Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yani leo sikuachiii mpka uniambie why mnapendabkuharaa kwa miferejiiiView attachment 2171940
Yesuuuu
1-AE48-A04-2541-405-E-B579-97-CE5434-FFFA.gif
 
Hebu nikuulize ni nchi gani ya Kiafrika ilikuja kutusaidia sisi wakati tulikuwa tunauwawa na mabeberu?
Nchi gani ya Afrika ilisaidia Ethiopian kuwapiga waitaliano, mbona Ethiopia ni miongoni mwa nchi za Afrika zilizosaidia nchi zingine kupata uhuru , Algeria nchi ya kiarabu lakini ilijitolea Sana vita vya ukombozi wa Afrika, ninyi wakenya ni watu wa hovyo Sana hapa Afrika.

Hivi Sasa eti mnajifanya kuhimiza umoja wa Afrika na kutaka kugombea uenyekiti wa AU, hakuna cheo cha Afrika ambacho Kenya mtapata, Afrika Kamwe haiwezikusahau usaliti wa Kenya kwa waafrika wengine
 
yani lyrics ama mistari ya nyimbo wa aina ya Rap, za wanamziki under recording lebel 'Calif Records' from california estate, in eastleigh. JuaCali ni moja wepo. wengine ni Mejja, Nonini, late E-sir, Flexx, Frasha, Ratatat, Pilipili etc
Okay! Nimekuwa nikilisikia kwenye nyimbo za Wakenya enzi hizo zikihit hasa Jua Kali. Thanks!
 
Kuna wenye bado wanataka kujilinganisha na Kenya in terms of real estate 😂😂🤣😂.

This is Kiganjo.


There are some houses I saw being posted here za Dodoma. That's when it dawned on me that we are not on the same level....
 
Back
Top Bottom