Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,389
- 5,792
Hizi sanctions za USA against Russia zinaumiza industry za Germany na France vibaya sana
Yaani hapa kwa PUT IN .Putin akasema wapi anachukua Kiev na Siku tatu? Tony wacha kueneza propaganda za dailymail huku jf





..umejikosha roho bwana MASHASHOLA .......ila unanichefuaga tu pale unapomdhiihaki marehemu 


.....Wewe jamaa unakoshwa roho na jinsi Russia inavyowauwa watoto wa Ukraine? Roho chafu kweli.Yaani hapa kwa PUT IN ...umejikosha roho bwana MASHASHOLA .......ila unanichefuaga tu pale unapomdhiihaki marehemu
.....
Huyo nyumbu wa picha ya mwisho chini ni wa wapi...anafikiri anapika ugali hapo....![]()
VS
![]()
VS
![]()



TONY ...watoto gani hao wanaojua kushika silaha na kufyetua marisasi kwa russia militali .....huku wamejificha kwa majengo .........hata ingeku ni mimi mrussia namiminia mabomu hilo jengo ...haijalishi kuna watoto humo au wasiokua na hatia ............kama risasi inatoka huko miminia ma iskander m ...huko ili iwe fundisho kwa wanaojificha ......Wewe jamaa unakoshwa roho na jinsi Russia inavyowauwa watoto wa Ukraine? Roho chafu kweli.



In short term Europeans will suffer but they will be able to find new supplies from middle EastHizi sanctions za USA against Russia zinaumiza industry za Germany na France vibaya sana View attachment 2159421
Wacha iwaumize kwanini walikurupuka kuweka sankeshen....na kwani hawakujua ...kuwa msumeno unakata huku na huku.....sasa wakae wayajenge na russia .....tatizo wao wana msikiliza sana mmarekani .......nawashangaa sana wakati ....wao wanabuchumi mkubwa tu afu bado wanaburuzwa na marekani .....shame on them ...Hizi sanctions za USA against Russia zinaumiza industry za Germany na France vibaya sana View attachment 2159421



Hii roho ya kishetani inakusaidia vipi?TONY ...watoto gani hao wanaojua kushika silaha na kufyetua marisasi kwa russia militali .....huku wamejificha kwa majengo .........hata ingeku ni mimi mrussia namiminia mabomu hilo jengo ...haijalishi kuna watoto humo au wasiokua na hatia ............kama risasi inatoka huko miminia ma iskander m ...huko ili iwe fundisho kwa wanaojificha ......![]()
Tupo tuu bado but sai tuna Uhuru!Tupiganie nini tena???Sai ni kazi ni kazi,biashara mpaka juu!!The bigger your Bank account the more Stronger man you appear!👌lakini wen danger comes tutatokea na utatuona😎Sons of MAUMAUAfter Dedan Kimathi, hakuna mkunya mwenye akili tena na anaejitambua. What went wrong wazee?!...
Sent using Jamii Forums mobile app
Skiza kilio cha dwarf Putin 👇👇
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Na wewe nmbona unapost russian maiti zao zikiwa mabarabarani ...inakusaidia nini ......kama kweli wew una huruma hurumia pande zote usiegemee pande moja tu ....Hii roho ya kishetani inakusaidia vipi?
50% is KenyaHujui kwamba Kenya ndio oxygen wa EAC? Tukijitoa EAC inakufa?
sasa Kenya ingewachia tu Somalia sea yetu pia???!!!!!eti sababu twaogopa kuvamiwa na Arab countries?????We will fight to the deathMimi kama naeza kupiga nipate kenye nataka na hakuna MTU atakaye niuliza, ntakutwanga tu hadi nipate nachotaka. We kama ni mjinga upigane na Mimi na unajua vizuri sana nitakupiga ole wako.
Hii ndio kesi ya Ukraine na Russia.
Yaani hapa kwa PUT IN ...umejikosha roho bwana MASHASHOLA .......ila unanichefuaga tu pale unapomdhiihaki marehemu
.....





Kenya itatwanga Somalia na tuchimbe mafuta. Hio ndio advantage ya kua na nguvusasa Kenya ingewachia tu Somalia sea yetu pia???!!!!!eti sababu twaogopa kuvamiwa na Arab countries?????We will fight to the death


