Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

unajua ni kwanin vilitokea mpaka wakamwaga damu, na kwa huko kwenu kenya kilichofanya mmwage dam ni nini?

hata hivyo kiongozi Makini hayati nyerere alikuwa smart kichwani kidiplomacia alikuwa na power kubwa sana ya ushawishi ndiyo maana alifanikiwa kusimamia kuisaidia Tz kupata uhuru na nchi nyingine za africa kwa kutotaka kuona damu zinaendelea kumwagika,

Je kenya ilifanya nini cha maana hapa duniani kwa hiko kipindi?,,


Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Kenya ni miongoni mwa nchi chache sana hapa Afrika ambayo ilipigania uhuru wake kupitia vita sio diplomasia. Nchi zingine pia ambazo zilimwaga damu ili kujipatia uhuru ni Zimbabwe, South Afrika, Namibia na Angola. Ila nchi kama ya Tanzania mlipewa uhuru baada ya mazungumzo tu. Halafu bado mnajifanya kwamba nyie ndio mnajua kupigana na mabeberu kutushinda sisi ilhali nyie hamkupigana na mabeberu mwanaume kwa mwanaume kama sisi tulivyofanya. Wakenya 50,000 waliuwawa katika vita vya Mau mau. Wakenya wengi ikiwemo wamama na watoto waliwekwa katika concentration camps. Vitabu vimeandikwa kuhusu hili mnaweza kuvisoma. Serikali ya UK iliomba msamaha kwa mateso na mauwaji iliyofanya Kenya wakati huo.


Cc ichoboy01
Geza Ulole
joto la jiwe
 
9 years back



last year



this year
Any profitable Airline business should bank on customers base, network, state of the art equipment, skilled work force and top management. Sasa ukiona Airline inaanza ku bank on government subsidies ujue tayari shirika limeangalia kibra anasubiriwa israil aje achukue chake
 
Una facts au unabwata tu

Qatar Alone comes to Dar 3x a day
angalia Domestic routes za Air Tanzania alfu uniambie kama KQ inaruka to that many destinations in Kenya

Leo pekee
Mwanza 3x
Kilimanjaro 3x
Mbeya2x
Mtwara
Dodoma 2x
Songea
Kigoma
Nairobi 2x
Harare
Lusaka
Zanzibar 4x
View attachment 2171513View attachment 2171514View attachment 2171515View attachment 2171516View attachment 2171517View attachment 2171518View attachment 2171519View attachment 2171521
View attachment 2171524View attachment 2171525View attachment 2171526View attachment 2171527
Flights nyingi sana kwa siku hizo bado watabishana na ukweli
 
Uhalisia
JamiiForums-96523545.jpg
 
na wao ndo walifanya kenya kua dominant na ikalie miji zote za eastern africa hadi waleo.. inasemekana nairobi modernity ilikua ina grow pamoja na london at the wake of the 20th century. ndo maana ata mw. j.nyerere kaitaja nairobi kama 'london' kwa wakati moja
London ina wakazi robo tatu wanaoishi kwenye slums?

London ni chafu?

London ina katika katika umeme kila wakati?

London haina maji?

London ina mazingira hatarishi kwa binadamu?

London wizi uliokubuhu?

London ina miundombinu outdated like block flyovers?

London haina BRT?

London haina electrifitried SGR?

Btw, nitaftie hiyo article Nyerere akilinganisha ka Nairobi na London ukipata nitag.
 
London ina wakazi robo tatu wanaoishi kwenye slums?

London ni chafu?

London ina katika katika umeme kila wakati?

London haina maji?

London ina mazingira hatarishi kwa binadamu?

London wizi uliokubuhu?

London ina miundombinu outdated like block flyovers?

London haina BRT?

London haina electrifitried SGR?

Btw, nitaftie hiyo article Nyerere akilinganisha ka Nairobi na London ukipata nitag.
Kwa sababu umeme unakatika hovyo Tanzania unafikiri umeme unakatika Kenya pia?
 
