Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sijui mbona wengi wenu hawapendi ukweli na utafiti wowote kwao not favoring their ego ni uchwara 😂.
Hakuna jamii itakosa watu dizaini hii na pia background ya malezi ya Tzn wamezoea kulishwa propaganda na uongo.

Ni kama vile mwanamke ukimpamba kwa uongo anafurahi tofauti na kumueleza ukweli..

Hii pia ndio inamletea shida SSH,anasema ukweli kwa watu wenye majibu yao ya kisenge vichwani 😝😝
 
Tanzania is set to become the world largest supplier of helium gas comes 2025.

We have the largest deposits than any other Country in the whole World 👇

Screenshot_20220405-220025.png


Screenshot_20220406-074825.png
 
mara ya kwanza ulitaka ww3 itokee ..umeona effects zake..still tz imports most of its cooking oil..and 40% of sugar ..we nees to improve on this and become net exporters
Ukifikia turning point unasema liwalo na liwe..

Huyo mbwa amalize hii vita. Kwa Tzn,kesi ya mafuta ya kula inaenda kuisha ndani ya misimu 2 ijayo by 2024 .
 
Mi najiuliza mbona inaikalia wizara ya Ujenzi namna hii? Naskia Sinohydro huyuhuyu kapewa tender ya Dodoma Airport! Alitokea Kenya! Mbona Starbag asipewe aendelee? Hata kwenye ujenzi wa meli kampuni za kikorea zipewe tenders!
Kwa mfano Gondwe alivyokuwa mkuu wa wilaya temeke alikua anakagua huo mradi kuwaambia warudie sehemu zenye ufa pamoja na malipo za wafanyakazi kulikua na migogoro mingi . Sasa hivyo kaamishwa . Hao wachina wanazingua na wenye mamlaka hawataki kuwachukulia serious action . Ngoja tuje kuona matokeo ya huo mzaha
 
Back
Top Bottom