Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nilikuwa sijaona, kumbe ndio hapa kwenye ultra modern bus terminal[emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20220327-172129.jpg
 
Ndio nn BRT au? Hii nchi wanasiasa wanawachezea sn wananchi, yn hapo wanataka kuwaongopea wananchi kwamba na wao wana BRT kama ya Tz [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Akili mtu wangu, akili pekee ndio huwa unakosa. Wewe huoni hiyo bus imeandikwa Nairobi Commuter rail? Ama kusoma imekuwa shida kwako?
 
Akili mtu wangu, akili pekee ndio huwa unakosa. Wewe huoni hiyo bus imeandikwa Nairobi Commuter rail? Ama kusoma imekuwa shida kwako?
Si ndiyo hii hapa commuter station? Wewe lengo lako lilikuwa kuonesha bus au sio, haya hii hapa Nairobi commuter rail station [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20220327-172129.jpg
 
Si ndiyo hii hapa commuter station? Wewe lengo lako lilikuwa kuonesha bus au sio, haya hii hapa Nairobi commuter rail station [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2166116
I could have asked you how you're surviving without brain then I remembered that Jellyfish is your source of inspiration and hope.
1648392485625.jpg
 
What do you mean by "Hub for international business?". If you talk about international companies having their offices in Kenya, then the answer is clear, "Because Kenya is a capitalist economy", these western/capitalist companies need free and weak polices, where they can buy and own whatever they want without any Government awareness or interuption, they need a country which private sector is powerful and stronger than Government, that they can be allowed to work in the country but their bank accounts are in abroad, these are countries that have surrendered their economies to the so called "private sector" unregulated. In Africa, Kenya is the only country which it's economy is under control of private sector.
I have said it before and I’ll say it again, foreign businesses in Kenya aren’t exclusively from the west. And yes, Kenya is a capitalist country, but do you have any proof that their policies restrict government intervention? Because there is no private sector in the world that is completely unregulated! Government intervention will always occur. Operating a business abroad, especially in developing countries could be advantageous due to several factors such as lower labor wages, lower corporate taxes, a booming consumer market etc, but it seems to me that any country that has investments from the west is somehow wrong because it has given up its autonomy to such businesses. And this is ridiculous because places like Hong Kong and Singapore are THRIVING because of foreign businesses. Have they lost their autonomy to foreign powers?

The western world has been stereotypically labeled as an imperialistic force, which is absolutely true. But if you think that imperialism is strictly a western characteristic then you’re wrong. How many times has China threatened to control several countries’ assets because they failed to pay back China’s hefty investments? If you say that investments from the west are bad because you’re anti-capitalism but you neglect to mention China’s imperialistic approach then you’re an idiot. And you’re biased and naive. It fascinates me that this conversation is geared towards capitalism and communism while the main arguments could simply be based on the respective countries’ approaches to attracting investors. Shame on you.
 
mm nakwambia hvi ww liaaa lakini ukweli unaujua [emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa jiandae kisaikolojia kuskia mwaka huu ndege tano kubwa zinaingia

boeng 767 freighter moja
Airbus A320 mbili
bombadier q400 moja
boeing 787 dreamliner moja
Na boeing 2 737 max
 
Ulishawahi kusikia Kuna mtanzania yeyote mwenyekujihusisha na maamuzi ya serikali ya Kenya kuhusu Mambo Yao ya ndani?, Hawa jamaa wivu na kuiogopa Tanzania ndio vinavyowaumiza
Watanzania huo mda hatuna hawa majirani wivu tuu Ndio unawasumbua
 
I have said it before and I’ll say it again, foreign businesses in Kenya aren’t exclusively from the west. And yes, Kenya is a capitalist country, but do you have any proof that their policies restrict government intervention? Because there is no private sector in the world that is completely unregulated! Government intervention will always occur. Operating a business abroad, especially in developing countries could be advantageous due to several factors such as lower labor wages, lower corporate taxes, a booming consumer market etc, but it seems to me that any country that has investments from the west is somehow wrong because it has given up its autonomy to such businesses. And this is ridiculous because places like Hong Kong and Singapore are THRIVING because of foreign businesses. Have they lost their autonomy to foreign powers?