Kenya ni miongoni mwa nchi chache sana hapa Afrika ambayo ilipigania uhuru wake kupitia vita sio diplomasia. Nchi zingine pia ambazo zilimwaga damu ili kujipatia uhuru ni Zimbabwe, South Afrika, Namibia na Angola. Ila nchi kama ya Tanzania mlipewa uhuru baada ya mazungumzo tu. Halafu bado mnajifanya kwamba nyie ndio mnajua kupigana na mabeberu kutushinda sisi ilhali nyie hamkupigana na mabeberu mwanaume kwa mwanaume kama sisi tulivyofanya. Wakenya 50,000 waliuwawa katika vita vya Mau mau. Wakenya wengi ikiwemo wamama na watoto waliwekwa katika concentration camps. Vitabu vimeandikwa kuhusu hili mnaweza kuvisoma. Serikali ya UK iliomba msamaha kwa mateso na mauwaji iliyofanya Kenya wakati huo.


Cc ichoboy01
Geza Ulole
joto la jiwe
Tanzania ni miongoni mwa nchi chache ambazo zimewahi kushinda vita dhidi ya wazungu, nenda umsome Chifu Mkwawa aliyempiga mjerumani, hizo zote zilikuwa mbio za kupigania uhuru wetu Watz dhidi ya mabeberu. Alafu naona umetaja South Afrika nchi ambayo pia tuliisaidia kupigania uhuru wake na marais wote wa SA huwa wanaliongea hilo wazi wazi, na co SA tu bali Tz imesaidia nchi nyingi za Afrika kupata Uhuru wake na ndio maana ni miongoni mwa nchi chache zenye kuheshimika hapa Afrika.
 
The best 007 huwa anaamini kwamba hakuna kitu ambacho kipo Nairobi ambacho hakipo Dar. Sasa Malazy hebu tuonyesheni ice rink ambayo ipo Tanzania.

 
1)Peace
2)Unity
3)Food production
4)No tribalism
5) Less corruption
6) Better Hospitals
7)We are the biggest exporters to Kenya, Uganda, Rwanda and Burundi
8) Water and Electricity distribution
9)Best Airport and best stadium.
10)Beautiful ladies
Naona umeshika adabu Kwa point number seven😂😂🤣🤣. Kitambo ulikuwa unadanganya ati Tanzania is the biggest exporter to East Africa Community until I embarrassed you🤣🤣😂🤣.

The remaining points are just hot air.
 
How can you talk about modernity when your city only have one flyover and two interchanges?
Haaaaahaaaa kwanini sijashanga?so flyover is the key factor of mordenite? According to that emty brain of yours
honestly, i rather not talking about modernite instead show it
JamiiForums1025926654.jpg
JamiiForums-1898647154.jpg
JamiiForums-947866185.jpg
JamiiForums1001018487.jpg
JamiiForums-1724316832.jpg
JamiiForums1117692602.jpg
JamiiForums212552690.jpg
20210925_161409.jpg
JamiiForums1853192674.jpg
JamiiForums-1324176485.jpg
Screenshot_20210226-001725.jpg
IMG_20220317_061427.jpg
Screenshot_20210913-214503.jpg
JamiiForums2112599948.jpg
JamiiForums-1797722618.jpg
Screenshot_20210226-001552.jpg
JamiiForums-909183978.jpg
20210722_151302.jpg
JamiiForums1417447303.jpg
20201006_104413.jpg
JamiiForums-361365933.jpg
JamiiForums1183823277.jpg
JamiiForums-49327479.jpg
20200810_103835.jpg
JamiiForums1723727556.jpg
Screenshot_20200823-081514.jpg
JamiiForums1795548746.jpg
JamiiForums-269538671.jpg
JamiiForums1350244319.jpg
 

Attachments

  • JamiiForums-2020776185.jpg
    JamiiForums-2020776185.jpg
    54.5 KB · Views: 19
Back
Top Bottom