Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani ni uwongo tuna elimu bora inayotoa viongozi bora na experts wa kuaminika kuliko nyinyi?

Punguza kuvuta majani.

View attachment 2161903
Hata ukilia but on ground huo ndio ukweli, tuna elimu bora inayopelekea tuishi kistaarabu mpk kesho, tuna elimu bora inayotufanya tufanye maamuzi sahihi katika wakati sahihi, tuna elimu bora inayopelekea kuwa na ma expert wa kuaminika mfano engineers wanaopelekea kuwa na miundombinu bora kuliko nyie.
 
Wakunya mnaona apartments hzo? Co nyie jua kali type na bati nyekundu juu
Ba mzee na wewe si unaijua Kenya, ikija mambo ya appartments sisi ni baba lao ukanda huu wote, outside South Africa.., tuna za kila aina ni mfuko wako tu utaamua., sio kama nyie ni dream houses mwanzo mwisho na vi appartrments uchwara CBD na chache hapa na pale mitaani.., 😛🤣😂😂😂
Sisi sio wenzenu bana🤣🤣🤣🔥🔥🔥
1648043144799.png

1648044196252.png

1648043245094.png

1648043264420.png
 
Show us any single Mall in Kenya which was built by GOK for the purpose of helping SMEs, all malls are privately owned targeting middle and higher classes for making profit.

On other hand in Tanzania we are building markets which are mainly used by low and middle class people which make 85% of Tanzanians, our Government is helping it's citizen, while your country is subjecting lower class citizens to compete with higher class citizens in malls
Why do you want GOK to build malls? That sector is left for local investors to do whatever they want. Ama unadhani wakenya ni maskini waiting for government to build for them everything? For markets, I'm sure GOK has built more markets than Tanzanian government, na ukipinga let's list all the markets built by both governments tulinganishe.
 
Mzaha wa nn, kwani ni uwongo kwamba tunafanya miradi yenye thamani kubwa kuliko nchi zote za EA combined?

Kwani ni uwongo mna njaa wakati cc hatuna?

Kwani ni uwongo tuna modern Airpots kuliko nyinyi?

Kwani ni uwongo tuna elimu bora inayotoa viongozi bora na experts wa kuaminika kuliko nyinyi?

Kwani ni uwongo miji yenu ni michafu?

Kwani ni uwongo mna Slums?

Kwani ni uwongo sisi ni wastaarabu kuliko nyinyi?

Kwani ni uwongo hamna BRT?

Kwani ni uwongo hamna electrical SGR?

Kwani ni uwongo hamna cable stayed bridges?

Kwani ni uwongo hamna 3level interchange?

Kwani ni uwongo hakuna infrastructure yoyote ambayo ipo Nairobi ikakosa kuwepo Dar lkn kuna infrastructures kibao zipo Dar na huwezi kuzipata Nairobi?
Wakati mwingi mko na porojo sana., mere opinions and attacking Kenya with exaggerations na kujitia hamnazo just to feel good🤣🤣, ujinga na utoto, na kupinga credible sources wakati inawaumbua, wengi you are merely blind patriots.,
Infact what u are talking about wasn't the issue eti 3 level interchange, BRT, what the F***😅🤣🤣😂, ni mapema lakini kojoa ulale tu, naona bado wewe ni kilaza ule ule😂😂😂

Alafu na wewe wacha ushamba, hakuna kitu kinaitwa electrical SGR. Yaani standard gauge rail ya umeme, ni gani hiyo nionyeshe namimi nishuhudie?., nikama kusema electrical expressway, expressway ni barabara tu, lakini magari ya umeme yanaweza kupita pale na ya fuel😂😂😅, So ni electric locomotives ambazo bado hamuna, zitatumika kwa SGR, kando yake mmeweka line za umeme ku support electric locomotives.., rogar that mshamba?🤣🤣🤣🤣🤣
 
Watanzania huwa mnajifanya kwamba mna wanamuziki wakali kumbe wapi. Huyu hapa ni Davodo kajaza ile 02 Arena ya London hadi pomoni.
 
