yani lyrics ama mistari ya nyimbo wa aina ya Rap, za wanamziki under recording lebel 'Calif Records' from california estate, in eastleigh. JuaCali ni moja wepo. wengine ni Mejja, Nonini, late E-sir, Flexx, Frasha, Ratatat, Pilipili etcWe dyfre, ngeli ya genge maana yake nini??
Uhuru na Kazi
Na hiii nirudishie nchi gani ?wahara miferejiniSasa rudishia wanageria picha yao![]()





Shilingi ya Kenya imepigwa na kitu kizito.Madeni ndio shida
Konza, tatu, railway cities na takataka zote Nairobi imekua ikijitapa inajenga zinaenda kujibiwa na hii project na bado hazitoshi hata kwa 10% ya ukubwa wa huu mradi
View attachment 2172032
Nani amekuambia kwamba tumeipata leo? Tumekuwa nayo tangu zamani. Ilifungwa kwa miaka miwili kufanyiwa marekebisho.Hizo tunazo kitambo sana kijana nyie ndio mnapata leo! Angalia hapo chini nikipata picha nzuri nitaweka. Tena tunazo zaidi ya moja.View attachment 2171901View attachment 2171902View attachment 2171903View attachment 2171906View attachment 2171909View attachment 2171910View attachment 2171911View attachment 2171912
Hebu nikuulize ni nchi gani ya Kiafrika ilikuja kutusaidia sisi wakati tulikuwa tunauwawa na mabeberu?Kwahiyo unajisifu kwa kushindwa kutumia diplomasia badala yake unajisifu kwa kupigana, we are smarter than you guys, we managed to convince them orally
Hizo nchi zingine zote ulizitaja ambazo zilipata uhuru wake, zote chimbuko la Uhuru wao ni Tanzania, sisi ndio tuliowasaidia kwa hali na Mali hadi wakawashinda wakoloni.
Tofauti Kati ya hizi nchi na Kenya ni kwamba, Kenya baada ya kupata uhuru wake iliamua kujitenga na waafrika na kuwakumbatia wazungu, lakini hizi nchi ziliendelea na vita kuzikomboa nchi zingine za Afrika hadi nchi zote za Afrika zilipokua huru. Kupigana vita vya uhuru sio sababu ya kutosaidia nchi zingine, huo ni ubinafsi wa Kenya na tabia ya nchi za kibepari, kutojali watu wengine
Kwanini wanapenda kukunya kwenye miferejiYani leo sikuachiii mpka uniambie why mnapendabkuharaa kwa miferejiiiView attachment 2171940


