Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yani leo sikuachiii mpka uniambie why mnapendabkuharaa kwa miferejiiiView attachment 2171940
Hii picha huwa ninaletea kinyaa hatari. Halafu wao ni sawa tu kwao kwa kuwa waliambiwa na wazungu wana uchumi mkubwa. Uchumi usiojali afya za watu ni majanga. Kutokuwa na vyoo ni kielelezo cha umasikini tena mji mkuu wa nchi, bora hata vijijini. Wanakunia tu kwa raha zao mtaani. Hakuna kuona aibu wala haya
 
CBD

20220401_170409.jpg
 
Kwahiyo unajisifu kwa kushindwa kutumia diplomasia badala yake unajisifu kwa kupigana, we are smarter than you guys, we managed to convince them orally

Hizo nchi zingine zote ulizitaja ambazo zilipata uhuru wake, zote chimbuko la Uhuru wao ni Tanzania, sisi ndio tuliowasaidia kwa hali na Mali hadi wakawashinda wakoloni.

Tofauti Kati ya hizi nchi na Kenya ni kwamba, Kenya baada ya kupata uhuru wake iliamua kujitenga na waafrika na kuwakumbatia wazungu, lakini hizi nchi ziliendelea na vita kuzikomboa nchi zingine za Afrika hadi nchi zote za Afrika zilipokua huru. Kupigana vita vya uhuru sio sababu ya kutosaidia nchi zingine, huo ni ubinafsi wa Kenya na tabia ya nchi za kibepari, kutojali watu wengine
hata uhuru wao wenyewe wa kenya umetokana na chimbuko la Tz,si jitihada zao

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Honestly, i will never discuss with you about slums, dem sure i know you guys have a PHD on that course, we didnt even finish kindagatedont argue with the fools, they will drug you to there level, and beat you with experience....bye mister mipesaaa
Must you type in English?😂😂🤣
 
The best 007 huwa anaamini kwamba hakuna kitu ambacho kipo Nairobi ambacho hakipo Dar. Sasa Malazy hebu tuonyesheni ice rink ambayo ipo Tanzania.

ata uscheze mbali Tony254.. hizi pekee hawanaso dar.. hehe..
moi-international-gymnasium.jpg
2855712_Swimming.jpg
kasarani-safaricom-indoor-arena-nairobi-kenya-circa-october-80436500.jpg
20220116_141629.jpg
20220116_141620.jpg
nyayo-pix.jpg
 
Hakuna neno kukunya. Huwa mnaongeza viambishi kwenye neno ambalo linapelekea kutamkwa tofauti na kwetu.
Mnasema kukula badala ya kula. Kukula na kukunya hutamkwa na watoto wetu wanapokuwa wanajifunza kuongea mtu mzima hawezi kutamka hivi ataonekana zimehama.
Tunavyowaita Kunyaland mnaelewa maana yake? Kwanini tusiwaite Kukunyaland?? Huku kwetu huwa tunakuna nazi..Kama kukwangua kitu, au kukuna kipele.
Karibuni mjifunze kiswahili sanifu kutoka Tanzania.
bambana na hali yenu.. ata Tony254 amekuelewa vizuri, kingereza cha UK na US inatafautiana kwa kiasi, na hawana shida.. uchumi wao bado una zidi kukua.. una complain nn hapa.! hakuna mwenye amekufa.!

hautabadilisha;

talanta kwa kipaji,
stima kwa umeme,
seng'enge kwa senyenge,
metameta kwa meremeta,
muundo msingi kwa muundo mbinu,
nyaya(plural) kwa waiya(plural)
 
bambana na hali yenu.. ata Tony254 amekuelewa vizuri, kingereza ya UK na US inatafautiana kwa kiasi, na hawana shida.. uchumi wao bado ina zidi kukua.. una complain nn hapa.! hakuna mwenye amekufa.!
Mbona vyenye makasiriko??Mimi nilichowabishia wewe na kaka yako ni kusema Tanzania tunasema kukula...ila kama mmenielewa vizuri sana, msiwe mnapotosha vitu na kupelekea watu waamini.
 
Konza, tatu, railway cities na takataka zote Nairobi imekua ikijitapa inajenga zinaenda kujibiwa na hii project na bado hazitoshi hata kwa 10% ya ukubwa wa huu mradi



View attachment 2172032
Hii imekaa vizuri sana na serikali ifanye kazi kweli kweli, kwa umakini pasije pakatokea makanjanja na kukwamisha huu mradi kwa maslahi yao.
 
bambana na hali yenu.. ata Tony254 amekuelewa vizuri, kingereza ya UK na US inatafautiana kwa kiasi, na hawana shida.. uchumi wao bado ina zidi kukua.. una complain nn hapa.! hakuna mwenye amekufa.!

hautabadilisha;

stima kwa umeme,
seng'enge kwa senyenge,
metameta kwa meremeta,
muundo msingi kwa muundo mbinu,
nyaya(plural) kwa waiya(plural)
We dyfre, ngeli ya genge maana yake nini??
 
Back
Top Bottom