Hata ukilia but on ground huo ndio ukweli, tuna elimu bora inayopelekea tuishi kistaarabu mpk kesho, tuna elimu bora inayotufanya tufanye maamuzi sahihi katika wakati sahihi, tuna elimu bora inayopelekea kuwa na ma expert wa kuaminika mfano engineers wanaopelekea kuwa na miundombinu bora kuliko nyie.
Mngekuwa na elimu bora your parliament haingekuwa designed by Kenyans😂😂. Mngekuwa na elimu bora TPA haingekuwa designed by Kenyans, mngekuwa na elimu bora meli zenu hazingejengwa na wakenya plus Chinese, mngekuwa na elimu bora shule Bora Tanzania hazingekuwa na walimu kutoka Kenya. Mngekuwa na elimu bora Palm Village mall haingekuwa managed by a Kenyan. Last but not least, mngekuwa na elimu bora Rock City Mall haingekuwa designed by Kenyans😂😂😂
 
Kenya sio Tanzania ya mifukara kama wewe eti kuenda mall ni ya matajiri.., hadi wale ma pastors wenu fake wanaambia washirika wao watawaombewa wabarikiwe ili nawao waende shopping kwa malls, yaani ni kitu cha ajabu mno kule kwenu, ushamba na ufukara ni gharama aise, (kuna thread mtu kafungua kule kwenu kwa habari na hoja mchanganyiko in the recent past) mko down sana ba mzee! Shopping for daily products in malls in Kenya ni cheaper than retail shops mitaani, the reason malls ziko kila kona and popular in Kenya.,

Lake basin Mall Kisumu. ya serikali..,
View attachment 2161880
View attachment 2161886
View attachment 2161887
Hahahaha, akili huna wewe, yule mama mboga, na muuza virumbua na wamachinga wanaosambaza bidhaa zao chini, watapata nafasi ya kuuza bidhaa zao kwenye malls?, Ndio sababu Tanzania inaongoza Africa Nzima katika "equitable distribution of GDP" na Kenya mnaburuza mkia.

Hivi wewe ni kichaa au?, Masoko yetu yanauza bidhaa toka kwa mkulima, wakati Malls zenu 85% ya bidhaa ni imported, eti unahisi Malls ni" cheaper" kuliko Markets, nenda kameze dawa zako za kichaa.

Msikilize vizuri huyu dada ndio utajua Tanzania ni nchi gani, wacha kulinganisha nchi ya maziwa na asali na "failed state"
 
Ba mzee na wewe si unaijua Kenya, ikija mambo ya appartments sisi ni baba lao ukanda huu wote, outside South Africa.., tuna za kila aina ni mfuko wako tu utaamua., sio kama nyie ni dream houses mwanzo mwisho na vi appartrments uchwara CBD na chache hapa na pale mitaani.., 😛
Sisi sio wenzenu bana
View attachment 2161929
View attachment 2161963
View attachment 2161932
View attachment 2161933
Onyesha apartments zilizojengwa na kumilikiwa na serikali ya Kenya kwa ajili ya wananchi wa ngazi ya chini
 
Mzaha wa nn, kwani ni uwongo kwamba tunafanya miradi yenye thamani kubwa kuliko nchi zote za EA combined?

Kwani ni uwongo mna njaa wakati cc hatuna?

Kwani ni uwongo tuna modern Airpots kuliko nyinyi?

Kwani ni uwongo tuna elimu bora inayotoa viongozi bora na experts wa kuaminika kuliko nyinyi?

Kwani ni uwongo miji yenu ni michafu?

Kwani ni uwongo mna Slums?

Kwani ni uwongo sisi ni wastaarabu kuliko nyinyi?

Kwani ni uwongo hamna BRT?

Kwani ni uwongo hamna electrical SGR?

Kwani ni uwongo hamna cable stayed bridges?

Kwani ni uwongo hamna 3level interchange?

Kwani ni uwongo hakuna infrastructure yoyote ambayo ipo Nairobi ikakosa kuwepo Dar lkn kuna infrastructures kibao zipo Dar na huwezi kuzipata Nairobi?
hizi argument zako ni kindergarten type sana.., hakuna anaye pinga, ila sio issue, not big deal at all, yaani unafurahisha., lazima itakua wewe ni mzalendo ule ako somewhat deluded, yaani umechizi na vitu vidogo vidogo, hauoni bigger picture.., unajitia hamnazo hauijui Tanzania wewe🤣🤣😂😂
 
Hahahaha, akili huna wewe, yule mama mboga, na muuza virumbua na wamachinga wanaosambaza bidhaa zao chini, watapata nafasi ya kuuza bidhaa zao kwenye malls?, Ndio sababu Tanzania inaongoza Africa Nzima katika "equitable distribution of GDP" na Kenya mnaburuza mkia.

Hivi wewe ni kichaa au?, Masoko yetu yanauza bidhaa toka kwa mkulima, wakati Malls zenu 85% ya bidhaa ni imported, eti unahisi Malls ni" cheaper" kuliko Markets, nenda kameze dawa zako za kichaa.

