ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
serekali na ATCL ni sawa na kusema unatoa hela mfuko huu wa kulia unaweka mfuko mwengine wa kushoto lakini suruali ni moja😂😂😂😂Mkuu tunakumbushana tu though wote ni wabongo. Ni hivi ATCL haujanunua na wala haimiliki ndege. Kilichofanyika ni Magufuli kununua ndege na KUWAKODISHA ATCL.
Huo ndo ukweli .
au labda nikuulize ATCL inamilikiwa na nani???
