LURIGA
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 2,511
- 3,921
Hizi habari za Kinana kurudi madarakani zikiwafikia Tembo wetu huko porini hao wanyama watapata simanzi maana mtesi wao amerudi. 😃😃😃
Apana huu ndio usafi




Thanks for TBT

We are not your level. Kisii Fire Station.aside Karuri Municipality onyesha fire station nyingine Kunyaland as a start!
Thnks kwa empty wordsThanks for TBT![]()

Na hiyo mall kwanza hata sio yao, it's owned by Botswana guyNyie ni kama mna mall moja tu hio Mlimani city. Kwa nini hio ndio mall mnayotaja kila wakati?



To mention just a few, there are also Rock city mall, aura mall, palm beach mall. Have a great night!Nyie ni kama mna mall moja tu hio Mlimani city. Kwa nini hio ndio mall mnayotaja kila wakati?
Watakuambia wanapiga shopping kariakoo hawana haja na Malls mingi😄Na hiyo mall kwanza hata sio yao, it's owned by Botswana guy![]()
Which few ama umezitaja karibu zote😄To mention just a few, there are also Rock city mall, aura mall, palm beach mall. Have a great night!
You are just listing wholesale shops instead of mallsTo mention just a few, there are also Rock city mall, aura mall, palm beach mall. Have a great night!


In that list only one deserves to be a mall, Rock CityWhich few ama umezitaja karibu zote![]()


Hakuna kitu kinauma wadanganyika kuliko hii barabara sababu hakutawahi tokea siku barabara kama hii itajengwa mahala popote Tanzania in the next 100+ years



Muhimu kwetu ni masoko ambayo yanawapa ajira watanzania wa classes zote kufanya biashara na yanauza bidhaa zetu za ndani hasa zile za wajasiria Mali na wakulima wadogo.Watakuambia wanapiga shopping kariakoo hawana haja na Malls mingi![]()
Stop this nonsense, Kenya there is no SGR, what you have is old model MGR with very old technologyOur SGR is functioning, what about yours?![]()



Ninyi ni masikini Sana, kila siku mnaomba kusamehewa kabisa deni lenu, lakini kwasababu serikali yenu ni "very corrupt" mnakosa vigezo vya kusamehewa madeniKuomba muda usongezwe mbele na kushindwa kulipa vitu viwili tofauti. Kenya is asking for time to be extended while Tanzania is asking for forgiveness.




