Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Who told you Kenya doesn't have markets like those ones you are mentioning? Infact we have better than what you have in Tz. For your information, malls za Kenya inamilikiwa na wakenya.
Typo I meant malls instead of markets. We also have those kind of markets that you have there.
 
Pesa ipo, wewe uko na bidhaa? ama ni lizembe kama jamii zenu? tuna jeuri ya pesa😆😆😂😂., Now they have hypothetically projected, not yet a reality, wait n see what will happen., nyie mnaishi kama wanyama pori tu, yaani mnalishwa na ardhi yenu tu, ndio maana chakula vijijini ni mihogo na maharage type(poverty to the core) result: utapia mlo kwa wingi, unajua u are leading in EAC with stunted growth among children, end result, slow brain growth, matokeo yake kwa ujumla, uwezo hafifu wa kifikra, wengi hamuna mental frame to survive or prosper on your own, ndio maana taifa lina watu wengi fukara Afrika, ukitoa Nigeria, DRC na Ethiopia (kwa mujibu wa World Bank), check out how most of you reason here, balaa😛😳🤣🤣🤣🤣🤣..,
Unachekesha.
 
Hii ndio maana ya uchumi mkubwa or rather GDP kubwa. Three months rent free.
Screenshot_20220323-132122_Instagram.jpg
 
Pesa ipo, wewe uko na bidhaa? ama ni lizembe kama jamii zenu? tuna jeuri ya pesa., Now they have hypothetically projected, not yet a reality, wait n see what will happen., nyie mnaishi kama wanyama pori tu, yaani mnalishwa na ardhi yenu tu, ndio maana chakula vijijini ni mihogo na maharage type(poverty to the core) result: utapia mlo kwa wingi, unajua u are leading in EAC with stunted growth among children, end result, slow brain growth, matokeo yake kwa ujumla, uwezo hafifu wa kifikra, wengi hamuna mental frame to survive or prosper on your own, ndio maana taifa lina watu wengi fukara Afrika, ukitoa Nigeria, DRC na Ethiopia (kwa mujibu wa World Bank), check out how most of you reason here, balaa😛😳..,
Pesa Iko wapi wakati wakenya wanategemea chakula cha misaada toka China na UAE?
 
Just because you don't have malls in Tanzania haimanishi that you don't want them, it's only that you don't have the money to build them. If I may ask, list those malls owned by foreigners tuone kama zimefika hata Tano.
Show us any single Mall in Kenya which was built by GOK for the purpose of helping SMEs, all malls are privately owned targeting middle and higher classes for making profit.

On other hand in Tanzania we are building markets which are mainly used by low and middle class people which make 85% of Tanzanians, our Government is helping it's citizen, while your country is subjecting lower class citizens to compete with higher class citizens in malls
 
Hivi nikuulize, ni kitu gani kimewazuia kuandika na kurekodi hio gdp yenu kubwa kwenye makaratasi? Au mumekosa vitabu na kalamu tuwauzie?
Zamani tulikuwa tunaficha data kutokana na mawazo ya kimaskini ya viongozi wetu wa enzi hizo lkn baada ya Magufuli kuingia mambo mengi akaweka hadharani na ndiyo maana ukaona tuliingia uchumi wa kati mapema kabla ya wakati.
 
Pesa ipo, wewe uko na bidhaa? ama ni lizembe kama jamii zenu? tuna jeuri ya pesa., Now they have hypothetically projected, not yet a reality, wait n see what will happen., nyie mnaishi kama wanyama pori tu, yaani mnalishwa na ardhi yenu tu, ndio maana chakula vijijini ni mihogo na maharage type(poverty to the core) result: utapia mlo kwa wingi, unajua u are leading in EAC with stunted growth among children, end result, slow brain growth, matokeo yake kwa ujumla, uwezo hafifu wa kifikra, wengi hamuna mental frame to survive or prosper on your own, ndio maana taifa lina watu wengi fukara Afrika, ukitoa Nigeria, DRC na Ethiopia (kwa mujibu wa World Bank), check out how most of you reason here, balaa😛😳..,
Ww ulisema utakosekana JF kwa kipindi kirefu, nashangaa hata mwezi haujaisha umerudi, by the way you are welcome again Mr. Don
 
