Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wao wanajengewa vitu vya kipumbavu eti xpress way ambayo haitaajiri hata mkunya mmoja, na ambayo haitarudisha pesa na ambayo kimsingi hakuna mkunya maskini atatitumia, ila cc investors wanakuja kujenga miradi yenye tija kwa watanzania wote, baada ya elsewedy kujenga huu mradi wallahi nawaambia hii nchi itachomoka kwa speed ya light kwenye maendeleo.
Keep on dreaming
 
Streets of Nairobi.

1646854590452 .jpg


1646854608563 .jpg
 
Tzn na Kenya hatuchekani when it comes to citizen welfare

View attachment 2145232

View attachment 2145233

View attachment 2145235
you don't need Rocket Science to better understand this.....

list yenye SA ni no.6 na egypt ni secondlast last, aafu nchi tiny yenye haina influence ndo no.1.! ata wee unajua sababu mbona..

ona hapa👇🏼 united states ni secondlast, alafu Liechtenstein, nchi yenye ata jina lenyewe kuliskia itakua ni balaa, ndo no.1.!!! kisha germany, japan, france yote hayapo.. sisemi kitu.. 🤫

Screenshot_20220310-113901_Chrome.jpg
 
Kuna kitu nimeanza kugundua kwamba ka Nairobi hakana built up area kubwa mana vipicha havitoki nje ya CBD mwisho ni vi estate mmemaliza
sema mombasa road ndo hatujaweka mkazo sana humu, otherwise ni kubwa ata shida cbd, nairobi hauwezi maliza ndugu yangu, nairobi inajengwa usiku kucha...
for your information this is the other side of town.. the opposite of westlands from the other end

Screenshot_20220308-032347_Gallery.jpg
Screenshot_20220308-032125_Gallery.jpg
 
you don't need Rocket Science to better understand this.....

list yenye SA ni no.6 na egypt ni secondlast last, aafu nchi tiny yenye haina influence ndo no.1.! ata wee unajua sababu mbona..

ona hapa👇🏼 united states ni secondlast, alafu Liechtenstein, nchi yenye hata jina tu kuiskia itakua ni balaa, ndo no.1.!!! kisha germany, japan, france yote hayapo.. sisemi kitu.. 🤫

View attachment 2145431
Kwani shida ni ipi? Tunazungumzia welfare of citizens,majina ya Nchi sio muhimu hapa.
 
Vita ni disadvantage kubwa kwa tourism ambayo ilikuwa ishaaza ku recover...sasa inabidi tutafute markets nyingine duh
Tulishapata hadi soko la horticulture Ukraine na Mwaka huu ilikuwa tuanze shipments ila ndio hivyo tena mambo yameharibika.
 
Back
Top Bottom