Kwahiyo unajisifu kwa kushindwa kutumia diplomasia badala yake unajisifu kwa kupigana, we are smarter than you guys, we managed to convince them orally


Hizo nchi zingine zote ulizitaja ambazo zilipata uhuru wake, zote chimbuko la Uhuru wao ni Tanzania, sisi ndio tuliowasaidia kwa hali na Mali hadi wakawashinda wakoloni.
Tofauti Kati ya hizi nchi na Kenya ni kwamba, Kenya baada ya kupata uhuru wake iliamua kujitenga na waafrika na kuwakumbatia wazungu, lakini hizi nchi ziliendelea na vita kuzikomboa nchi zingine za Afrika hadi nchi zote za Afrika zilipokua huru. Kupigana vita vya uhuru sio sababu ya kutosaidia nchi zingine, huo ni ubinafsi wa Kenya na tabia ya nchi za kibepari, kutojali watu wengine