umewahi kuona mapigano gani ya kivita huwa wanakufa upande mmoja,au vifaa vya kivita vinaharibika upande mmoja ?
ulitaka vifaa vya Russia na Jeshi lake kwa ujumla kusitokee na madhara hata kidogo?,,
kwenye vita yeyote ile lazima mpunguzane ila mwisho wa siku lazima bingwa aibuke,na bingwa hupatikana baada ya uharibifu na madhara makubwa kutokea uwanja wa medani,
WAIT MDA WA HITIMISHO wa huo mgogoro ufike ndiyo tutajua nani ni nani na yupi ni nani siku zote mda huongea uhalisia wa mambo
Sent from my SM-A025F using
JamiiForums mobile app