Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Tupo 2022 😅
Screenshot_20220125-221624.png
 
Wacha mchezo bwana. Hakuna lami hapo ni mchanga tupu. Kenya huwezi kuona upuzi kama huu kwenye middle-class estates. Ni lami kila mahali. Yaani nyie huwa hamtaki kukubali kwamba mpo nyuma ya Kenya. Hata wakati wewe huna aibu kutupostia middle class neighbourhood ambayo haina lami. Huku Kenya lower middle class estates kama Umoja na Donholm zina lami. Upper middle class neighbourhoods kama Buruburu zina lami. Vitu gani unapost hapa? Mchanga wa matope kukinyesha unatembea kwa matope? Huku Kenya hata baadhi ya slums zimeanzwa kuwekwa lami. Wacheni mchezo bwana. Yaani sio Nairobi tu, hata Nakuru ambayo ni 4th biggest city kuna lami hadi kwenye estates. Msilazimishe tufanane.
 
Wacha mchezo bwana. Hakuna lami hapo ni mchanga tupu. Kenya huwezi kuona upuzi kama huu kwenye middle-class estates. Ni lami kila mahali. Yaani nyie huwa hamtaki kukubali kwamba mpo nyuma ya Kenya. Hata wakati wewe huna aibu kutupostia middle class neighbourhood ambayo haina lami. Huku Kenya lower middle class estates kama Umoja na Donholm zina lami. Upper middle class neighbourhoods kama Buruburu zina lami. Vitu gani unapost hapa? Mchanga wa matope kukinyesha unatembea kwa matope? Huku Kenya hata baadhi ya slums zimeanzwa kuwekwa lami. Wacheni mchezo bwana. Yaani sio Nairobi tu, hata Nakuru ambayo ni 4th biggest city kuna lami hadi kwenye estates. Msilazimishe tufanane.
Napenda ukiwa unaongea kwa uchungu kama hivi, inaonesha jinsi gani sindano imepenya, but again, wewe huwa ni mtu wa kusahau sahau sn, yn tayari ushasahau kwamba hyo ni Dodoma na hapo bado inajengwa toka mwaka 2016, yn ushasahau bado kuna majengo yanaendelea kujengwa now unataka pawe na lami, yani tuweke lami wkt ujenzi wa majengo haujaisha
 
Heheheheeee wewe jamaa hii co Manchester united special thread tafadhali sn, hapa hakuna kosi la dunia, hapa tunapigania nchi bro
Najua nipo kitambo toka 2017.

Samahani basi mkuu, ila toka Magufuli afe nishapoteza Confidence ya kushindana humu na mambo yanavyoenda. Nimebaki kupendekeza pendekeza baasi.

Sorry mkuu, peace. Nitakua mpenzi mtazamaji basi.
 
Najua nipo kitambo toka 2017.

Samahani basi mkuu, ila toka Magufuli afe nishapoteza Confidence ya kushindana humu na mambo yanavyoenda. Nimebaki kupendekeza pendekeza baasi.

Sorry mkuu, peace. Nitakua mpenzi mtazamaji basi.
Hapana wewe post tu unachotaka.
 
Wacha mchezo bwana. Hakuna lami hapo ni mchanga tupu. Kenya huwezi kuona upuzi kama huu kwenye middle-class estates. Ni lami kila mahali. Yaani nyie huwa hamtaki kukubali kwamba mpo nyuma ya Kenya. Hata wakati wewe huna aibu kutupostia middle class neighbourhood ambayo haina lami. Huku Kenya lower middle class estates kama Umoja na Donholm zina lami. Upper middle class neighbourhoods kama Buruburu zina lami. Vitu gani unapost hapa? Mchanga wa matope kukinyesha unatembea kwa matope? Huku Kenya hata baadhi ya slums zimeanzwa kuwekwa lami. Wacheni mchezo bwana. Yaani sio Nairobi tu, hata Nakuru ambayo ni 4th biggest city kuna lami hadi kwenye estates. Msilazimishe tufanane.
Mbona Karen ni tope la goma? 🤣
Na uslum wa kisirisiri

2022-2-22_5-23-17.PNG
 
Hahaha nigga just just the fck up,Kenya is one of the most chilled area code.i see so many Tz,Ug n Sudan number plates and no one cares.on the other hand when we want to visit Tz with our personal cars you become a marked man, you'll practically be stopped everywhere,shitty neighbors.
I sea a lot of Kenyan registered vehicles in Tz and also most of schools visits by Kenyan schoool are done in Tz
 
Najua nipo kitambo toka 2017.

Samahani basi mkuu, ila toka Magufuli afe nishapoteza Confidence ya kushindana humu na mambo yanavyoenda. Nimebaki kupendekeza pendekeza baasi.

Sorry mkuu, peace. Nitakua mpenzi mtazamaji basi.
Mkuu wala usijali wewe post chochote hakuna mtu wa kukupangia cha kupost humu, ni kama kule kwenye thread yetu pendwa.
 
Back
Top Bottom