Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

No city can beat Nairobi's wide Skyline in Africa apart from Jozi.

ichoboy01 come with something where you are going to shed your tears😂

1646574424376 .jpg
 
Hii picha ishaduduliwa kua uongo, na katika kupigania ukombozi wa Africa hakuna nchi ilipewa sanction, kwahivyo usilete Mambo ya zamani hapa kama mifano....
Nyinyi si ni marafiki na Iran, mbona hamjawahi kutubuthu kununua mafuta ya Iran ili kusaidia uchumi wao? Mbona hamuagizii vifaa kutoka North Korea?
Sasa nakwambia, enda uambie mama aaigizie vifaa kutoka Russia ama awauzie Russia chochote sahii uone kama vitafika
Usiichukulie Russia poa ni taifa lenye nguvu ya kijeshi,muulize German hata vikwazo yeye hajamwekea,nani azuie bidhaa zake ovyo ovyo.
 
No city can beat Nairobi's wide Skyline in Africa apart from Jozi.

ichoboy01 come with something where you are going to shed your tears😂

View attachment 2141164
then nairobi is full of affluence... you can clearly read the well written wealthiness of nairobi just like u would for jozi. but for dar u mostly observe uswazi nothing but uswazi
 
Ma engineer wenyewe ndiyo kina dyfre hawajengi mpk wapige mkomboti
tembo niliwachamo mzee since november last year. tegea basi.. wacha ni malize kuchora hii 👇🏽tuone kama itaanguka ikijengwa. we work hand in hand with structural engineers mkuu. sisi ndo tunahusika kubadilisha skyline za miji zetu, na bila dosari yoyote ama mushkin
20220305_132906.jpg
20220305_132927.jpg
 
Wanafunzi wetu tuliwatoa kitambo sana.... waliobaki wameambia consular embassy ya Kenya in Kiev kwamba wanaishi Kwa miji midogo kwahivyo wako salama Ukraine...

Alafu Russia ilipeleka mabasi kutoa wanafunzi wa kigeni wote kwenye hicho chuo, haikujalisha ni wa nchi gani, Watanzania Tu ndo wamegeuza hii kua propaganda Kwa wananchi.... Veery gullible people watanzania!

View attachment 2140804

View attachment 2140819
Mna wanafunzi wapi? Hahaha
 
Siku hizi mnashindana kudandia chopa za politician . Wakunya sijui mnafikiliaga nini ?
 
Data zinaonesha Tanzania ina wanafunzi 400 Ukraine, wengine wako wapi?

Maria دوبوفيكوفا Dubovikova (@politblogme) Tweeted:
... 45 - of Jordan, 16 - of Pakistan, 15 - of Tunisia and 14 - of Zambia in Sumy.
 
Back
Top Bottom