Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwanini mlikataa kuwapokea wakimbizi kipindi cha ukombozi?, Sababu ni kwamba wazungu wallikua wakiungwa mkono wakoloni kusini mwa Afrika, nchi yoyote iliyoonekana kuunga mkono ukombozi, " automatically" ilikua ni adui wa wazungu, wakenya mlichagua kuwasaliti waafrika na kuwakumbatia wazungu.

Baada ya Uhuru wa Afrika, hawa wakimbizi wengine mnaowapokea Sasa wapo chini ya UN, hakuna tena hatari ya kuwakasirisha wazungu kwa kuwasaidia hao wakimbizi, pia Kuna msaada toka UN kwa nchi zote zinazowahifadhi wakimbizi, ndio sababu hivi Sasa mnawapokea, ila USA walisema muwafukuze lazima mtawafukuza.

Kuhusu idadi ya wakimbizi Kati ya Tanzania na Kenya, bado Tanzania imepokea idadi kubwa ya wakimbizi kuliko Kenya, kumbuka mamilioni ya wanyarwanda waliokimbia" Genocide" 1994, warundi, wakongo, Waganda enzi za Amin, wasomali na wakenya wakati wa PEV 2007
Ukitaka kuwajua vizuri hawa jamaa wanawakumbatia wazungu siku moja UN iseme fukuza hao wakimbizi wote tutawapa msaada nakwambia hata Wakenya wenzao watakaozubaa watafukuzwa ndani ya 24hrs. Hao ndio Wakenya.
 
Hao wanafiki mkuu hata wakati wa vita vya kagera UK alikuwa anampatia Kenya intelligence maana walikuwa wanaogopa Tanzania italeta vita hadi kenya kwa kwasababu tuu sisi ni wajamaa hivyo kukawa na aina fulani ya kutoaminiana ikafikia mpaka kenya kumsupport Iddi Amin kwa kushurutishwa na waingereza kufanya hivyo.
Na hii ilitaka kupelekea vita ya Tanzania na Kenya. Walipomfukuza Idd Amin nchini Uganda makanda waliokuwa mstari wa mbele walimuuliza Mwalimu vipi tusogee mpaka Kenya tuwashikishe adabu kwa kuwa wasaliti? Mwalimu akajibu hapana rudisheni majeshi nyuma na msiingie Kenya. Hawaijui historia vizuri hawa.
 
Kwani ni uongo kwamba Kenya tulimuaga damu tukipambana na mebeberu wakati nyinyi mlipewa uhuru wenu kupitia mazungumzo tu? Sasa unapinga nini hapo? Sasa unapinga kwamba Wakenya zaidi ya 20,000 waliuwawa katika vita vya Maumau wakati nyinyi mlipata uhuru bila hata kumwaga damu? Halafu ndio mnajifanya kwamba nyie ndio mnajua sana kupigana na mabeberu. Eti nyie ndio experts wa kupigana na mabeberu. Wajinga sana. Mnakuja kutuambia jinsi nyinyi ni mashujaa wa kupigana na mabeberu na hamjakufa mkipigana na mabeberu kama sisi. Hebu nendeni mkajipige vifua mahali pengine. Hamtutishi kwamba mumeikomboa Africa ilhali hamkumwaga tone la damu kama sisi kwenye vita vya mabeberu.
Kwahiyo wanajeshi waliokufa Mozambique, Angola South Africa walikuwa Wakenya siyo?
 
Construction ya jengo 1, unataka na sisi turingishiane Majengo yanayojengwa nchini, mbona tutajaza server ya Jf??
There's no building of 30 floors and above currently being built in Tanzania tofauti na kile kizee (Mzizima) kilianza kujengwa 2013 hadi wa leo haijaiisha. , don't think we are stupid.
 
Na hii ilitaka kupelekea vita ya Tanzania na Kenya. Walipomfukuza Idd Amin nchini Uganda makanda waliokuwa mstari wa mbele walimuuliza Mwalimu vipi tusogee mpaka Kenya tuwashikishe adabu kwa kuwa wasaliti? Mwalimu akajibu hapana rudisheni majeshi nyuma na msiingie Kenya. Hawaijui historia vizuri hawa.
Watanzania ni legends when it comes to propaganda
 
Ona wanavyopata tabu na Watz, vyombo vyao vya habari kuanzia magazeti, tv, blogs kila siku ni Tz tu mdomoni wkt huwezi kukuta tv, au redio ya Tz inaongelea Kenya labda state visit ya kiongozi au kuwe na vurugu huko kwao.
Good evening sorcerer

Screenshot_20220401-160235_Chrome.jpg
 
Tatizo lenu huwa mnapenda kuropokwa sana. Halafu huwa hamna facts. Sasa wewe umetoa madai ambayo hata nikikuambia udhibitishe, utashindwa kufanya hivyo. Huna evidence yoyote lakini unaropokwa tu bora nawe umesema jambo.
After Obote overthrow Kenya was the first country in Africa apart from Libya to recognize Amin government what a shame in supporting a junta that overthrew a democratically elected government.
 
Back
Top Bottom