Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

watoto wana miguu mizuri na viuno shungo ya chupa

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
THREAD HIYO


Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Katika hili sijui tuna tatizo gan

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
inshot dar lazima igharamike in future kwa kufumua maeneo yasiyo na mpaka ,haswa itaanzia maeneo yaliyokaribu na mjini,

ishu inakuja kwenye hii miji mipya ambayo haijapangwa itakuwaje maana utakuwa mchezo wakula chooni baada ya kuvunja choo tunaamia kula dampo ,sasa hii ni changamoto kwa kweli na sidhani kama wanashaurika na isitoshe kila mkoa una maafisa ardhi ila utendaji wao ni haba sana

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Dah yan kuna watu wanapokea mishahara kabisa!
 
ni bure kabisa,kuna wanafunzi wanatoka vyuo vya serikali pals ardhi ,baada yakuwatumia kwenye field zao wawe wanapima viwanja

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Yan hili swala si serikali t hta sisi raia inabid tubadilike, kipind kile maguful anapanga kuhamisha watu wte wa mabondeni waliibuka watu kila kona kuilaani serikali. Angalia ishu ya machinga namasoko holela, Watu wanalaumu kila kitu.
 
Uchaguzi wa Kenya unafuatiliwa kwasababu ya" Election violence", Waganda wanakumbuka hasara waliyopata 2007, hadi Leo bado hawajalipwa fidia.

Kitu pekee kinachosababisha uchaguzi wa Kenya kushika vichwa vya habari ni kwasababu ya historian ya fujo na mauaji wakati wa uchaguzi. Wewe mwenyewe unajua kwamba mwaka huu wote hakuna investors wanaokuja Kenya hadi uchaguzi umalizike
Mbona Somalia pia wana uchaguzi mwaka huu na pia wao huwa wana fujo kwenye uchaguzi wao na hakuna anayesema lolote? Humsikii Marekani akipapatikia uchaguzi wa Somalia? Kubali tu kwamba Kenya ndio anchor state ukanda huu. Tunaheshimika sana.
 
Well if i were u i would desist from believing until i see official mobilization and inauguration
Is this really true?🤔



Very True...last month they were carrying out geotechnical survey uko upande za likoni for the project



Last time, i heard of the same story was 2019!

It looks like all the financial instruments have been finalized & construction over the troubled Likoni channel is about to start.


If the construction is to start it will be the first cable stayed bridge in Kunyaland while in Tanzania we r having over 5 of such structures!

BTW design keeps changing...

CC: Tony254 n ichoboy01 know better!
 
TBT

1647331832581.jpeg
 
Wakuje na comeback ya hio
Basi hapo akili yako inakwambia kama "China mwanangu" [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kabarabara kamoja kameinuka basi mtu pori anawaza China [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom