Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

zwazwa amekasirika baada ya kuskia safaricom umiliki ni huu😂😂🤣👇👇
nye nye nye kelele nyingi wakat investors wa nje wanapiga pesa wanakimbiza kwaoView attachment 2141818
Maana ya free float ndio huelewi ama?

freefloat.jpg
 
Watanzania huwa wanakasirika sana wanapoona Safaricom is more than half owned by Kenyans.

GoK 35%
Local investors 15%

shareholding_structure.jpg


freefloat.jpg
 
allow me to task you pipo with 1 assignment today.. hebu funga macho sahii na u imagin dar bila bldng tatu za blue... coz what will come to your mind will realy suprise you...

...in your vision, you'll be able to see either mogadishu, kismayu or kabul


ona.. hii hapa 👇🏽
Screenshot_20220307-110405_Chrome.jpg
 
allow me to task you pipo with 1 assignment today.. hebu funga macho sahii na u imagin dar bila bldng tatu za blue... coz what will come to your mind will suprise you...

...in your vision, you'll be able to see either mogadishu, kismayu or kabul


ona.. hii hapa 👇🏽
View attachment 2141885
Hizi hauzitaki 👇
malembosimbano_1644415450305704.jpg
daressalaamcity_1644954589780352.jpg
E21EA68E-8BA6-4DA2-B725-140D84AB3CC8.jpeg
C0303C3D-19DE-4406-9A97-25F2C6FA5BD8.jpeg
51F5F133-FAB5-409A-8782-BEE08B2DA956.jpeg
 
wacha kwanza huyu kijana apande ngazi na achukue usukani, tanganyika mtakiona moto 💥. bado hatuja sahau mli auction ngombe zetu 1000 nakuwauwa vifaranga zetu 6000.!! aah.!?
nabado........

FB_IMG_1641853293685.jpg
 
German haijaweka vikwazo sababu kuna bomba la gesi kutoka Russia hadi Germany, Bomba hilo linachangia 40% ya matumizi ya gesi ya Germany, kwahivyo Germany haina budi ila kuwa mpole, Si kwasababu eti inaogopa majeshi ya Russia.... Kumbuka Germany ilitingisha dunia nzima waakati wa Hitler na kwa sasa uchumi wao ni mara tatu wa Russia.... Na isitoshe Germany iko ndani ya NATO kwahivyo hawaezi tishiwa hivi hivi na mtu yoyote. Kama ka nchi kama Poland kanasema kako tayari kupeana ndege zake za kivita zitumiwe na ukraine, Poland nchi ambayo haiko ata top 100 kijeshi, lakini vile wako chini ya NATO ndo inajua Russia hawezi tubuthu kuivamia labda awe ako tayari kutumia nuclear
We chizi umesoma shule Gani.? Ulisoma history ijapo kidogo.? Unaujua uchumi wa Russia au unajua uchumi wa Russia kwa data za IMF.? hakuna NATO wala upuuzi Gani ambao wako na guts za kujibishana na Russia, Mwanaume alishasema kanchi kokote katakachotia pua atakanyoosha dunia ilie whether ni mwanachama wa NATO or not.. na mpaka leo UKRAINE anakula dozi na hakuna wa kumsaidia.. usicheze na nchi za ki communist wewe
 
allow me to task you pipo with 1 assignment today.. hebu funga macho sahii na u imagin dar bila bldng tatu za blue... coz what will come to your mind will realy suprise you...

...in your vision, you'll be able to see either mogadishu, kismayu or kabul


ona.. hii hapa 👇🏽
View attachment 2141885
Kwani Dar ina buildings ngapi over 20fl ? Toa hizo tatu utapata majibu.
 
We chizi umesoma shule Gani.? Ulisoma history ijapo kidogo.? Unaujua uchumi wa Russia au unajua uchumi wa Russia kwa data za IMF.? hakuna NATO wala upuuzi Gani ambao wako na guts za kujibishana na Russia, Mwanaume alishasema kanchi kokote katakachotia pua atakanyoosha dunia ilie whether ni mwanachama wa NATO or not.. na mpaka leo UKRAINE anakula dozi na hakuna wa kumsaidia.. usicheze na nchi za ki communist wewe
Mbona kuna nchi tayari zinasaidia Ukraine? Wamepeleka vifaa vya kivita na soon wanapeleka ndege na Russia hajafanya chochote.
 
Back
Top Bottom