The western world has been stereotypically labeled as an imperialistic force, which is absolutely true. But if you think that imperialism is strictly a western characteristic then you’re wrong. How many times has China threatened to control several countries’ assets because they failed to pay back China’s hefty investments? If you say that investments from the west are bad because you’re anti-capitalism but you neglect to mention China’s imperialistic approach then you’re an idiot. And you’re biased and naive. It fascinates me that this conversation is geared towards capitalism and communism while the main arguments could simply be based on the respective countries’ approaches to attracting investors. Shame on you.
Mzee kingereza kingi cha nini njoo na facts sio maneno for the last 2 or 3 years tumewazidi wakenya kwenye gharama ya uwekezaji kutoka njee ,ww icho ki structure cha Microsoft cha 27 million $ kimekupagawishaa sana na ww uache kuwa biased juzi tu hapa wa misri wamesaini mkataba na serikali kuwekeza viwanda vyenye thamani ya dola bilioni 3 na jana tu au sijui ijumaa tumesaini mkataba na makampuni ya China kujenga viwanda zaidi ya 200 vyenye thamani ya bilioni 3 dola sasa wewe sijui unataka nn zaidi ya hapo
 
I have said it before and I’ll say it again, foreign businesses in Kenya aren’t exclusively from the west. And yes, Kenya is a capitalist country, but do you have any proof that their policies restrict government intervention? Because there is no private sector in the world that is completely unregulated! Government intervention will always occur. Operating a business abroad, especially in developing countries could be advantageous due to several factors such as lower labor wages, lower corporate taxes, a booming consumer market etc, but it seems to me that any country that has investments from the west is somehow wrong because it has given up its autonomy to such businesses. And this is ridiculous because places like Hong Kong and Singapore are THRIVING because of foreign businesses. Have they lost their autonomy to foreign powers?

The western world has been stereotypically labeled as an imperialistic force, which is absolutely true. But if you think that imperialism is strictly a western characteristic then you’re wrong. How many times has China threatened to control several countries’ assets because they failed to pay back China’s hefty investments? If you say that investments from the west are bad because you’re anti-capitalism but you neglect to mention China’s imperialistic approach then you’re an idiot. And you’re biased and naive. It fascinates me that this conversation is geared towards capitalism and communism while the main arguments could simply be based on the respective countries’ approaches to attracting investors. Shame on you.
👆👆 iyo ni mfano kadhaa tuu ya bara uko visiwani nako waomani wanaenda kuwekeza kwenye bandari, hoteli na apartments na viwanda zaidi ya bi mojaa dola
 
Hili bomba lingeenda kenya, sisi wabongo hata tusingekuwa na huu wivu wakenya walionao.. sisi huwa hatuko busy na vitu vya nje..wanaharakati wengi wa kibongo huwa wanapigia makelele mambo ya ndan ya nchi..vya nje huwa hawana mda nao..
Wakunya vya Tanzania sasa ndio zaidi ya vya ndani, diamond juzi huko Netflix sijui kasema (I am 31st years old) imekua breaking news mpaka wanasiasa wao wameacha campaigns wanadiscuss 31st

Hawa watu wana matatizo zaidi ya tunavyodhani! Hivi ni wapi Watanzania wanadiscuss kunyaland zaidi ya hapa JF?
 
Hawa ndo Wakenya nikupoteza nguvu zao bure tu!!!Raisi wao alienda kulialia kipindi kile kwa Macron akarudi na ahadi ya barabara tu,sasa sijui wanataka msaada wa serikali ipi kuishindikiza Total kusitisha mradi wa EACOP.
Alivyoona JPM anajenga electric SGR Akaenda pia huko kwa Macron, ni miaka minne toka Macron awaletee render ya electric train na kuwaachia manyoya 😅😅😅😅

Aliwaahidi kuwajengea atakapofika Paris tu! 🤣
 
Back
Top Bottom