Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Vita vya maji maji mlipigana na Germans. Nyinyi hamkumwaga damu dhidi ya British ambao ndio waliowapatia uhuru wenu bure bila kumwaga damu.

Cc Lusematic
unajua ni kwanin vilitokea mpaka wakamwaga damu, na kwa huko kwenu kenya kilichofanya mmwage dam ni nini?

hata hivyo kiongozi Makini hayati nyerere alikuwa smart kichwani kidiplomacia alikuwa na power kubwa sana ya ushawishi ndiyo maana alifanikiwa kusimamia kuisaidia Tz kupata uhuru na nchi nyingine za africa kwa kutotaka kuona damu zinaendelea kumwagika,

Je kenya ilifanya nini cha maana hapa duniani kwa hiko kipindi?,,


Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
British walitoa Uhuru bila vita kwasababu reasoning na negotiation skills zetu kwa wa British na league of nations ilikuwa ya hali ya juu sana unlike other African countries yours included who were bush minded with no high class reasoning and negotiation skills. Hapo lazima mtuogope IQ yetu ni kubwa sana kuliko yenu.
kabisa huo ndiyo ukweli

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom