 
This is how Tanzania is big brother in EAC, Kenya without showing the World that even Tanzania trusts Kenya, there is nor way Kenya can get any where, is this the story to be on the front page?, Kenya mnaiogopa Sana Tanzania
Hatueziogopa nchi yenye tunaendesha uchumi wao[emoji1787][emoji23][emoji1787].

We control your economy
We control your agriculture
We control your Aviation
We control your education
We control your administration
 
Picha kwanza juu kulia mbona barabara imebana hivyo haitaleta traffic jam kweli Mr.DON.
The essence ya hiyo flyover nikuondoa roundabout inayo leta foleni, in order to allow a seamless flow of traffic, hiyo view is just a distort ya camera angle.., get the clip ya T-Mall kwa youtube uitazame vizuri..,
 
Hiyo ni high end residential area together with this one[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji116]

View attachment 2178716
And then someone will boldly say Dar haina slum, for real Tanzanian towns ni slummy on average.., better looking residential ni less than 10% of each town.., ukiangalia all their towns kwa google earth u will see real time Tz in 2022.., kila kona.., so I don't value their reasoning here coz ukweli najua na iko wazi sana.., Google earth is king, msema ukweli., mtu akikataa data, mwaga google earth views..,
 
And then someone will boldly say Dar haina slum, for real Tanzanian towns ni slummy on average.., better looking residential ni less than 10% of each town.., ukiangalia all their towns kwa google earth u will see real time Tz in 2022.., kila kona.., so I don't value their reasoning here coz ukweli najua na iko wazi sana.., Google earth is king, msema ukweli., mtu akikataa data, mwaga google earth views..,
Ngoja uskie mjinga mwingine akisema tuzoom hiyo picha[emoji23][emoji23][emoji1787]
 
@Simon ..Nafikiri Tan Roads wangeifanya hii lane ya mwisho na si za kati kati kuwa BRT itakuwa ngumu BRT Buses kuvuka lane 3 kuja kushusha passengers...

Lane ya Kati iliyowekewa kingo za zege iwe Express Lane kwa magari yasiyotaka kutoka nje ya barabara hadi Kibaha

I heard lane ya kati ni kwa ajili ya mabasi na si BRT.
 
The essence ya hiyo flyover nikuondoa roundabout inayo leta foleni, in order to allow a seamless flow of traffic, hiyo view is just a distort ya camera angle.., get the clip ya T-Mall kwa youtube uitazame vizuri..,
Ohhh! Sawa.
 
Hahaha sasa nani asiefanya hivyo? Tanzania inauza dhahabu worth of $3b nje korosho worth of $1.6b nje bado mazao mengine na bidhaa nyingine nje ya Africa

Tanzania kwa Africa inafanya biashara zaidi na South Africa then DRC ambao sio members wa EAC

Topic ni EAC hapa.
Mimi nilikuwa nakujibu kwa sababu ulisema bila Tanzania au Uganda kwamba Kenya tutakufa. Sasa nilikuwa nakuarifu tu kwa taarifa yako kwamba bila Tanzania au Uganda bado Kenya tutaendelea kuuza mazao yetu na kupokea remmittance ya $3 billion kutoka nchi zilizo nje ya Afrika. Kwa hivyo muwache maringo, sisi hatuwahitaji kama mnavyofikiri.

Cc joto la jiwe
 
And then someone will boldly say Dar haina slum, for real Tanzanian towns ni slummy on average.., better looking residential ni less than 10% of each town.., ukiangalia all their towns kwa google earth u will see real time Tz in 2022.., kila kona.., so I don't value their reasoning here coz ukweli najua na iko wazi sana.., Google earth is king, msema ukweli., mtu akikataa data, mwaga google earth views..,
nampenda diamond coz roho yake iko wazi kabisa

Screenshot_20220217-215308_YouTube.jpg
 
Back
Top Bottom