Wanaishi kwenye dreamhouses kama zile za DarNataka uoneshe maala watu wanaishi na co road pekee kwani watu wa Lodwar na Northern Kenya wanaishi barabarani?
Wanaishi kwenye dreamhouses kama zile za DarNataka uoneshe maala watu wanaishi na co road pekee kwani watu wa Lodwar na Northern Kenya wanaishi barabarani?
Heheheheeee wewe jamaa hii co Manchester united special thread tafadhali sn, hapa hakuna kosi la dunia, hapa tunapigania nchi broHuu uwanja unaotumia kati ya Kongo na Morroco, ni wa wapi?
Pitch iko vizuri sana Taifa tunafeli wapi, yaani taifa hata misitari mieupe haionekani vizuri.
We can do, even kuweka adboard mbona azam kaweza.









Hakuna binadamu Lodwar kuna wanyama kama mnavyowasahauWanaishi kwenye dreamhouses kama zile za Dar
Hao wanyama wamejengewa barabara na miundombinu ambazo ni ndoto kwa wanadamu wengi sehemu nyingi TanganyikaHakuna binadamu Lodwar kuna wanyama kama mnavyowasahau
Ukizoom panakaa hivi, aya onesha slum hapo, Yani Wakunya mtapata tabu sana kutafuta slums Tz, jibu ni kwamba hakuna slums TzThe average residential area in Dar
View attachment 2164420
An aerial view of Eastlands, Nairobi View attachment 2164421
The difference is like day and night












Onesha mazingira yao wanapoishi kama kweli una kendeHao wanyama wamejengewa barabara na miundombinu ambazo ni ndoto kwa wanadamu wengi sehemu nyingi Tanganyika








Hapa ni Lodwar ?The average residential area in Dar
View attachment 2164420
An aerial view of Eastlands, Nairobi View attachment 2164421
The difference is like day and night










Nairobi ni chafu sn, ni miongoni mwa majiji machafu duniani.