NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
Topestan









Kwanini unasumbuka na huyo msahaulifu? Mara ngapi mall zimewekwa humu na kaziona na ame comment, ss leo anakwambia ipo moja, na wala sio tu kwa Tz bali hata huko kwao kuna vitu vinapostiwa humu vya kwao na vilishawahi kupostiwa na akachangia lkn leo atakuambia "haaa kumbe Nairobi kuna apartments supuu hivi sikuwa najua"To mention just a few, there are also Rock city mall, aura mall, palm beach mall. Have a great night!
Aisee hii road imejengwa na kuna sidewalks mujarab, kuna siku nilishawahi kuweka progress humu nadhani hukuwa na bandle au ulikuwa mbali na wi-fi ya chuo but ni moja ya road kali kabisa ukanda huu na inakwenda mpk pale the state of art a.k.a the most modern hospital in EA The Muhimbili National hospital.
Who told you Kenya hakuna those markets you are talking about? Kwanza tuko na a lot kuliko Tz.Muhimu kwetu ni masoko ambayo yanawapa ajira watanzania wa classes zote kufanya biashara na yanauza bidhaa zetu za ndani hasa zile za wajasiria Mali na wakulima wadogo.
Malls 85% ya bidhaa zinazouzwa ni imported, Kama ni bidhaa za ndani karibia zote zimetoka viwandani, mama mboga na vijana wa jua Kali hawana nafasi kwenye malls. Kenya hamuwathamini kabisa watu wenye kipato cha chini, huo ndio ukweli
Najua hujui what SGR is, so I'll forgive you for thatStop this nonsense, Kenya there is no SGR, what you have is old model MGR with very old technology![]()

Stone age designs

Mjenge mkitoa pesa wapi?Barabara hii imejengwa sasa hivi mpya with proper sidewallks, Remember BRT runs here to Muhimbili Hospital. Subiri picha kali nikipita hapo![]()

And do we really care?Hakuna kitu kinauma wadanganyika kuliko hii barabara sababu hakutawahi tokea siku barabara kama hii itajengwa mahala popote Tanzania in the next 100+ years![]()


Wananishangaza sana. Hio Mlimani city na Roc city ndio nasikia wakitaja taja sana. Yaani nchi nzima ambayo inapenda kubishana na Kenya ina malls chache ambavyo vinahesabika kwa vidole vya mkono mmoja huku Kenya tuna malls zaidi ya 30 na tumenyamaza tu. Kenya kuna malls hata kwenye towns ndogo ndogo tu Halafu bado wanataka ligi na Kenya.Na hiyo mall kwanza hata sio yao, it's owned by Botswana guy![]()
Hahahahaha, who told you Tanzania hakuna those malls, kwanza tuko na malls nyingi kuliko KenyaWho told you Kenya hakuna those markets you are talking about? Kwanza tuko na a lot kuliko Tz.
You don't have malls in Tz, what you have are wholesale shopsHahahahaha, who told you Tanzania hakuna those malls, kwanza tuko na malls nyingi kuliko Kenya



Hahahaha, I am not even sure if the distance between your substandard old model railway is long enough to be called SGR. Wakenya tafadhali Sana achaneni na kutaja hiyo reli yenu, ni aibu kubwa Sana kuzungumzia hiyo reli kujengwa katika Karne hiiNajua hujui what SGR is, so I'll forgive you for that![]()
Hizo malls mbili moja is owned by the government and the other by the Botswana guy. Yani mtanzania hana hata pesa ya kujenga MallWananishangaza sana. Hio Mlimani city na Roc city ndio nasikia wakitaja taja sana. Yaani nchi nzima ambayo inapenda kubishana na Kenya ina malls chache ambavyo vinahesabika kwa vidole vya mkono mmoja huku Kenya tuna malls zaidi ya 30 na tumenyamaza tu. Kenya kuna malls hata kwenye towns ndogo ndogo tu Halafu bado wanataka ligi na Kenya.

Why do these people always like cheating Tanzanians?.
What do you know about SGR? Remember Tz haina functioning SGRHahahaha, I am not even sure if the distance between your substandard old model railway is long enough to be called SGR. Wakenya tafadhali Sana achaneni na kutaja hiyo reli yenu, ni aibu kubwa Sana kuzungumzia hiyo reli kujengwa katika Karne hii

Gor Mahia don't lie like this, hii ni aibu banaWhy not talk about Gor mahaya


Hahahaha, You don't have markets in Kenya, what you have are just open space for children to playYou don't have malls in Tz, what you have are wholesale shops![]()