Ww ulisema utakosekana JF kwa kipindi kirefu, nashangaa hata mwezi haujaisha umerudi, by the way you are welcome again Mr. Don
Ongea pole pole🤫🤫 Niliambiwa na wenzako niwe naleta salamu mara moja moja., leo niko na free time kiasi.., napita tu, iko wapi SGR train ya umeme?..,🤔😅
 
Show us any single Mall in Kenya which was built by GOK for the purpose of helping SMEs, all malls are privately owned targeting middle and higher classes for making profit.

On other hand in Tanzania we are building markets which are mainly used by low and middle class people which make 85% of Tanzanians, our Government is helping it's citizen, while your country is subjecting lower class citizens to compete with higher class citizens in malls

Kenya sio Tanzania ya mifukara kama wewe eti kuenda mall ni ya matajiri.., hadi wale ma pastors wenu fake wanaambia washirika wao watawaombea wabarikiwe ili nawao waende shopping kwa malls, yaani ni kitu cha ajabu mno kule kwenu, ushamba na ufukara ni gharama aise😂😂🤣🤣🤣, (kuna thread mtu kafungua kule kwenu kwa habari na hoja mchanganyiko in the recent past) mko down sana ba mzee! Shopping for daily products in malls in Kenya ni cheaper than retail shops mitaani, the reason malls ziko kila kona and popular in Kenya.,

Lake basin Mall Kisumu. ya serikali..,
1648041538917.png

1648041778110.png

1648041791343.png
 
Not really, have interacted with some sharp brains from Tz., hapa ndani I guess wengine wanafanya tu mzaha, not serious, they know the truth bro, never take them that serious., though kuna very clueless and ignorant minds hapa kibao, hapo nakubali., but take it easy man.
Mzaha wa nn, kwani ni uwongo kwamba tunafanya miradi yenye thamani kubwa kuliko nchi zote za EA combined?

Kwani ni uwongo mna njaa wakati cc hatuna?

Kwani ni uwongo tuna modern Airpots kuliko nyinyi?

Kwani ni uwongo tuna elimu bora inayotoa viongozi bora na experts wa kuaminika kuliko nyinyi?

Kwani ni uwongo miji yenu ni michafu?

Kwani ni uwongo mna Slums?

Kwani ni uwongo sisi ni wastaarabu kuliko nyinyi?

Kwani ni uwongo hamna BRT?

Kwani ni uwongo hamna electrical SGR?

Kwani ni uwongo hamna cable stayed bridges?

Kwani ni uwongo hamna 3level interchange?

Kwani ni uwongo hakuna infrastructure yoyote ambayo ipo Nairobi ikakosa kuwepo Dar lkn kuna infrastructures kibao zipo Dar na huwezi kuzipata Nairobi?
 
Mzaha wa nn, kwani ni uwongo kwamba tunafanya miradi yenye thamani kubwa kuliko nchi zote za EA combined?

Kwani ni uwongo mna njaa wakati cc hatuna?

Kwani ni uwongo tuna modern Airpots kuliko nyinyi?

Kwani ni uwongo tuna elimu bora inayotoa viongozi bora na experts wa kuaminika kuliko nyinyi?

Kwani ni uwongo miji yenu ni michafu?

Kwani ni uwongo mna Slums?

Kwani ni uwongo sisi ni wastaarabu kuliko nyinyi?

Kwani ni uwongo hamna BRT?

Kwani ni uwongo hamna electrical SGR?

Kwani ni uwongo hamna cable stayed bridges?

Kwani ni uwongo hamna 3level interchange?

Kwani ni uwongo hakuna infrastructure yoyote ambayo ipo Nairobi ikakosa kuwepo Dar lkn kuna infrastructures kibao zipo Dar na huwezi kuzipata Nairobi?
Kwani ni uwongo tuna elimu bora inayotoa viongozi bora na experts wa kuaminika kuliko nyinyi?

Punguza kuvuta majani.

1648042070946.png
 
Back
Top Bottom