Msikilize vizuri huyu dada ndio utajua Tanzania ni nchi gani, wacha kulinganisha nchi ya maziwa na asali na "failed state"

Which equitable GDP are you talking about when 50% of Tanzanians live in extreme poverty according to world bank? Alafu nimekuambia hizo markets umekuwa ukiimba ziko Kila mahali Kenya. So there's nothing your government can do which has never been done in Kenya.
 
Wakati mwingi mko na porojo sana., mere opinions and attacking Kenya with exaggerations na kujitia hamnazo just to feel good, ujinga na utoto, na kupinga credible sources wakati inawaumbua, wengi you are merely blind patriots.,
Infact what u are talking about wasn't the issue eti 3 level interchange, BRT, what the F***, ni mapema lakini kojoa ulale tu, naona bado wewe ni kilaza ule ule

Alafu na wewe wacha ushamba, hakuna kitu kinaitwa electrical SGR. Yaani standard gauge rail ya umeme, ni gani hiyo nionyeshe namimi nishuhudie?., nikama kusema electrical expressway, expressway ni barabara tu, lakini magari ya umeme yanaweza kupita pale na ya fuel, So ni electric locomotives ambazo bado hamuna, zitatumika kwa SGR, kando yake mmeweka line za umeme ku support electric locomotives.., rogar that mshamba?
Sasa ninyi hamna reli ya umeme hanuwezi kujua lolote, subiri mtakuja kuona kwanini inaitwa "Electric SGR", kiukweli ni kwamba, wakati train inapita, kipande cha reli pia kinapitisha umeme, sio locomotives pekee. Ninyi mumejenga outdated railway hanuwezi kujua haya Mambo
 
Sasa ninyi hamna reli ya umeme hanuwezi kujua lolote, subiri mtakuja kuona kwanini inaitwa "Electric SGR", kiukweli ni kwamba, wakati train inapita, kipande cha reli pia kinapitisha umeme, sio locomotives pekee. Ninyi mumejenga outdated railway hanuwezi kujua haya Mambo
Rail can't be electric you fool😂😂😂
 
Hahahaha, akili huna wewe, yule mama mboga, na muuza virumbua na wamachinga wanaosambaza bidhaa zao chini, watapata nafasi ya kuuza bidhaa zao kwenye malls?, Ndio sababu Tanzania inaongoza Africa Nzima katika "equitable distribution of GDP" na Kenya mnaburuza mkia.

Hivi wewe ni kichaa au?, Masoko yetu yanauza bidhaa toka kwa mkulima, wakati Malls zenu 85% ya bidhaa ni imported, eti unahisi Malls ni" cheaper" kuliko Markets, nenda kameze dawa zako za kichaa.

Msikilize vizuri huyu dada ndio utajua Tanzania ni nchi gani, wacha kulinganisha nchi ya maziwa na asali na "failed state"

Mama mboga wako na maeneo yao, na wanachangamka vizuri sana., na kuna mama mboga wa malls kama hauna taarifa., pia wakulima wanaweza supply their products kwa wanabiashara wa malls., yaani wewe unaangalia Kenya kupitia lense ya ufukara wa kitanzania unadhani Kenya nikama nyie., kila nchi iko na a unique way of doing things, nyie bado mko subsistence level kwa mambo mengi sana., na ufukara ni kubwa., ndio maana pale dar watu wananunua vitu vya kupimwa kwa wingi.., maisha ya pwani balaa., wengi ni hand to mouth., I know your lifestyle, don't look at Kenya through Tanzanian lenses, hauwezi kupata picha kamwe, ni guesswork utaandika humu., pia online shopping imeshika hadi vijijini, una order shopping ukiwa nyumbani na unaletewa, ata iwe bidhaa kama chumvi, mafuta na sukari., kwa bei nafuu, tembea Kenya wacha porojo, urudi uhadithie wenzio kama baba levo na wageni wengine, Tanzania bado mko below us despite challenges, hatujafika but mko way below..,😅😅😂
 
Which equitable GDP are you talking about when 50% of Tanzanians live in extreme poverty according to world bank? Alafu nimekuambia hizo markets umekuwa ukiimba ziko Kila mahali Kenya. So there's nothing your government can do which has never been done in Kenya.
Hahahaha, kila mahali wakati mama mboga hapo Nairobi wamejaza Barabara za Nairobi?, Hata stages za buses Kenya hakuna, mtaweza wapi kujenga markets?
 
Back
Top Bottom